. madiba, hii habari kabla hatujachangia tungependa kufahamu umeipata wapiKuna habari isiyo rasmi kwamba Dr slaa atagombania jimbo la Igunga. JE ANASIFA ZA KUSHINDA
. madiba, hii habari kabla hatujachangia tungependa kufahamu umeipata wapiKuna habari isiyo rasmi kwamba Dr slaa atagombania jimbo la Igunga. JE ANASIFA ZA KUSHINDA
Kuna habari isiyo rasmi kwamba Dr slaa atagombania jimbo la Igunga. JE ANASIFA ZA KUSHINDA
KINGXVI ni Gamba la sisiem humu forum!
Nimekufatilia sana, tatizo lako umetumwa! Unaharibu maudhui ya thread za wenzio. Magamba wewe!kila mtu akitofautiana na wengi ni ccm? Ha ha ha
Nimekufatilia sana, tatizo lako umetumwa! Unaharibu maudhui ya thread za wenzio. Magamba wewe!
Go to hell MAGAMBA!unifuatilie usinifuatili is up to you. Kama mtu amepost ujinga lazima nimwambie sio kila aliyemo humu ni great thinker wengine ni vilaza wanaleta mawazo ya ukilaza na nyie mnawadekeza
hamuijui tabora ninyi sasa... msipoangalia ......... hayaKuna habari isiyo rasmi kwamba Dr slaa atagombania jimbo la Igunga. JE ANASIFA ZA KUSHINDA
Go to hell MAGAMBA!
Rejea chanzo chako cha habari ujue kama kinaaminika ndipo uweke bandiko hapa JF; kubandika hisia zako binafsi au mambo ya kufikirika haipendezi. Kajipime, ufikirie na ujipange upya.
kama sio dr slaa nani mwingine anayeweza kuuzwa na cdm akauzika kwa wananchi. Ccm wanamweka kubenea au bashe
Kuna habari isiyo rasmi kwamba Dr slaa atagombania jimbo la Igunga. JE ANASIFA ZA KUSHINDA