Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

Kuzaa uzeeni maana yake nini? Nyinyi mnazaa mapema kwa sababu ya woga wa maisha tu. Kama unazaa hata miaka 90 ilimladi pay iwe fresh . Watoto watawagombaniwa na ndugu kwa sababu namna ya kuwalea mpaka 18 yrs siyo issue. Unataka kusema Iblahim alipo mzaa Isack alikuwa na maana gani? Je Mungu alikuwa kichaa mpaka Isack azaliwe na Iblahim katika umri huo? Je nani alimlaumu au kumdhihaki Ibrahim ? Enyi watu na imani haba badilikeni kuweni na malengo ya muda mrefu. Huoni huyo kijana wa mzee (DR) atakuwa mlithi mwema wa busara za mzee kwa vizazi vijavyo ambapo hata wewe unayeponda na mimi hatutakuwepo?. Mwache DR afanye kazi ya Mungu amejaliwa.
Ni wa kuiga kabisa , hasa kwa kuiba wake za watu, kuzaa uzeeni, kutelekeza mke wa ndoa, kutelekeza watoto, kupinga ufisadi wakati ukijikopesha vyama, mi nasema aigwe tu.
 
ccm hamna hoja hata kidogo mmekazania hoja zisizo wahusu,ruzuku ya chadema wewe inakuhusu nini?hivi hamuoni hata haya kufuatilia matumizi ya pesa ambazo haziwahusu?hivi unaanzaje kuuliza bajeti ya maisha ya jiran yako? Huu umbea vijana wa ccm utawaisha lini?

kwani ruzuku inatoka wapi mbinguni au ?kama Kwenye kodi zetu anayo haki kujua matumizi yake hakuna itikadi ya chama hapo mkuu
 
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.

kuna ukweli wowote hapa!
 
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.

recodi yake inasaidiaje kutuondolea umasikini???
 
Kwa ufupi kabisa mimi si mfuasi wa siasa za mrengo wowote lakini Dr Slaa ndiye kiongozi anayeongoza kwa kuwa na maadili na uadilifu (ethical and integrity) apart from JK Nyerere. i.e. a good leader " A good leader leads by doing ..... he lives his words" vise versa yake ndo viongozi tulionao sasa''

Nini maana ya uadilifu? naomba kufahamishwa.
 
Walicho kitangaza ni kuwa Dr. Slaa ni kiongozi jasiri bila kujali kuwa ni padri alihaidi kualalisha gongo nchi Tz akipewa dola.


Usijifanye una mdomo mchafu sana sio ajabu maisha yenu yanategemea gongo na inawezekana mimba yako ilihongewa gongo tena vochakani.
 
Inawezekana make ht matonya alikuwa maarufu inategemea umaarufu huo ni kitu gani uwenda kula ruzuku kutelekeza familia kuduu sana dogodogo au katka siasa......
 
Ombi langu kwa wana Jamii forum, naomba tuwe wa kweli, pale panapostahili ukweli hatuna budi tuukiri na palipo na uongo inabidi tuseme ukweli tu, siyo kila suala kulisifu au kuliponda kutokana na itikadi zetu, TUBADILIKE JAMANI.
 
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.
Hapa nchini chadema inaminya ruzuku haiwafikii wa ngazi za chini. Labda kwa kuwa Mzee wa gongo
 
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.
wewe unajua kaz ya m/kit? au unafikir na ccbrt haina mwenyenayo km cdm! tungempongeza km angekua mkurugenz mtendaj lkn kwa m/kit n kumpa sifa zisizo mstahir! atuambie matumiz ya chama yakoje km kiongoz wa kisiasa
 
Khaa!!! Utani gani mnaleta?? Pesa alizosomamia ni hizi hizi zinazomg'oa ZZK na zile zilizomuua Chacha Wangwe???
 
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.

.
Ukweli usiopingika hakuna kiongozi mahiri na kiboko cha wezi wa mali za umma kama Dr Slaa. Ndio maana unaona kwa sasa chama Tawala sisiem kwa kumhofu huyu mtu makini Slaa wanaweza kumhonga mtu mmoja tu pesa za walipa kodi wa hii nchi masikini kiasi cha zaidi ya dola za kimarekani milioni moja ili kupunguza nguvu za Slaa.
Goo Slaa gooo, whether people like or not you are the next president of our nation.
HAEVENLY FATHER WE PRAY THAT YOU BLESS AND GUARD THIS PERSON DR SLAA.
 
wewe unajua kaz ya m/kit? au unafikir na ccbrt haina mwenyenayo km cdm! tungempongeza km angekua mkurugenz mtendaj lkn kwa m/kit n kumpa sifa zisizo mstahir! atuambie matumiz ya chama yakoje km kiongoz wa kisiasa

Akuambie we ni CAG? Bac utuambie za vyama vingine
 
Back
Top Bottom