Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Mnafiki na mzandiki Zitto sijui ataficha wapi sura yake,
Haya wafadhili wa chama waliopo ughaibuni wamesifu usimamizi imara na udhibiti wa pesa za chama.
Sasa jiandae baada ya siku nne zilizosalia kwenye siku 14, jiandae tunakurudisha mwandiga ukavue migebuka, siasa ulivamia kwa pupa kijana!
Haya wafadhili wa chama waliopo ughaibuni wamesifu usimamizi imara na udhibiti wa pesa za chama.
Sasa jiandae baada ya siku nne zilizosalia kwenye siku 14, jiandae tunakurudisha mwandiga ukavue migebuka, siasa ulivamia kwa pupa kijana!