Punguza hasira wewe gamba...
Hatuna namna ya kukusaidia...
Mimi ni mwana LOGISTICS,
si gamba wala gwanda,
logic hainitumi kula chochote kwa vile nina njaa!
Otherwise tutachinja vitoto vyetu vichanga kwa kuwa tuna njaa halafu vyenyewe ni dhaifu(easy prey)
​Hivi SISIEM kwanni msiconcentrate na kumuuza Magufulii???leo hii mnampigania padre tangu lini
Mbona mnatapatapa sana maCCM? Tulieni msubiri October 25..
Dr. Slaa and Prof. Lipumba have no Impact wamechelewa sana kufanya maamuzi hayo...
Hata waite press conference leo au kesho nothing will change in the minds of Freedom Fighters..
Tumechoka na CCM, we need to remove this insect called CCM by any means...
hivi CCM wamesahau kuwa wana mgombea wao na wanahitaji kumpigia kampeni?