Dr.Slaa hapa wewe unahusika moja kwa moja

Dr.Slaa hapa wewe unahusika moja kwa moja

Mh. Dr. Slaa.

Naomba kuwasillisha hoja zangu 2 kwa sababu wewe ndo unapaswa kubeba hizi rawama moja kwa moja ukiwa ndo mtendaji mkuu.

1. Wabunge wetu wote wawili jijini Mwanza wameamia Dar es salaam pamoja na familia zao wanakula maraha, na wakiacha mwanza haina viongozi wa kuwatetea. Hisipokuwa wakipewa taarifa kuwa kuna viongozi wa juu wa chadema wanakuja mwanza ndo nao wanakuja. Ukiwa kiongozi unaweza kumtofautisha mbunge aliepita na hawa wawili? Mbunge aliyepita naye alifanya hivi hivi alipochaguliwa huyo akaamia dar, wakati wa kura akarudi na akapigwa chini, hivyo na hawa sasa wakagombanie ubunge uko dar wanapoishi na si mwanza tena.

2. Tunatatizo la soko kuu la mwanza jini ni chafu sana hakuna choo watu wanajisaidia humo hili wala Wenje hajui si anaishi daaaaaaaaaaar. Anashindwa ata kuomba gari la manispaa la maji tusafishe?

Asante nawashilisha.

Wakitoa matamko bungeni na kuomba miongozo kila wakati basi hapo huwa wanaona wamemaliza kazi yao ya ubunge.
 
Asante sana kwa hoja yako nzuri, na hapo ndipo tunatakiwa Wananchi tuanze kuuliza Maswali kuhusu hawa vyama Upinzani kwani kila siku wanazidi tu kufanana na CCM, ni kosa kubwa sana na ubadhilifu wa fedha zetu walipa kodi kwa Wabunge wetu (Vyama vyote) kuamua kuishi Dar na sio Majimboni kwao wakati wanalipwa Fedha za Jimbo na Serikali, je wanazipeleka wapi?

Kama kweli CHADEMA wanataka kuonyesha UMMA kama wao ni Wakombozi wa kweli na hawafanani na CCM, ni lazima waanzie hapo, nampongeza sana Bw.Zito Kabwe kwa kukataa kuchukua Posho za Ubunge, lakini kwa bahati mbaya sana huu ni uamuzi wake binafsi kwa maana hiyo Chama chake hakihusiki na hili kwa maana Wabunge wenzake wa CHADEMA bado wanachukua fedha ya DHULUMA posho, pesa ambazo sio HALALI na ni za Dhuluma kwa Wananchi ambao kila siku wanapiga makelele majukwaani kudai kwamba wanawatetea!

Na kitu kingine pia nawataka Vyama vya upinzani (Wabunge) wawe wa kwanza kuajiri Madereva na kuwalipa Mishahara kwa kuwa Wabunge wote wanalipwa Fedha kwa ajili ya Madereva, na hamna UZALENDO zaidi ya huo kwani pia itasaidia sana kutoa AJIRA kwa Watanzania!

Vinginevyo kama wanashindwa kufanya haya, mimi kwangu naweza kukubaliana na kauli ya Kardinali Pengo kwamba wote wanaopigia makelele UFISADI ni kwa sababu hawajapata nafasi, siku wakiipata na wao watafanya hayo hayo wanayoyafanya CCM!

CHADEMA (wabunge) KUWENI MFANO WA KUIGWA AJIRINI MADEREVA!


Huwa nampenda Zito kwa sababu anasimamia maamuzi yake. Bahati mbaya Chadema wanamuona kama ni msaliti.
 
Mnapenda kutetea uozo

Mkuu, unajua haingii akilini kumlaumu mbunge kwa majukumu yanayopaswa kufanywa na halmashauri ya jiji. Hivi hao madiwani wanafanya kazi gani? Hao maafisa wa jiji wanafanya kazi gani? Mnataka mbunge ashughulikie takataka ili hao watu wa halmashauri waendelee kubweteka doing nothing?
Hapa siyo suala la kutetea uozo, ni suala la mtu kutakiwa awajibike kwenye nafasi yake. Kama halmashauri wameshindwa kutatua tatizo sugu la uchafu dawa ni kuwapuga, siyo kumwita mbunge kuja kufanya kazi zao.
 
Hapi mleta mada ameleta hoja Mzuri lakini vijana wa Kinondoni watampopoa matusi kweli kwa jinsi wasivyopenda ukweli

Mwanza kama jiji kuna meya tena wa ccm kuna madiwani wa ccm na chadema ambao ambao hushiriki na kupanga bajeti ya halmashauri za mwanza sasa hawa wana kazi gani, mambo mengine yanaweza kusimamiwa na madiwani siyo kila kitu mbunge.
 
Mwanza kama jiji kuna meya tena wa ccm kuna madiwani wa ccm na chadema ambao ambao hushiriki na kupanga bajeti ya halmashauri za mwanza sasa hawa wana kazi gani, mambo mengine yanaweza kusimamiwa na madiwani siyo kila kitu mbunge.

Ukiacha hilo la uchafu, niambie Wenje na Kiwia wamefanya nini la maana hapo Mwanza kama wabunge?
 
Mh. Dr. Slaa.

Naomba kuwasillisha hoja zangu 2 kwa sababu wewe ndo unapaswa kubeba hizi rawama moja kwa moja ukiwa ndo mtendaji mkuu.

1. Wabunge wetu wote wawili jijini Mwanza wameamia Dar es salaam pamoja na familia zao wanakula maraha, na wakiacha mwanza haina viongozi wa kuwatetea. Hisipokuwa wakipewa taarifa kuwa kuna viongozi wa juu wa chadema wanakuja mwanza ndo nao wanakuja. Ukiwa kiongozi unaweza kumtofautisha mbunge aliepita na hawa wawili? Mbunge aliyepita naye alifanya hivi hivi alipochaguliwa huyo akaamia dar, wakati wa kura akarudi na akapigwa chini, hivyo na hawa sasa wakagombanie ubunge uko dar wanapoishi na si mwanza tena.

2. Tunatatizo la soko kuu la mwanza jini ni chafu sana hakuna choo watu wanajisaidia humo hili wala Wenje hajui si anaishi daaaaaaaaaaar. Anashindwa ata kuomba gari la manispaa la maji tusafishe?

Asante nawashilisha.

Kazi kwao wabunge tajwa. Wanasiasa wabongo maneno mengi kuliko vitendo, si ccm si chadema wote ni walewale.
 
hapo anahusika waziri wa afya na si slaa.hata kama viongozi wa chadema wakikaa marekani ni bora wananchi waheshimiwe na wapewe nguvu na si kama ccm , nguvu zinakuwa za polisi. PEOPLES POWER IS VERY POWERFUL THAN WHAT CHADEMA IS OFFERING!!

Ha ha ha haaa! TWI ZEDI nouma WAZIRI WA AFYA AJE AFAGIE HADI SOKO? kaz ipo!
 
najua fika hilo, lakini isiwe ndio sababu ya watu kutohoji utendaji wa wabunge wao wa CDM, kujikosoa na kurekebisha mapungufu ni hatua muhimu katika kujenga chama imara kama yalivyo malengo ya chama chenu.
system ya ccm imeoza mkuu!
 
kuna kitu kinaitwa:
Division of labour kila mmoja kufanya kazi yake na kwa wakati wake.Mbunge hausiki hapo.deal na afisa wa afya
kisa mtu kawa mbunge basi na watoto wake wawe naye kila anpokuwa.be agreat thinker hata kwa vijimambo kama hivi bhana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom