William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
-
- #21
Naona haukuwa makini kusoma taarifa ya dr na mahojiano yake na kituo cha Runinga cha chanel 5.Dr alimtaka Nape apeleke ushahidi kuwa kadi imelipiwa ofisi gani na lini,acha ukilaza......
- Ndio tatizo letu kubwa Africans, huwa tunadharau sana mambo flani na kuyaita madogo ukweli ni kwamba record inajiweka wazi hapa kwamba Slaa akipewa Uongozi wa Jamhuri atakuwa ni Kiongozi wa namna gani na Chadema pia mkipewa uongozi wa Jamhuri mtakuwa ni watawala wa namna gani, mtakuwa mnaoena wadogo tu na kuwaacha wakubwa kwa visingizio kwamba ni mambo madogo!!
- Katibu Mkuu mzima wa Chama cha Ukombozi, amegombea mpaka Urais na bado anataka kugombea tena leo anakutwa na kadi ya CCM, mnajaribu kila njia kumtetea je akiwa Rais itakuwaje? Kwenye hili Chadema mnatungusha sana Taifa hili, kama Slaa ana kadi ya CCM na anailipia basi hafai kuwa kiongozi wa Taifa huko Chadema wala Jamhuri na inaleta maswali magumu sana kama kweli mpo serious na kushika Taifa!!
le mutuz
........
- Katibu Mkuu mzima wa Chama cha Ukombozi, amegombea mpaka Urais na bado anataka kugombea tena leo anakutwa na kadi ya CCM, mnajaribu kila njia kumtetea je akiwa Rais itakuwaje? Kwenye hili Chadema mnatungusha sana Taifa hili, kama Slaa ana kadi ya CCM na anailipia basi hafai kuwa kiongozi wa Taifa huko Chadema wala Jamhuri na inaleta maswali magumu sana kama kweli mpo serious na kushika Taifa!! le mutuz ........
Hawezi kuwa raisi wa mataahira kama wa CCM.
Mkuu una maana kuwa yeye ni mwanachama wa CCM?
Hili sharti la kutoka uanachama unapojiunga na chama cha upinzani unasemaje?
- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.
- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?
LE MUTUZ - THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA.
Kwani Jumanne alikuwa mtu wa namna gani?- Ndio tatizo letu kubwa Africans, huwa tunadharau sana mambo flani na kuyaita madogo ukweli ni kwamba record inajiweka wazi hapa kwamba Slaa akipewa Uongozi wa Jamhuri atakuwa ni Kiongozi wa namna gani na Chadema pia mkipewa uongozi wa Jamhuri mtakuwa ni watawala wa namna gani, mtakuwa mnaoena wadogo tu na kuwaacha wakubwa kwa visingizio kwamba ni mambo madogo!!
- Katibu Mkuu mzima wa Chama cha Ukombozi, amegombea mpaka Urais na bado anataka kugombea tena leo anakutwa na kadi ya CCM, mnajaribu kila njia kumtetea je akiwa Rais itakuwaje? Kwenye hili Chadema mnatungusha sana Taifa hili, kama Slaa ana kadi ya CCM na anailipia basi hafai kuwa kiongozi wa Taifa huko Chadema wala Jamhuri na inaleta maswali magumu sana kama kweli mpo serious na kushika Taifa!!
le mutuz
- alianza mheshimiwa nape kwa kusema kwamba dr. Slaa anayo kadi ya ccm, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then mh. Nape akaongeza tena kwamba dr. Slaa amekuwa akiilipia kadi yake ya ccm kila mwezi, akiwa na maana hata mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya ccm.
- mpaka leo dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa chadema na dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye uongozi wao wa taifa na mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu chadema wamefukuza the so called mamluki, sasa kama kina slaa wanaachiwa ina maana chadema ikishika taifa kutakuwa na sheria mbili, moja ya slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?
le mutuz - the king of all bongo network social media.
........
Mkuu bado unauliza hayo pamoja na kujua katiba ya CCM?- I mean ukiwa na kadi ya chama kingine cha siasa na unailipia kila mwezi si unakuwa mwanachama wa kile chama au?
le mutuz
........
- alianza mheshimiwa nape kwa kusema kwamba dr. Slaa anayo kadi ya ccm, dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba dr. Slaa amekuwa akiilipia kadi yake ya CCM kila mwezi, akiwa na maana hata mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.
- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye uongozi wao wa taifa na mamluki.
Hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu chadema wamefukuza the so called mamluki, sasa kama kina slaa wanaachiwa ina maana chadema ikishika taifa kutakuwa na sheria mbili, moja ya slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?
le mutuz - the king of all bongo network social media.
.......
Wanaoshabikia hoja ya kadi ya Dr. Slaa ni mbumbumbu. - Mh. Tundu Lissu
........
- I mean ukiwa na kadi ya chama kingine cha siasa na unailipia kila mwezi si unakuwa mwanachama wa kile chama au?
le mutuz.......
mbona unawaza kwa kurudi nyuma mkuu, kichwani uko sawa kweli ama maumivu ya kunyimwa nafasi ya uongozi kwa ccm bado hayajaisha...
........
Hivi mtu mzima mwenye akili timamu unaweza jiita "THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA"Kweli mzee malecela amekula hasara.