Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

ccm hamna hoja hata kidogo mmekazania hoja zisizo wahusu,ruzuku ya chadema wewe inakuhusu nini?hivi hamuoni hata haya kufuatilia matumizi ya pesa ambazo haziwahusu?hivi unaanzaje kuuliza bajeti ya maisha ya jiran yako? Huu umbea vijana wa ccm utawaisha lini?

Hizo fedha za ruzuku ya chadema zinatuhusu wote kwani zinatokana na kodi ya wananchi wote bila kujali itikadi.
 
Kwa ufupi kabisa mimi si mfuasi wa siasa za mrengo wowote lakini Dr Slaa ndiye kiongozi anayeongoza kwa kuwa na maadili na uadilifu (ethical and integrity) apart from JK Nyerere. i.e. a good leader " A good leader leads by doing ..... he lives his words" vise versa yake ndo viongozi tulionao sasa''
 
Huyu mzee ana record nyingi sana mojawapo ni kuwa Katibu Mkuu wa chama pinzani mwenye mtoto mchanga(Junior) huku umri wake umesogea,hamna Katibu mkuu mwingine kama yeye duniani..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Huyu mzee ana record nyingi sana mojawapo ni kuwa Katibu Mkuu wa chama pinzani mwenye mtoto mchanga(Junior) huku umri wake umesogea,hamna Katibu mkuu mwingine kama yeye duniani..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Ni nani hapendi kuwa na mtoto/ Watoto.?
 
Ni nani hapendi kuwa na mtoto/ Watoto.?

Huyu mzee atakuwa na panya nyumbani kwake ndo maana akamchukua nke ya ntu manake nasikia nke ya mtu sumu ati...ah ah ah panya wataisha kwake..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Siku chache zilizopita niliweka thread yangu inayoelezea umahiri wa cdm kiutendaji ukilinganisha na vyama vingine nchini, 85% ya wachangiaji waliunga mkono hoja, 10% walipinga na 5% hawajui chochote. Nashukuru kwamba thread yako inaelekea kuwa sawa na ile niliyoitoa.

Personally sioni chama kingine makini kama cdm. Ninapofanyia kazi kuna wafanyakazi 89. Kati ya hao 85 ni wazee wa magwanda na wa4 tu ni magamba ya mti wa mpingo.
 
ccm hamna hoja hata kidogo mmekazania hoja zisizo wahusu,ruzuku ya chadema wewe inakuhusu nini?hivi hamuoni hata haya kufuatilia matumizi ya pesa ambazo haziwahusu?hivi unaanzaje kuuliza bajeti ya maisha ya jiran yako? Huu umbea vijana wa ccm utawaisha lini?

Sidhani kama ni umbea kufahamu ukweli wa chama ambacho kinaweza siku moja kuniongoza mimi kama mtanzania.... inaonekana hata waliosema "Charity begins ata home" unapingana nao..... hivi usipojua mbinu na udhaifu wa adui unayepambana utapambana nae vipi? Hili ndiyo tatizo la wana CDM ukigusia suala la pesa na Uongozi wewe ni adui..... lini tutabadilika...
 
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.

hongera dr
 
Hicho ni kichwa dr slaa nimoja ya watu wachache sana waliobaki waadilifu nchini.
 
kiongozi wa chama cha upinzani na katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo(chadema)
amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani afrika, dr slaa ambaye pia ni mwenyekiti wa ccbrt, amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa taasisi anayoiongoza; akizungumza na radio ya taifa mjini adis ababa,abdil jabir mkuu wa vyama vya siasa afrika ya magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa nchi za afrika kuwa na kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza mjini libravile,gabon, kukiwa na nchi washirika 43, maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani afrika vikiwa na wakati mgumu, hasa linapokutazamiwa suala la uhuru.
hongera dr slaa.
 
kiongozi wa chama cha upinzani na katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo(chadema)
amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani afrika, dr slaa ambaye pia ni mwenyekiti wa ccbrt, amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa taasisi anayoiongoza; akizungumza na radio ya taifa mjini adis ababa,abdil jabir mkuu wa vyama vya siasa afrika ya magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa nchi za afrika kuwa na kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza mjini libravile,gabon, kukiwa na nchi washirika 43, maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani afrika vikiwa na wakati mgumu, hasa linapokutazamiwa suala la uhuru.
itaifa lina hitaji watu kama hawa kina dr slaa.
 
Walicho kitangaza ni kuwa Dr. Slaa ni kiongozi jasiri bila kujali kuwa ni padri alihaidi kualalisha gongo nchi Tz akipewa dola.
 
Walicho kitangaza ni kuwa Dr. Slaa ni kiongozi jasiri bila kujali kuwa ni padri alihaidi kualalisha gongo nchi Tz akipewa dola.

Kwani watumishi wa Mungu wanatakiwa kuwa waoga?
Sijui kama unajua Uoga pia ni dhambi:
 
Chadema hakuna ufisadi Mkuu, Kuna mwenye taarifa za Ubadhirifu wa Fedha Chadema awataje wahusika hadharani,na Ulinzi atapewa.

kama hakuna ufisadi Kwa nn hawataki wakaguliwe na cag wanaogopa nini kama chama kinachotaka kuchukua madaraka inabidi wawe na utofauti na ccm km wao hawataki kukaguliwa ccm hawataki Sasa utofauti uko wapi wote wezi tu........
 
Back
Top Bottom