pablo escober
Member
- Jun 12, 2013
- 81
- 3
ccm hamna hoja hata kidogo mmekazania hoja zisizo wahusu,ruzuku ya chadema wewe inakuhusu nini?hivi hamuoni hata haya kufuatilia matumizi ya pesa ambazo haziwahusu?hivi unaanzaje kuuliza bajeti ya maisha ya jiran yako? Huu umbea vijana wa ccm utawaisha lini?
kwani ruzuku inatoka wapi mbinguni au ?kama Kwenye kodi zetu anayo haki kujua matumizi yake hakuna itikadi ya chama hapo mkuu