Dr.Slaa hapa wewe unahusika moja kwa moja

Dr.Slaa hapa wewe unahusika moja kwa moja

niambie mbunge gani waccm anawajibika?

hiyo siyo Hoja, sote tunajua kwamba Wabunge wa CCM ni wezi na hawawajibiki na ndio maana tunatafuta mbadala ambao utakuwa tofauti na hawa wezi wa CCM, hivyo Wapinzani wanapswa kuwa tofauti na wawajibikaji 100% zaidi ya CCM!

 
Itajulikana, mbona maswali hayo anayetakiwa kuyajibu ni mbunge wako sio Dr Slaa.Huna hata namba ya simu ya Mbunge wako umuulize kwa nini anakaa Dar wakati alipigiwa kura Mwanza?Jiji kuwa chafu Dr Slaa anahusika vipi wakati mna madiwani,mna Mkurugenzi ambaye ndie wajibu wake kuhakikisha Mwanza anakuwa safi?Mnataka Dr Slaa aje afanye usafi Mwanza wakati ni wajibu wenu kuwa wasafi wenyewe kwanza kama wakazi wa Moshi?

Lakini Bw. Slaa ndio bosi wa Chama hivyo, kama Wananchi wakimtosa Mbunge wa CHADEMA Mwanza, itamwathiri pia Bw.Slaa kama kiongozi wa Chama, hivyo ni sawa kabisa kumshtua ili achukue hatua!
 
Mleta mada anazungumzia JINI chafu,mbona wachangiaji mnachanganya mambo.Ushauri wangu peleka kwa USTADH alifanyie kazi
 
mlitaka muwe mnapishana nao mitaani ndio mngelizika hamna lolote, usafi wa soko haumhusu mbuge magamba nyie

mkuu kila mada hapa jukwaani sio lazima uweke ushabiki wa kichama,hii mada ni mahususi kabisa mimi ninaishi ilemela ila nafanya kazi Nyamagana hili jimbo limekuwa ka jalala kila kitu ni kero hapa,ni afadhala hata kutokuwa na mbunge.
Dr.slaa asipofuatilia haya majimbo yanarudi ccm!!!
 
mkuu kila mada hapa jukwaani sio lazima uweke ushabiki wa kichama,hii mada ni mahususi kabisa mimi ninaishi ilemela ila nafanya kazi Nyamagana hili jimbo limekuwa ka jalala kila kitu ni kero hapa,ni afadhala hata kutokuwa na mbunge.
Dr.slaa asipofuatilia haya majimbo yanarudi ccm!!!

Mbunge ni mwakilishi wa wananchi. Kero zao ni mtaji kwake. Hivyo wanapaswa kuwajibika. Tuwapende wanaotuzindua.
 
Ebu tuitishe siku maalum ya kufanya usafi wa soko letu kabla ya kumsubiria mbunge ndo aje kutufanyia au serikali ndo ije kutufanyia . Change begins with us. Usitegemee mwanasiasa mkuu .
 
halmashauri ya jiji, mkurugunzi wa jiji au wilaya,maafisa afya kazi zao ni nini?
ukishajua kazi za mbunge ndio uje hapa kupost
 
Mh. Dr. Slaa.

Naomba kuwasillisha hoja zangu 2 kwa sababu wewe ndo unapaswa kubeba hizi rawama moja kwa moja ukiwa ndo mtendaji mkuu.

1. Wabunge wetu wote wawili jijini Mwanza wameamia Dar es salaam pamoja na familia zao wanakula maraha, na wakiacha mwanza haina viongozi wa kuwatetea. Hisipokuwa wakipewa taarifa kuwa kuna viongozi wa juu wa chadema wanakuja mwanza ndo nao wanakuja. Ukiwa kiongozi unaweza kumtofautisha mbunge aliepita na hawa wawili? Mbunge aliyepita naye alifanya hivi hivi alipochaguliwa huyo akaamia dar, wakati wa kura akarudi na akapigwa chini, hivyo na hawa sasa wakagombanie ubunge uko dar wanapoishi na si mwanza tena.

2. Tunatatizo la soko kuu la mwanza jini ni chafu sana hakuna choo watu wanajisaidia humo hili wala Wenje hajui si anaishi daaaaaaaaaaar. Anashindwa ata kuomba gari la manispaa la maji tusafishe?

Asante nawashilisha.

Mkuu, pole sana. Naona umeandika kwa hasira sana hadi kukosea kosea mara kwa mara. Hata hivyo yote hiyo ni kwa sababu ya kuwa na uchu wa kupata maendeleo kupitia kwa wabunge mliowachagua.

Mkuu, naomba nikwambie kwamba bado fursa mnayo. Hakuna mbunge wa maisha wa jimbo lolote lile. Kama hawa hawaoneshi ushirikiano chagueni wengine kupitia chama hicho hicho ili mradi mna imani na chama hicho.

Binafsi siamini kwamba hawa waheshimiwa wawili ndio watu pekee kutoka CDM, wanaofaa kuwa wabunge kwa eneo lenu.
Wapo wengi tu, ila hawa ndio mliowaamini hapo kabla. Kwa kuwa ahadi ni deni na kwa kuwa wameshindwa kutimiza basi muda ukifika piga chini chagua wengine.
 
Bungeni wanafanya vurugu. Jimboni wanatelekeza wananchi.

Mpiga kura USIRUDIE MAKOSA...
 
Mh. Dr. Slaa. Naomba kuwasillisha hoja zangu 2 kwa sababu wewe ndo unapaswa kubeba hizi rawama moja kwa moja ukiwa ndo mtendaji mkuu. 1. Wabunge wetu wote wawili jijini Mwanza wameamia Dar es salaam pamoja na familia zao wanakula maraha, na wakiacha mwanza haina viongozi wa kuwatetea. Hisipokuwa wakipewa taarifa kuwa kuna viongozi wa juu wa chadema wanakuja mwanza ndo nao wanakuja. Ukiwa kiongozi unaweza kumtofautisha mbunge aliepita na hawa wawili? Mbunge aliyepita naye alifanya hivi hivi alipochaguliwa huyo akaamia dar, wakati wa kura akarudi na akapigwa chini, hivyo na hawa sasa wakagombanie ubunge uko dar wanapoishi na si mwanza tena. 2. Tunatatizo la soko kuu la mwanza jini ni chafu sana hakuna choo watu wanajisaidia humo hili wala Wenje hajui si anaishi daaaaaaaaaaar. Anashindwa ata kuomba gari la manispaa la maji tusafishe Asante nawasilisha!! Mimi sikuelewi kutetewaje na hao wabunge kwa sababu kwa ufahamu wangu watetezi wa wananchi wa Mwanza wako wengi sana kwa kukutajia ni kwa mfano: RC tena kada wa CCM na Mteule wa Rais,City DirectorDiwani kwa kila Kata na wengine wengi tu na ambao wana maamuzi na utendaji wa moja kwa moja.Na kwa vyovyote vile tatizo la Mbunge au wabunge kutokukaa na kutulia katika majimbo ni tatizo la ki-mfumo na kinacholalamikiwa Mwanza ndicho tunachokilalamikia hapa kwetu Shinyanga kwa mbunge wetu Steven Massele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini.......Sasa tutasemaje?....jibu ni rahisi tu kuwa mfumo wetu wa kuendesha mambo yetu(utawala) kama nchi ni mbovu,hauwalazimishi na kuwabana wawakilishi na watumishi wengine wa wananchi kutekeleza majukumu yao ipasavyo!! Hata wewe leo uingie katika mfumo wa dizaini hii kama mbunge au katika nafasi yoyote ya utumishi wa umma utajikuta tu system inakufunika na inakuongoza wewe.Hawa wabunge wa Mwanza na wengine karibu wote katika majimbo karibu yote ni waathirika tu wa mfumo huu mbaya tulionao LAKINI lililo zuri na labda la manufaa kwao ni kuwa wao ni wanufaika wa mfumo huu na sisi ambao hatumo kwenye system kazi yetu itakuwa ni kulalamika tu
 
mlitaka muwe mnapishana nao mitaani ndio mngelizika hamna lolote, usafi wa soko haumhusu mbuge magamba nyie

INAMHUSU TENA SANA.KAMA HUJUI ULIZA UAMBIWE USIBISHE USILOJUA.Mbunge ndiye MWAKILISHI mkuu wa wananch ktk ngaz ya Jimbo,ndiye MTETEZI MKUU wa wananch, MSEMAJI MKUU kwa NIABA ya wananchi ktk ngazi ya jimbo.MBUNGE ni DIWANI ktk VIKAO VYOTE VYA MAAMUZI JIMBON KWAKE kama vile WDC,na MABARAZA YA MADIWAN.Kama Mkurugenzi wa H/SHAURI hatekelezi wajibu wake mbunge km MTUMWA wa WANANCH huweza kuwasilisha hoja kwenye BARAZA HUSIKA ya KUMKATAA mkurugenz kwa sababu ATAKAZO ONA ZINAFAA! UNAFIKIRI KAZ YA MBUNGE NI KUTEMBEA NDAN YA VX TU!
 
Ebu tuitishe siku maalum ya kufanya usafi wa soko letu kabla ya kumsubiria mbunge ndo aje kutufanyia au serikali ndo ije kutufanyia . Change begins with us. Usitegemee mwanasiasa mkuu .

SIO SULUHISHO mkuu.Watu wanalipa KODI na USHURU kila siku ktk soko kwanini USAFI USIFANYIKE KILA SIKU?Leo mtatenga siku ya usaf sanasana itakuwa kwa MWEZ mara 1 na UCHAFU UNAZALISHWA KILA SIKU je MTAKUWA MMEFIKIA LENGO?
 
hapo anahusika waziri wa afya na si slaa.hata kama viongozi wa chadema wakikaa marekani ni bora wananchi waheshimiwe na wapewe nguvu na si kama ccm , nguvu zinakuwa za polisi. PEOPLES POWER IS VERY POWERFUL THAN WHAT CHADEMA IS OFFERING!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom