Dr.Slaa: Eid izidi kutuunganisha Watanzania

Dr.Slaa: Eid izidi kutuunganisha Watanzania

Status
Not open for further replies.
Ish kweli lakini.......hivi Prof Safari ninani CDM?? msomi huyu kasomea yote na dini ni aalim,, yu wapi huyu??

Pro Abdallaah Safari ni mjumbe wa kamati kuu, baraza kuu na mkutano mkuu na ni mwenyekiti wa kanda ya Pwani yenye mikoa ya Pwani na Dar es salaam na ni miongoni mwa wanasheria wa chama.

Miongoni mwa kesi alizo simamia chama ni pamoja na ile ya ugaidi ya Lwekatare ambayo alishinda na Lwex hana kesi ya ugaidi tena na nyingine ni ile ya Kilewo ya Igunga ambayo alishirikiana na Kibatala nayo walishinda na kukihami chama na kesi mbaya ya ugaidi wa kubambikizwa.

Alikuwa pia wakili wa chama aliye simamia kesi ya uchaguzi mdogo wa Igunga na kwa hila na ghiriba za ccm kama mtakumbuka kama sio rais kuingilia kesi ile Kafumu angevuliwa ubunge kutokana na ushahidi wa wazi ulio shushwa na mwanasheria na wakali huyu msomi.

Ndiye aliye pendekezwa na chama kukiwalisha kwenye bunge maalumu la katiba lililo kwisha Dodoma.

Yupo chamani na anafanya majukumu anayo pangiwa na chama kama ulivyo ona hapo juu.

Kama kuna la ziada uliza.

Asante.
 
rev masanilo, yule shoga aitwaye kigogo, yericko nyerere, honolulu, nicholas, na mungi, hawa ni miongoni mwa wanachadema ambao wako kwenye mitandao kutwa kuchwa kuutukana uislam. hivi huwa unajisikiaje unapokutana nao iwe ni kwenye vikao na mijumuiko mingeni?
hivi huwa hujihisi kuwa wanakuchora tu?
maana kwenye mitandao wanakutukana mkikutana wanakuchekea.

Huyo jamaa Mohamedi Mtoi yeye Chadema kwanza Uislam baadae hao pro-Chadema uliomtajia kazi yao kutukana Uislam hawezi hata siku moja kuwagusa lakini mtaje Dr.Slaa na Mbowe utaona anavyokushambulia hao ni zaidi ya Mtume kwake.
 
Last edited by a moderator:
Pro Abdallaah Safari ni mjumbe wa kamati kuu, baraza kuu na mkutano mkuu na ni mwenyekiti wa kanda ya Pwani yenye mikoa ya Pwani na Dar es salaam na ni miongoni mwa wanasheria wa chama.

Miongoni mwa kesi alizo simamia chama ni pamoja na ile ya ugaidi ya Lwekatare ambayo alishinda na Lwex hana kesi ya ugaidi tena na nyingine ni ile ya Kilewo ya Igunga ambayo alishirikiana na Kibatala nayo walishinda na kukihami chama na kesi mbaya ya ugaidi wa kubambikizwa.

Alikuwa pia wakili wa chama aliye simamia kesi ya uchaguzi mdogo wa Igunga na kwa hila na ghiriba za ccm kama mtakumbuka kama sio rais kuingilia kesi ile Kafumu angevuliwa ubunge kutokana na ushahidi wa wazi ulio shushwa na mwanasheria na wakali huyu msomi.

Ndiye aliye pendekezwa na chama kukiwalisha kwenye bunge maalumu la katiba lililo kwisha Dodoma.

Yupo chamani na anafanya majukumu anayo pangiwa na chama kama ulivyo ona hapo juu.

Kama kuna la ziada uliza.

Asante.

Hapa chini ni picha Prof Safari akiwa kwenye KK ya juzi.
 

Attachments

  • 1406891840446.jpg
    1406891840446.jpg
    44.8 KB · Views: 68
Ungekuwa unasoma kile unachokinukuu na kile unachokiandika ingekusaidia sana ktk kujenga hoja. Vinginevyo niache nikupuuze mkuu

BACK TANGANYIKA
sio mbaya ukanipuuza na wala sikushangai. lakini elewa kuwa huko ndo tulikotoka japokuwa leo hii mpo bize mitandaoni kututukana tena bila aibu.
 
Huyo jamaa Mohamedi Mtoi yeye Chadema kwanza Uislam baadae hao pro-Chadema uliomtajia kazi yao kutukana Uislam hawezi hata siku moja kuwagusa lakini mtaje Dr.Slaa na Mbowe utaona anavyokushambulia hao ni zaidi ya Mtume kwake.
huyu jamaa anashangaza sana mkuu. sikatai yeye kuwa chadema lakini sio kuwa na mahaba kiasi hiki anachokionesha. busara ingemuongoza kidogo, ikiwa ni pamoja na hata kuwashauri hao walio busy kuutukana uislam kwenye mitandao kwa chuki zao tu maana naamini wengine anawafahamu fika kwa sura na majina yao halisi. lakini kama ulivyosema, uislam ukitukanwa na hao ma-pro-chadema sawa ila akiguswa slaa/mbowe ni kam miungo yake.
lakini pia kubwa zaidi wanachonishangaza hawa wa Tz wenzetu ni jinsi walivyosahau wema na ukarimu wetu. kabla ya uhuru waislam ndo walikuwa active kuupinga ukoloni na hata maeneo yaliyokuwa active ni ya waislam kama Tanga, Dar Tabora na kusini mwa Tz, lakini pamoja na hayo waislam walimkaribisha nyerere kutoka huko butiama ambako hakukuwa na harakati zozote za kudai uhuru lakini wakampa uongozi bila kinyongo na bila ya kujali dini yake. na kama haitoshi bado wakampa hata na hela ya kujikimu.
huwa najiuliza hivi hawa watanzania wenzetu wanapataga wapi hii courage ya kututukana eti sisi tuna chuki nao.
 
Mnafiki sana huyu mzee, cdm na waislamu wapi na wapi?

Dr tunakushukuru sana kwa salaam zako, nawe mola akupe afya na maisha marefu. Kwa wale wanafiki wanaopenda kutuletea fitna za kidi mola atamuangamiza, waTanzania tunapendana sana, siasa isituletee ushabiki wa kubaguana

Thank u Dr
 
Huyo jamaa Mohamedi Mtoi yeye Chadema kwanza Uislam baadae hao pro-Chadema uliomtajia kazi yao kutukana Uislam hawezi hata siku moja kuwagusa lakini mtaje Dr.Slaa na Mbowe utaona anavyokushambulia hao ni zaidi ya Mtume kwake.

Mkuu.

Nimekuwa nakupuuza mara nyingi kwa aina ya michango yako na lugha unazotumia, hata hivyo nimeona pamoja na kukupuuza kwako walau basi nikujibu kidogo.

Naomba kusema haya.

1. Mimi na wewe malezi yetu ni tofauti sana! Wewe huwa unatukanana na wanaotukana au kukashifu uislamu, unatumia jina bandia kama wanao tukana na kukashifu uislam. Matokeo yake unakuwa huna tofauti nao maana wote mnakuwa hamna tofauti.

2. Mimi sijafunzwa na kulelewa kwenye matusi na natumia majina yangu halisi na naamini kwenye nguvu ya hoja. Sihitaji kutukanana na hao unao sema "...wanakashfu na kutukana..." bali nahitaji kuyashinda matusi yao kwa hoja na kuwaonyesha uzuri wa imani yangu na ubora unao patikana kwenye dini yangu, mafundisho yake na hadithi murua za kipenzi cha mwenyezi Mungu (SAW).

3. Dini yetu ina ongozwa na misingi yake na utamaduni wake una bebwa na hadithi za mtume (SAW) pamoja na miongozo ya kitabu kitukufu kisicho kuwa na shaka ndani yake (Quran), wanao kashifu au kutukana hawawezi kuufifisha uislamu kwa kuwa uislamu hauja wahi kufifishwa kwa matusi achilia mbali kejeli tangu enzi za dahari. Wanao tukana au kukejeli wanapaswa kujibiwa kwa kuelimishwa kwa hoja ili waone tofauti ya kimtazamo walio kuwa awali na baada ya kuwakazia maarifa. Matusi kwa matusi sio njia muafaka na ni kinyume na mafundisho ya dini yetu.

4. Unao waita "...pro - chadema..." ni kina nani na naomba link za thread zenye matusi yao. Sishindi humu 24/7 huenda kuna thread nyingine sijaziona. Naomba zenye majina ambayo ni verified kama una uhakika nazo maana ndio njia nyepesi ya kumjua pro chadema kuliko hao wanao tumia majina fake.

Wabillaah tawfiq

Salaam alykum.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu.

Nimekuwa nakupuuza mara nyingi kwa aina ya michango yako na lugha unazotumia, hata hivyo nimeona pamoja na kukupuuza kwako walau basi nikujibu kidogo.

Naomba kusema haya.

1. Mimi na wewe malezi yetu ni tofauti sana! Wewe huwa unatukanana na wanaotukana au kukashifu uislamu, unatumia jina bandia kama wanao tukana na kukashifu uislam. Matokeo yake unakuwa huna tofauti nao maana wote mnakuwa hamna tofauti.

2. Mimi sijafunzwa na kulelewa kwenye matusi na natumia majina yangu halisi na naamini kwenye nguvu ya hoja. Sihitaji kutukanana na hao unao sema "...wanakashfu na kutukana..." bali nahitaji kuyashinda matusi yao kwa hoja na kuwaonyesha uzuri wa imani yangu na ubora unao patikana kwenye dini yangu, mafundisho yake na hadithi murua za kipenzi cha mwenyezi Mungu (SAW).

3. Dini yetu ina ongozwa na misingi yake na utamaduni wake una bebwa na hadithi za mtume (SAW) pamoja na miongozo ya kitabu kitukufu kisicho kuwa na shaka ndani yake (Quran), wanao kashifu au kutukana hawawezi kuufifisha uislamu kwa kuwa uislamu hauja wahi kufifishwa kwa matusi achilia mbali kejeli tangu enzi za dahari. Wanao tukana au kukejeli wanapaswa kujibiwa kwa kuelimishwa kwa hoja ili waone tofauti ya kimtazamo walio kuwa awali na baada ya kuwakazia maarifa. Matusi kwa matusi sio njia muafaka na ni kinyume na mafundisho ya dini yetu.

4. Unao waita "...pro - chadema..." ni kina nani na naomba link za thread zenye matusi yao. Sishindi humu 24/7 huenda kuna thread nyingine sijaziona. Naomba zenye majina ambayo ni verified kama una uhakika nazo maana ndio njia nyepesi ya kumjua pro chadema kuliko hao wanao tumia majina fake.

Wabillaah tawfiq

Salaam alykum.

yericko nyerere
 
Mkuu.

Nimekuwa nakupuuza mara nyingi kwa aina ya michango yako na lugha unazotumia, hata hivyo nimeona pamoja na kukupuuza kwako walau basi nikujibu kidogo.

Naomba kusema haya.

1. Mimi na wewe malezi yetu ni tofauti sana! Wewe huwa unatukanana na wanaotukana au kukashifu uislamu, unatumia jina bandia kama wanao tukana na kukashifu uislam. Matokeo yake unakuwa huna tofauti nao maana wote mnakuwa hamna tofauti.

2. Mimi sijafunzwa na kulelewa kwenye matusi na natumia majina yangu halisi na naamini kwenye nguvu ya hoja. Sihitaji kutukanana na hao unao sema "...wanakashfu na kutukana..." bali nahitaji kuyashinda matusi yao kwa hoja na kuwaonyesha uzuri wa imani yangu na ubora unao patikana kwenye dini yangu, mafundisho yake na hadithi murua za kipenzi cha mwenyezi Mungu (SAW).

3. Dini yetu ina ongozwa na misingi yake na utamaduni wake una bebwa na hadithi za mtume (SAW) pamoja na miongozo ya kitabu kitukufu kisicho kuwa na shaka ndani yake (Quran), wanao kashifu au kutukana hawawezi kuufifisha uislamu kwa kuwa uislamu hauja wahi kufifishwa kwa matusi achilia mbali kejeli tangu enzi za dahari. Wanao tukana au kukejeli wanapaswa kujibiwa kwa kuelimishwa kwa hoja ili waone tofauti ya kimtazamo walio kuwa awali na baada ya kuwakazia maarifa. Matusi kwa matusi sio njia muafaka na ni kinyume na mafundisho ya dini yetu.

4. Unao waita "...pro - chadema..." ni kina nani na naomba link za thread zenye matusi yao. Sishindi humu 24/7 huenda kuna thread nyingine sijaziona. Naomba zenye majina ambayo ni verified kama una uhakika nazo maana ndio njia nyepesi ya kumjua pro chadema kuliko hao wanao tumia majina fake.

Wabillaah tawfiq

Salaam alykum.

Mkuu Mtoi. Umemjibu vizuri sana huyu ndugu mpaka raha. Ni kweli katika ulimwengu huu kuna watu wanaosababisha dini fulani ionekane ya hovyo kwa jinsi wanavyoipresent mbele ya jamii. Kwa hakika nakuambia msingekuwepo watu mnaopresent upande halisi wa uislam, na kuwaacha hawa akina Ritz, THE BIG SHOW na FF ndio watupatie picha ya uislam. Ingekuwa vigumu sana kuwaaminisha wasio waislam uzuri na ustaarabu wa dini ya kiislam. Mwenyezi Mungu azidi kukuongezea hekima na kukutumia kuuhubiri uislam kwa vitendo.
 
Qur'an 2:14. Na wanapo kutana na walio amini husema: Tumeamini. Na wanapo kuwa peke yao na mashet'ani wao husema: Hakika sisi tu pamoja nanyi. Hakika sisi tunawadhihaki tu.

Soma zaidi: 2 Sura Al Baqara
 
Qur'an 2:14. Na wanapo kutana na walio amini husema: Tumeamini. Na wanapo kuwa peke yao na mashet'ani wao husema: Hakika sisi tu pamoja nanyi. Hakika sisi tunawadhihaki tu.

Soma zaidi: 2 Sura Al Baqara

Mkuu FaizaFoxy.

Nashukuru kwa kunikumbusha sura hii japo pamoja na nyingine nimekuwa nazipitia mara kwa mara kwenye kutwahlii kwangu kila mara ikiwa ni pamoja na kusoma vitabu vingine vya dini vya kuniongezea maarifa.

Baada ya shukrani zangu za dhati kabisa kwako, Hebu naomba nisaidie.

1. Kwa kuwa hatuna chama cha waislamu peke yao na kwa kuwa chama hicho kwa mazingira ya hapa nchini hakiwezi kuruhusiwa kufanya siasa kama ilivyotokea kwa muslim brotherhood kule Egypt unashauri waislamu wanao penda siasa wajiunge na chama gani kwenye hivi vilivyopo sasa na kwa nini?!

2. Salamu za Eid za Dr Slaa dosari yake ni nini?! Na salamu za Eid za Mizengo Pinda pamoja na mahubiri yake ya Baraza la Eid uzuri wake ni upi unao onyesha tofauti ya kiimani kati ya Dr Slaa na Mizengo Pinda?!

3. Kama kwenye maandiko matukufu ya Quran mwenyezi Mungu anatuambia "...ametuumba mataifa na makabila mbalimbali ili tujuane na m-bora miongoni mwetu ni mcha Mungu.."; lakini wakati huohuo na kipenzi cha mwenyezi Mungu mtukufu Muhammad SAW aliwahi kuishi na watu wa dini nyingine kwa amani bila mafarakano tena miongoni mwa hadithi zake akionya kuwa tusichane hata kipande cha kitambaa cha bendera ya kanisa. Nini maoni yako kwa watu wa imani nyingine walioko kwenye chama unacho shabikia kama unaona tatizo liko kwa watu wa imani yako walioko kwenye vyama vingine?!

Wabillaah Tawfiq

Kila jema na lenye kheri lisikuponyoke mkuu.
 
Mkuu.

Nimekuwa nakupuuza mara nyingi kwa aina ya michango yako na lugha unazotumia, hata hivyo nimeona pamoja na kukupuuza kwako walau basi nikujibu kidogo.

Naomba kusema haya.

1. Mimi na wewe malezi yetu ni tofauti sana! Wewe huwa unatukanana na wanaotukana au kukashifu uislamu, unatumia jina bandia kama wanao tukana na kukashifu uislam. Matokeo yake unakuwa huna tofauti nao maana wote mnakuwa hamna tofauti.

2. Mimi sijafunzwa na kulelewa kwenye matusi na natumia majina yangu halisi na naamini kwenye nguvu ya hoja. Sihitaji kutukanana na hao unao sema "...wanakashfu na kutukana..." bali nahitaji kuyashinda matusi yao kwa hoja na kuwaonyesha uzuri wa imani yangu na ubora unao patikana kwenye dini yangu, mafundisho yake na hadithi murua za kipenzi cha mwenyezi Mungu (SAW).

3. Dini yetu ina ongozwa na misingi yake na utamaduni wake una bebwa na hadithi za mtume (SAW) pamoja na miongozo ya kitabu kitukufu kisicho kuwa na shaka ndani yake (Quran), wanao kashifu au kutukana hawawezi kuufifisha uislamu kwa kuwa uislamu hauja wahi kufifishwa kwa matusi achilia mbali kejeli tangu enzi za dahari. Wanao tukana au kukejeli wanapaswa kujibiwa kwa kuelimishwa kwa hoja ili waone tofauti ya kimtazamo walio kuwa awali na baada ya kuwakazia maarifa. Matusi kwa matusi sio njia muafaka na ni kinyume na mafundisho ya dini yetu.

4. Unao waita "...pro - chadema..." ni kina nani na naomba link za thread zenye matusi yao. Sishindi humu 24/7 huenda kuna thread nyingine sijaziona. Naomba zenye majina ambayo ni verified kama una uhakika nazo maana ndio njia nyepesi ya kumjua pro chadema kuliko hao wanao tumia majina fake.

Wabillaah tawfiq

Salaam alykum.
Wewe kauzu kweli wapi mimi nimetukanana na mtu humu JF uzuri JF kuna sheria ukituka unapewa ban hizo kauli za kunisingizia mimi matusi ni kukwepa ukweli.

Ni kweli mimi na wewe malezi yetu ni tofauti inawezekana wewe umelelewa na mama peke yake na umeiga tabia za mama yako.

Uislam hauitaji unafiki kama wako hivi kuwajua pro-chadema wanaotunana Uislam humu JF kunaitaji elimu ya chuo hivi Yericko na kundi lake wewe hauwajui, wewe unaogopa kuwajibu utafukuzwa Chadema wewe siyo mwenzao unajipendekeza tu kutokana na melezi yako.

Mohamed na Chadema wapi na wapi.
 
Wewe kauzu kweli wapi mimi nimetukanana na mtu humu JF uzuri JF kuna sheria ukituka unapewa ban hizo kauli za kunisingizia mimi matusi ni kukwepa ukweli.

Ni kweli mimi na wewe malezi yetu ni tofauti inawezekana wewe umelelewa na mama peke yake na umeiga tabia za mama yako.

Uislam hauitaji unafiki kama wako hivi kuwajua pro-chadema wanaotunana Uislam humu JF kunaitaji elimu ya chuo hivi Yericko na kundi lake wewe hauwajui, wewe unaogopa kuwajibu utafukuzwa Chadema wewe siyo mwenzao unajipendekeza tu kutokana na melezi yako.

Mohamed na Chadema wapi na wapi.

Ndio maana awali nilisena huwa nakupuuza kwa aina ya michango na lugha zako.

Utajadiliana na watu wa kariba yako mnao wezana kwa lugha hizo.

Leo hii mama anakuwa mtu wa kumdhihaki wakati dini yenyewe inatufundisha kuwa pepo iko chini ya nyayo za mama zetu.

Kila la kheri mkuu.
 
Mkuu Mtoi. Umemjibu vizuri sana huyu ndugu mpaka raha. Ni kweli katika ulimwengu huu kuna watu wanaosababisha dini fulani ionekane ya hovyo kwa jinsi wanavyoipresent mbele ya jamii. Kwa hakika nakuambia msingekuwepo watu mnaopresent upande halisi wa uislam, na kuwaacha hawa akina Ritz, THE BIG SHOW na FF ndio watupatie picha ya uislam. Ingekuwa vigumu sana kuwaaminisha wasio waislam uzuri na ustaarabu wa dini ya kiislam. Mwenyezi Mungu azidi kukuongezea hekima na kukutumia kuuhubiri uislam kwa vitendo.
Wewe kauzu kweli Uislam ni dini inayojisimamia yenyewe wala Uislam hauitaji mtu kuutangaza Uslam ni dini inayokuwa kwa kasi duniani kila pembe ya dunia Uislam unaota mizizi wala Uislam haitaji upendwe na wanadiki kama nyie wa Chadema kila siku Uislam unatukanwa humu JF upo kimya watu wakiwajibu povu linawatoka...ukiona Muislam anapendwa na maadui wa Uislam jiulize mara mbili.
 
Ndio maana awali nilisena huwa nakupuuza kwa aina ya michango na lugha zako.

Utajadiliana na watu wa kariba yako mnao wezana kwa lugha hizo.

Leo hii mama anakuwa mtu wa kumdhihaki wakati dini yenyewe inatufundisha kuwa pepo iko chini ya nyayo za mama zetu.

Kila la kheri mkuu.
Wewe kauzu kweli nakujibu kutokana na majibu yako wewe umeongelea malezi yangu nani alinilea?

Msalimie Josephine na Junior kauzu wewe.
 
asante sana kamanda kwa ujumbe hawa ccm tumeshawazoea wakisikia DR SLAA wanaweweseka sana tusiwashangae hawa wahuni na wabaguzi wakubwa ccm
 
Pro Abdallaah Safari ni mjumbe wa kamati kuu, baraza kuu na mkutano mkuu na ni mwenyekiti wa kanda ya Pwani yenye mikoa ya Pwani na Dar es salaam na ni miongoni mwa wanasheria wa chama.

Miongoni mwa kesi alizo simamia chama ni pamoja na ile ya ugaidi ya Lwekatare ambayo alishinda na Lwex hana kesi ya ugaidi tena na nyingine ni ile ya Kilewo ya Igunga ambayo alishirikiana na Kibatala nayo walishinda na kukihami chama na kesi mbaya ya ugaidi wa kubambikizwa.

Alikuwa pia wakili wa chama aliye simamia kesi ya uchaguzi mdogo wa Igunga na kwa hila na ghiriba za ccm kama mtakumbuka kama sio rais kuingilia kesi ile Kafumu angevuliwa ubunge kutokana na ushahidi wa wazi ulio shushwa na mwanasheria na wakali huyu msomi.

Ndiye aliye pendekezwa na chama kukiwalisha kwenye bunge maalumu la katiba lililo kwisha Dodoma.

Yupo chamani na anafanya majukumu anayo pangiwa na chama kama ulivyo ona hapo juu.

Kama kuna la ziada uliza.

Asante.
Mohamedi Mtoi,, asante kwanza kwa kutokuwa na jazba na uwezo wa kufafanua hivyo ndivyo inavyotakiwa kwa vijana wanaokipenda chama chao.. toeni ufafanuzi kwa staha bika matusi kama ulivyofanya,,,, maana wengi tumekosa ukweli mambo mengi ya chadema,, ukiiuliza humu unaambiwa wewe si maCCM chadema inakuhusu nini,, utafikiri kwenye kupiga kura lazima uwe mwanachama ,,, kwa sasa CDM iweke mazingira hata ya kupigiwa kura na CCM ,,mimi nimepiga kura toka 1995 lakini sijapata kupenda chama japo kwa mbaali nilipenda CUF
 
Last edited by a moderator:
Wewe kauzu kweli Uislam ni dini inayojisimamia yenyewe wala Uislam hauitaji mtu kuutangaza Uslam ni dini inayokuwa kwa kasi duniani kila pembe ya dunia Uislam unaota mizizi wala Uislam haitaji upendwe na wanadiki kama nyie wa Chadema kila siku Uislam unatukanwa humu JF upo kimya watu wakiwajibu povu linawatoka...ukiona Muislam anapendwa na maadui wa Uislam jiulize mara mbili.

sweeping analysis, mohamed mtoi ana hekima sana kuliko wewe mbulumundu.elimu imemkomboa mtoi.ni waislamu wachache sana kuwapata wenye mawazo chanya tofauti na wewe na faizafoxy
 
sweeping analysis, mohamed mtoi ana hekima sana kuliko wewe mbulumundu.elimu imemkomboa mtoi.ni waislamu wachache sana kuwapata wenye mawazo chanya tofauti na wewe na faizafoxy
Kiazi kama wewe ndiyo unapima hekima humu teh teh teh teh.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom