Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.

WASHNGTON

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KIMEVUNJA REKODI YA VYAMA VYA SIASA NCHINI TANZANIA KWA KUFIKISHA IDADI YA WANACHAMA MILIONI(10)

HAYO YALIBAINISHWA HIVI KARIBUNI NA MKUU WA UTAFITI SERA NA MAHUSIANO WA CHAMA HICHO AKIWA MJINI WASHNGTON

ALISEMA
CHADEMA KWA SASA NI TAASISI INAYOJITEGEMEA KWA KUWA NA WQNACHAMA ZAIDI YA MILIONI KUMI TANZANIA BARA PEKEE.

HATUA HIO INAIFANYA CHADEMA KUVUNJA REKODI YA VYAMA VYOYE TANZANIA IKIWEMO CCM,CUF,TLP,UDP,NK

hakuna ukweli katika ili,tuwekee list ya wanachama
 
Aa Hawajamtendea Haki Dr, Yule Sio Africa Tu, Ni Duniani Kwa Ujumla, Yani Yule Mzee Aisee Ni Hatari.
 
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.

WASHNGTON

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KIMEVUNJA REKODI YA VYAMA VYA SIASA NCHINI TANZANIA KWA KUFIKISHA IDADI YA WANACHAMA MILIONI(10)

HAYO YALIBAINISHWA HIVI KARIBUNI NA MKUU WA UTAFITI SERA NA MAHUSIANO WA CHAMA HICHO AKIWA MJINI WASHNGTON

ALISEMA
CHADEMA KWA SASA NI TAASISI INAYOJITEGEMEA KWA KUWA NA WQNACHAMA ZAIDI YA MILIONI KUMI TANZANIA BARA PEKEE.

HATUA HIO INAIFANYA CHADEMA KUVUNJA REKODI YA VYAMA VYOYE TANZANIA IKIWEMO CCM,CUF,TLP,UDP,NK
Familia kate rero,mama mshu mbishi.
 
Huoni kwamba hio ni ccm huku ni Chadema

Nilijua tu utashindwa kunielewa,kwa mujibu wa taarifa rasmi CCM ndi chama chenye wanachama wengi TZ,sasa wenyewe wako mil 4 huyu DJ msaidizi wa Mbowe anatuambia Chadema ina wanachama mil 10,unawanachama mil 10 uchaguzi unapata kura mil 2 hao mil 8 ni wasaliti fukuza.
 
Habari ya 2013 unaleta Leo.Shetani gani Chadomo anawadanganya kiasi cha kuchanganyikiwa kiasi hicho.Wakati kibabu cha Watu anajipooza na kibinti cha watu USA mida hii
 
Dokita Silaha AMEm-biti profes@ Lipumba duh!
Kweli huyu dokta anafaa kabisa kuitwa mchumi makini.

Cc FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Cdm ni mabigwa wa uongo . uwe na wanachama ml 10 ukose kula ml 7 ili kutangazwa rais? Sasa maana ya kapeni nini?
 
Jamaa anayezungumzia pochi ya USD 500 ivi anajua Jk alitumia USD ngapi kutibiwa tezi dume atupe data basi
 
iki kibabu kischo na adabu labda kitakua kimevunja rekodi ya unzinzi tu na kuingia gest zote za dar..
 
Back
Top Bottom