Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,992
Hicho ni chama au kampuni?
Kamuulize mama yako!
Hicho ni chama au kampuni?
Rais wa Tanzania ni lowasa
Act ni saccoss ya wazungumza KIHA
Baada ya uchaguzi mwaka huu, sisiemu kama wakishinda, ACT ndio kitakuwa chama kikuu cha upinzani, mark my words!
Sijui umeingiaje kwenye Jukwaa La Siasa kwa maana sio size yako! Matatizo ya Chadema unataka kuyaleta ACT. ACT Wazalendo ni chama cha watanzania wote tofauti na Chadema chama cha watu wa kaskazini akizungumza Mbowe na baba mkwe wake Mtei, viongozi na wanachama wote kimyaaa ndio maana mkaitwa wapumbavu na malofa!
mara hii mmebadilika kuwa sio ukawa tena?Cdm ndio habari ya mujini
Watu wenye chama chao washachukua kilicho chao, Dr Slaa hana lake tena chadema.Kama anahitaji kuwa katika medali za siasa nchini ni vema akaomba usajili katika chama tawala.
mara hii mmebadilika kuwa sio ukawa tena?
Hili ni Jukwaa La Siasa na sio Jukwaa La Mipasho.
Hicho ni chama au kampuni?
itakuwa jambo jema japo sina uhakika. maana nyote nyie ukawa (ccm B) na ccm (ccm A) nawaona walewale tu.Mtaongea kila point lkn adhab yenu iko palepale kuwa ccm na mawakala wao lazima mfungishwe vilago
Asist Ccm TechnicallyHivi ACT ni nini??