Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,613
Hapa nchini chadema inaminya ruzuku haiwafikii wa ngazi za chini. Labda kwa kuwa Mzee wa gongo
chama gani kinafikisha ngazi za chini? Utasema CCM? uwe unafanya tafiti usikurupuke kuropoka!
Hapa nchini chadema inaminya ruzuku haiwafikii wa ngazi za chini. Labda kwa kuwa Mzee wa gongo
Dk slaaa hakuna kama yeye miccm hiihabari kwao ni mkuki moyoni
Mahesabu ya chama kaulze kwa CAG, cdm hawana account Berlin kjna...!!!wewe unajua kaz ya m/kit? au unafikir na ccbrt haina mwenyenayo km cdm! tungempongeza km angekua mkurugenz mtendaj lkn kwa m/kit n kumpa sifa zisizo mstahir! atuambie matumiz ya chama yakoje km kiongoz wa kisiasa
mwambie aendelee kukupa nyeti zote ila asisahau yafuatayo: kurudisha milioni arobaini ya chama aliyojikopesha ili akarabatie nyumba yake sinza, atoe taarifa ya bastola kule igunga, atoe taarifa ya IPAD iliyohongwa mwamke na makene,asubirie kidogo aone alivyodanganya kuwa yeye ni dr, baada ya hapo utaendelea kuona ubora wake pia ile kadi ya ccm aliyolipia miaka thelathini airudishe asidanganye kuwa ni mali yake
Yaani huyo mzee anafanya kazi pale CCBrt kwa kutumia fani gani !? Hana utaalamu wa uongozi. Wala sio mhasibu pale ... sasa yeye pale ni political figure tu. Sasa ni kweli hizo sifa anazistahiki kweli. Ila mbona anashindwa kuing'oa CCM ?!
Yaani nikisikia hili jina tu mm huku natapika nikimuona nakaribia kujob100
Umeushusha kwenye daladala wakakushtukia? Pole saana!Ushuzi
Tujiulize usimamizi wa fedha ndani ya chama chake ukoje?Great! Kama ndivyo nampongeza sana kwa kazi nzuri. Tanzania na Afrika tunahitaji viongozi kama hawa waadilifu na wenye uwezo wa kusimamia mali na taasisi zetu kwa ufanisi.
Kweli mkuu ccm uadilifu ni mama mkwe.Nchi hii ina fedha nyingi lakini zina ishia kwa mafisadi.Kagame aliwahi kusema Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar ange waambia wanananchi wake watapata bure huduma zote mhimu.Dk slaaa hakuna kama yeye miccm hiihabari kwao ni mkuki moyoni
Kweli mkuu ccm uadilifu ni mama mkwe.Nchi hii ina fedha nyingi lakini zina ishia kwa mafisadi.Kagame aliwahi kusema Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar ange waambia wanananchi wake watapata bure huduma zote mhimu.
Ahaaaaaa!!!!!
Kumbe ni CCBRT na sio chadema.
wee fatilia ujue mambo c kuyumbishwa tu! Dr. Yuko imara na hayumbishwi!
nani anamsifia nani... Wa kumsafisha dr slaa ni cag peke yake. Ngoja vyama vikaguliwe na ripoti ifike pale mjengoni. Mh mbowe atavalishwa kanga for sure. Maana anavyopenda kutaka wengine wajiudhuru. Tutaona kamati kuu itamchukulia hatua gani. Jiandaeni kulia zaidi ya pale mliposhindwq mahakamani na zzk