Dr. Slaa karibu ACT-Wazalendo

Dr. Slaa karibu ACT-Wazalendo

Tamaa mbaya, huwezi amini mwenyekiti anavyo pretend kama mcha Mungu vile, kumbe ni msaidizi wa shetani duniani. Kala haramu ya takuku kauza chama.
 
naunga mkono hoja,
hicho ki-salum ni geresha tu kila mmoja wetu anajua hakina thamani.
naibu katibu mkuu zanzibar aliyeamua kuwa wa bara maana zanzibar kwenyewe hana chake.

kijamaa kinaongozana na mtoto wa mjini dj,,,basi kinajiona kimwanasiasaa; kinanitia kichefuchefu mno:
 
baada ya kushindwa kuwapata wabunge wale 50 aliowasema yuda sasa mnamuomba Dr. Slaa eti eee! mchukueni alivyoondoka Zitto mlisema cdm imekufa lakin moto wake sasa unawapa jambajamba!!

Ma ccm yamechanganyikiwa hadi sasa yameamua kutukana matusi kwa watanzania
 
Pole wewe mcheza disco la mbowe; sisi tunamhitaji daktari wa siasa nchini Tanzania; sio hilo zezeta lililonunua chama.

Dr,profesa,yupo ccm kutoka msoga,au mmemstukia
 
Ninavyo elewa act ni ka Sacco's ka mwandiga

Ni kweli; Zitto alichofanya ni kumwiga mzee mtei tu: si unaona saccos lake linavyomlipa sasa hivi; Mtei family wametoka kupiga 10billion,,na sasa bingo la uchaguzi linakuja; dr hayupo kumdhibiti Dj,,,patamu hapo:
 
Ni kweli; Zitto alichofanya ni kumwiga mzee mtei tu: si unaona saccos lake linavyomlipa sasa hivi; Mtei family wametoka kupiga 10billion,,na sasa bingo la uchaguzi linakuja; dr hayupo kumdhibiti Dj,,,patamu hapo:

Mtajinyea na kujiharishia sana ngiri nyie
 
baada ya kushindwa kuwapata wabunge wale 50 aliowasema yuda sasa mnamuomba Dr. Slaa eti eee! mchukueni alivyoondoka Zitto mlisema cdm imekufa lakin moto wake sasa unawapa jambajamba!!


Moto wa gesi hata mrema alikuwa nao: Hilo robot lenu sijui lizezeta mwisho wake ni october. Kumfukuza Dr ni furaha kwetu sababu angejishushia heshima kubwa aliyonayo kuongozana na hao wahuni wa kaskazini
 
Unamtamani eee!! yule ni cdm dam na wala hawez kuwa msaliti kama yuda,ZITTO.

aaaaaah,,hata Zitto alisema atakuwa wa mwisho: Yule ni CDM mageuzi, sio hii ya sasa ya Lowassa,Salum mwalimu na mbowe
 
Moto wa gesi hata mrema alikuwa nao: Hilo robot lenu sijui lizezeta mwisho wake ni october. Kumfukuza Dr ni furaha kwetu sababu angejishushia heshima kubwa aliyonayo kuongozana na hao wahuni wa kaskazini

Nina imani ngiri ana akiri kubwa sana kuliko akili zako
 
Ha ha ha haaa! Dr.ameumizwa jaman kwa maamuz ya kindumilakuwili ingawa mabadiliko tunayataka lakin sio kwa staili hii
 
Tamaa mbaya, huwezi amini mwenyekiti anavyo pretend kama mcha Mungu vile, kumbe ni msaidizi wa shetani duniani. Kala haramu ya takuku kauza chama.

Kawaida ya ngiri huwa hatumii akili kama wewe
 
Ha ha ha haaa! Dr.ameumizwa jaman kwa maamuz ya kindumilakuwili ingawa mabadiliko tunayataka lakin sio kwa staili hii

Ni muda muafaka wa dr slaa kuzungumza japo, imemumiza Mzee huyu.
 
Back
Top Bottom