Jeremiah
JF-Expert Member
- Feb 17, 2009
- 644
- 129
Kuzaa uzeeni maana yake nini? Nyinyi mnazaa mapema kwa sababu ya woga wa maisha tu. Kama unazaa hata miaka 90 ilimladi pay iwe fresh . Watoto watawagombaniwa na ndugu kwa sababu namna ya kuwalea mpaka 18 yrs siyo issue. Unataka kusema Iblahim alipo mzaa Isack alikuwa na maana gani? Je Mungu alikuwa kichaa mpaka Isack azaliwe na Iblahim katika umri huo? Je nani alimlaumu au kumdhihaki Ibrahim ? Enyi watu na imani haba badilikeni kuweni na malengo ya muda mrefu. Huoni huyo kijana wa mzee (DR) atakuwa mlithi mwema wa busara za mzee kwa vizazi vijavyo ambapo hata wewe unayeponda na mimi hatutakuwepo?. Mwache DR afanye kazi ya Mungu amejaliwa.
Ni wa kuiga kabisa , hasa kwa kuiba wake za watu, kuzaa uzeeni, kutelekeza mke wa ndoa, kutelekeza watoto, kupinga ufisadi wakati ukijikopesha vyama, mi nasema aigwe tu.