Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,331
Mohamedi Mtoi,, asante kwanza kwa kutokuwa na jazba na uwezo wa kufafanua hivyo ndivyo inavyotakiwa kwa vijana wanaokipenda chama chao.. toeni ufafanuzi kwa staha bika matusi kama ulivyofanya,,,, maana wengi tumekosa ukweli mambo mengi ya chadema,, ukiiuliza humu unaambiwa wewe si maCCM chadema inakuhusu nini,, utafikiri kwenye kupiga kura lazima uwe mwanachama ,,, kwa sasa CDM iweke mazingira hata ya kupigiwa kura na CCM ,,mimi nimepiga kura toka 1995 lakini sijapata kupenda chama japo kwa mbaali nilipenda CUF
Mkuu.
Nashukuru. Kama una lolote nje ya mnakasha huu ambalo unataka kupata ufafanuzi tafadhari usisite tuwasiliane.
Twitter ¤mohamedimtoi
Facebook: facebook.com/mouddymtoi
Ubarikiwe sana.
Last edited by a moderator: