Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

uwezo wa akili wa mtu unaathiriwa sana na aina ya makuzi aliyokulia. mtu aliyekulia katika utamaduni wa "zidumu fikra za ... " ni vigumu kuukiuka utamaduni huo. mtu anaweza kuheshimika kama atachukua msimamo tofauti na kuutetea msimamo wake na pia kukubali watu wengine watofautiana naye. Ingawa Dr. anachukuliwa na baadhi ya watu kwa muasi kwa kuachana na useja/ukasisi mimi naona msimamo wake ni kuonyesha tofauti kimtizamo na kurudi kwenye asili( nature) bila kuutukana mfumo alioukimbia. Pili Dr Slaa alikulia ndani ya mfumo wa "zidumu fikra .. " lakini akaamua kuuacha na kuingia katika mfumo "mabadiliko ni lazima" na wale wahafidhina wametumia misimamo hii ya Slaa kama uasi lakini Slaa amesimama kidete na falsafa zake. hataki kugeuka jiwe. watu wengine wanakanyagwa na kumiywa ndani ya mfumo wa kihafidhina lakini wanajikaza na maumivu na kusema "tuko pamoja" bila kupaza sauti kama Dr. Slaa. Kama tunataka kuendelea ni lazima tuchukue misimamo ya kimapinduzi na kimaendele na kuitetea bila kutukana, kukejeli n.k. bali kujenga hoja kuntu. Hotuba ya Dr ni dira mpya kwetu na msimamo wa mataifa kama ya kwetu kama kweli tuko objective na sio kuponda tu kwa vile aliyesema hayo hatumpendi!
 
kuna mtu humu humu ndani nimemshauri kama kweli yeye ni Ant-CDM basi akosoe na ile speech
Speech imeenda shule sio ile ya kwenda kuomba net na ukiulizwa kwanini nchi yako ni maskini useme hata mimi sijui

Ni yule jamaa wa london?
 
uwezo wa akili wa mtu unaathiriwa sana na aina ya makuzi aliyokulia. mtu aliyekulia katika utamaduni wa "zidumu fikra za ... " ni vigumu kuukiuka utamaduni huo. mtu anaweza kuheshimika kama atachukua msimamo tofauti na kuutetea msimamo wake na pia kukubali watu wengine watofautiana naye. Ingawa Dr. anachukuliwa na baadhi ya watu kwa muasi kwa kuachana na useje/ukasisi mimi naona msimamo ni wake kuonyesha tofauti kimtizamo na kurudi kwenye asili( nature) bila kuutukana mfumo alioukimbia. Pili Dr Slaa alikulia ndani ya mfumo wa "zidumu fikra .. " lakini akaamua kuuacha na kuingia katika mfumo "mabadiliko ni lazima" na wale wahafidhina wametumia misimamo hii ya Slaa kama uasi lakini Slaa amesimama kidete na falsafa zake. hataki kugeuka jiwe. watu wengine wanakanyagwa na kumiywa ndani ya mfumo wa kihafidhina lakini wanajikaza na maumivu na kusema tuko pamoja bila kupaza sauti kama Dr. Slaa. Kama tunataka kuendelea ni lazima tuchukue misimamo ya kimapinduzi na kimaendele na kuitetea bila kutukana, kukejeli n.k. bali kujenga hoja kuntu. Hotuba ya Dr ni dira mpya kwetu na msimamo wa mataifa kama ya kwetu kama kweli tuko objective na sio kuponda tu kwa vile aliyesema hayo hatumpendi!

Hotuba ya kumwambia mtu sitaki fedha yako ya kodi nataka uwezo "skills" zako?

Hivi hiyo ni akili kweli? huyo mtu akikupa wewe skills zake atalipa hiyo kodi yake? atakuuzia nini wewe ili alipe kodi? na wewe una mali ghafi yeye ana skills. Hapo sasa!
 
Chadema Inapafwa kumtumia Slaa vizuri kwani ni azina.

Kweli we mchaga hata Kiswahili hujuwi ndugu yangu!!! Full Kichaga ati inapafwa????? Ati azina????

Hali hii Kiswahili Je Kiingereza? Full vumbi
 
uwezo wa akili wa mtu unaathiriwa sana na aina ya makuzi aliyokulia. mtu aliyekulia katika utamaduni wa "zidumu fikra za ... " ni vigumu kuukiuka utamaduni huo. mtu anaweza kuheshimika kama atachukua msimamo tofauti na kuutetea msimamo wake na pia kukubali watu wengine watofautiana naye. Ingawa Dr. anachukuliwa na baadhi ya watu kwa muasi kwa kuachana na useja/ukasisi mimi naona msimamo wake ni kuonyesha tofauti kimtizamo na kurudi kwenye asili( nature) bila kuutukana mfumo alioukimbia. Pili Dr Slaa alikulia ndani ya mfumo wa "zidumu fikra .. " lakini akaamua kuuacha na kuingia katika mfumo "mabadiliko ni lazima" na wale wahafidhina wametumia misimamo hii ya Slaa kama uasi lakini Slaa amesimama kidete na falsafa zake. hataki kugeuka jiwe. watu wengine wanakanyagwa na kumiywa ndani ya mfumo wa kihafidhina lakini wanajikaza na maumivu na kusema "tuko pamoja" bila kupaza sauti kama Dr. Slaa. Kama tunataka kuendelea ni lazima tuchukue misimamo ya kimapinduzi na kimaendele na kuitetea bila kutukana, kukejeli n.k. bali kujenga hoja kuntu. Hotuba ya Dr ni dira mpya kwetu na msimamo wa mataifa kama ya kwetu kama kweli tuko objective na sio kuponda tu kwa vile aliyesema hayo hatumpendi!

Namchukia babu kwa tabia yake ya uzinzi uliowazi na kupora mke wa mtu kwa kutumia wadhifa na fedha zake. Yule jamaa analalamika sana.

Pia amesaliti kanisa la bwana na kukimbilia zinaa
 
Namchukia babu kwa tabia yake ya uzinzi uliowazi na kupora mke wa mtu kwa kutumia wadhifa na fedha zake. Yule jamaa analalamika sana.

Pia amesaliti kanisa la bwana na kukimbilia zinaa

yaani kama nyie ndio mna safari ndefu kweli.
~SINGIDA ndio inatoa mahouse girls wa nchi hii.
~nyumba za tembe zinapatikana SINGIDA
~Walioathiriwa na funza wapo SINGIDA
~SINGIDA ya mwisho kwa umasikini
bado una safari ndefu ndugu!
 
Hii ndio hotuba ya rais tumtakaye,sio rais wa mara nimesimuliwa,nimeambiwa,nimenong'onezwa....siasa sio story za bibi na mjukuu wake za kusimuliwa...hatutaki rais wa namna hii
 
Hotuba ya kumwabia mtu sitaki fedh yako ya kodi nataka uwezo "skills" zako?

Hivi hiyo ni akili kweli? huyo mtu akikupa wewe skills zake atalipa hiyo kodi yake? atakuuzia nini wewe ili alipe kodi? na wewe una mali ghafi yeye ana skills. Hapo sasa!
logic hapa ni kuwa tunataka maarifa zaidi na si vitu. mfano badala ya kujaziwa neti za mabilioni tungepewa ujuzi na teknologia ya kuzitengeneza neti na kuimarisha elimu namna ya kujikinga na mbu. Neti tulipewa sawa ni vema maana zimesaidia kupunguza malaria lakini baada ya muda malaria itarudi maana neti zimechakaa ...
 
Namchukia babu kwa tabia yake ya uzinzi uliowazi na kupora mke wa mtu kwa kutumia wadhifa na fedha zake. Yule jamaa analalamika sana.

Pia amesaliti kanisa la bwana na kukimbilia zinaa

Hapa tunaongelea speech ya Dr Slaa hatuongelei mambo yako ya hovyo hayo...Hapa tunaongelea content ya Speech...Shauri yako wewe unafikiria kulalana tu
 
logic hapa ni kuwa tunataka maarifa zaidi na si vitu. mfano badala ya kujaziwa neti za mabilioni tungepewa ujuzi na teknologia ya kuzitengeneza neti na kuimarisha elimu namna ya kujikinga na mbu. Neti tulipewa sawa ni vema maana zimesaidia kupunguza malaria lakini baada ya muda malaria itarudi maana neti zimechakaa ...

Mkuu,Unadhani hawaelewi haw MaCCM ,wanaelewa fika...ila tu wanajitahidi kujikakamua angalau wampinge Dr. Hawana hoja ....IGNORE THEM
 
logic hapa ni kuwa tunataka maarifa zaidi na si vitu. mfano badala ya kujaziwa neti za mabilioni tungepewa ujuzi na teknologia ya kuzitengeneza neti na kuimarisha elimu namna ya kujikinga na mbu. Neti tulipewa sawa ni vema maana zimesaidia kupunguza malaria lakini baada ya muda malaria itarudi maana neti zimechakaa ...

Hiki nini?



Soma hapa kuhusu Malaria:

Wednesday, 19 October 2011
20:58
0
digg
Boniface Meena
WANASAYANSI nchini wako katika hatua za mwisho kukamilisha kinga ya ugonjwa wa malaria baada ya utafiti kuonyesha kuwa chanjo mpya iitwayo RTS,S ambayo inaweza kukinga ugonjwa huo kwa asilimia 50. Hayo yalielezwa Dar es Salaam jana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Afya Ifakara, Dk Salim Abdulla alipokuwa akizungumza katika warsha kuhusu matokeo ya utafiti wa chanjo hiyo.

Source: https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/184117-ugonjwa-wa-malaria-sasa-wapata-chanjo.html

Sasa ngoja nikufahamishe wazungu walivyo na khiyana, baada ya kutangazwa hayo tu na Tanzania na wao sasa wamerukia:

http://www.theguardian.com/society/2013/oct/08/malaria-vaccine-trial-children-babies

Dawa ni hiyo hiyo, lakini hatajwi mtaalaam wa Kitanzania hapo wala haitajwi Tanzania ndio iliyokuwa kinara wa utafiti huo.

Upo hapo ulipo? Na hiyo technology kuna kila sababu kuwa wataiiba ile tuendelee kuwa tegemezi.

Halafu leo huyu babu anakwenda kuwaambia oooh tupeni "skills" oooh tupeni "technology", Mawee!

Hivi huwa anafikiri kweli huyu babu?
 
Namchukia babu kwa tabia yake ya uzinzi uliowazi na kupora mke wa mtu kwa kutumia wadhifa na fedha zake. Yule jamaa analalamika sana.

Pia amesaliti kanisa la bwana na kukimbilia zinaa
unaweza kumukumu kwa kukosea kwani hata wewe unaweza kuwa na madhambi fulani na wakati huohuo una mchango muhimu kwa jamii. pia wako wengi wanaojifanya wasafi kumbe wakiwa sirini ni maovu matupu. je, ni wanadoa wangapi wanajifanya wema lakini nje ni utata mtupu? ni makasisi wangapi wanang'ang'a madhabahu lakini ni utata mtupu? usihukumu maana nawe waweza hukumiwa.
 
Nchi hii cha ajabu watu ambao ni patriotic na wenye vision ya maendeleo ndio wasiothaminiwa.
Siasa za ufisadi zimeharibu bongo za watanzania wengi.

Watanzania tubadilike.
Dr Slaa anaongoza njia tukimfuata tutafika nchi ya maziwa Na asali
 

hongera, uko sharp kujibu kwa vielelezo mimi nilitoa mfano tu wa neti nikiwa na maana nchi nyingi za afrika hutegemea misaada ya vitu zaidi kuliko kujenga uwezo kiteknolojia hii ndo maana nchi kama Malasia na nyingie ambazo kiuchumi hatukutofautiana sana wakati wa uhuri sasa ziko mali sana kutoka hapatulipo kiuchumi
 
Kwani Mwanamke Changu Doa akifundishwa na mwenzake, ndiyo atakuwa amechukua kila kitu hadi UTAMU?

Wanaume wengine wanapenda Wanene, wengine wembamba, Warefu, Weupe, Weusi, Wa-Asia nk na hivyo vitu huwezi kupewa, kufundishwa wala kuazimwa.... Kila mtu atabaki na kitu fulani ambacho mwenzake hana. Hata Mchina, kuna vitu kibao hana au USA wenyewe, vitu kibao hawana. Kama USA wangelifikiri hivyo na baada ya vita ya PILI ya dunia wakawaacha Europe wafe wenyewe, sasa hivi wangelikuwa wanafanya biashara na nani? Magari yao yamejaa Kibao Europe, ndege zao, simu zao (Iphone), Processor zao (Intel na AMD), Vinywaji vya (Cocacola, Pepsco, Jacky Daniels), vyakula vyao (KFC, Pizza Hut, Mc Donalds, Burger King, Donalts), Miziki yao, Film zao ndiyo wacha na sisi Africa tuna Copy tu kwenye mitandao na za Wachina, Ulaya wananunua za halali......
Hotuba ya kumwabia mtu sitaki fedh yako ya kodi nataka uwezo "skills" zako?

Hivi hiyo ni akili kweli? huyo mtu akikupa wewe skills zake atalipa hiyo kodi yake? atakuuzia nini wewe ili alipe kodi? na wewe una mali ghafi yeye ana skills. Hapo sasa!
 
Ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa CHADEMA haioni misaada kama kitu cha maana.Cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha Samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.Ni kujichanganya kwenda mbele!!

Nakushauri umwombe mungu yafuatayo;
1. akili/utashi(common sense)...hili litakusaidia kutambua mema na mabaya na itaweza kukusaidia kutambua wapi pa kusema na wapi pa kunyamaza
2. woga...uogope kusema uongo na kudandia mambo yanayozidi ukubwa wa uelewa wako na uwezo wako wa kufikiria uyaogope
3. usiombe kupata elimu maana hutaweza kuishi kwa amani....

Nilijua speech hii itapondwa maana msaada anaouomba DR haujafika i.e Elimu....ukielimika utakuja kujua ni nini tunamaanisha...Speech ya Dr naichukulia kama ni speech ya Africa kwa ujumla wake.....huu siyo wakati wa kudanganywa "tuna raslimali nyingi hadi majirani zetu wanatuonea wivu" wakati raslimali hizo haziwasaidii chochote...thamani ya raslimali ni pale inapotumika na si kwa kuiangalia tuuuuu.....na kwakuwa "mabwana" wameikamia watakusifia sana tu hadi sifa ambazo huna...kuweni makini sana huu si wakati wa kuambiwa tuna raslimali nyingi bali ni wakati wa kuona maisha yetu yanabadilika.......

4. nilisahau kukwambia umwombe Mungu akujalie kukutana nami siku nikija huko...
 
Nimeiona na nimeisikia ni utumbo mtupu, haina cha maana hata kimoja, yupo anakisifia chuo ambacho hakina sifa hata hapo USA hakipo hata kwenye 1,000 bora ya USA hakipo hata kwenye 2,000 bora ya dunia. Kwi kwi kwi teh te teh.

Babu anasema anataka wampe "skills", duh! bure bure? wakati wao USA wanatafuta skills dunia nzima ii waendelee kubaki kwenye ushindani wa technology. Si hapo ndipo nnapomuona babu kidogo ana matatizo.
ingia hapo uone aibu yakoUnited States of America | Ranking Web of Universities
 
Back
Top Bottom