Dr. Slaa karibu ACT-Wazalendo

Dr. Slaa karibu ACT-Wazalendo

Ni ndoto kudhani Dr Slaa anaweza kuja ACT, aje kufanya nini umri umeshamtupa kilichobaki apumzike tu. Tutaendelea kumuheshimi kama BABA WA MABADILIKO.
 
kijamaa kinaongozana na mtoto wa mjini dj,,,basi kinajiona kimwanasiasaa; kinanitia kichefuchefu mno:
kingemjua huyo mbowe kuwa ni born town wala kisingemsogelea. kingerudi kwao haraka kwenda kula urojo
 
Hivi mnajua njia zilizotumika hadi Zitto akaacha jimbo la kigoma kaskazini na sasa mgombea wa jimbo hilo ni Peter J Serukamba wa CCM?
 
Akina Mnyika wameamua kuonesha misimamo yao hata kwa kukaa kimya inatosha ..mbowe kala bingo

Mkuu, Mnyika na yeye kasusa au? Nakumbuka nilipomuona pamoja na viongozi wa Ukawa siku ambayo fisadi alikwenda kuchukua fomu.
 
Back
Top Bottom