kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
Ujui kingereza vizuri, s.t.u.p.d. kajifunze.Hao watakuwa hawajui Kiingereza, Slaa katika hotuba anasema hataki misaada halafu hotuba hiyo hiyo anawaomba waje kusaidia. Si hatari hiyo?
Ujui kingereza vizuri, s.t.u.p.d. kajifunze.Hao watakuwa hawajui Kiingereza, Slaa katika hotuba anasema hataki misaada halafu hotuba hiyo hiyo anawaomba waje kusaidia. Si hatari hiyo?
Na hapo ndipo wanasiasa wanapofanikiwa kuwahadaa watu wengi.mi kuna wakati huwa na apprecate kazi ya ccm japo kwa kiwango kidogo walichofanya wanakwambia ukitaka ujue rha ya ngoma ingia uicheze usije ukashangaa hawa wanaojigamba na tunao wategemea kwa mageuzi ndo wakafanya hovyo kuliko hata hawa ndo kale kamsemo waliopo hatuwataki wanaotaka tuwape hatuwaamini.Kikwete aliingia na ARI MPYA,NGUVU MPYA,KASI MPYA watu wakaamini yakowapi.Ingekuwa yale ya kwenye speech ndo uhalisia nazani speech za Obama zinatosha kuipaisha marekani mbali na huu ulimwengu lakini bado hali mbaya hamna Ajira deni la serikali ndo hivyo pamoja na speech zote hizo nzuri mi sishangai kitu hata kwenye hiyo speech sababu speech haijengi barabara speech haipunguzi mfumuko wa bei.Kwanini speech itufanye tumwamini mtu kiasi hicho? Tunasafari ndefu sanaKila mtu anaweza kusema, lakini kutenda ikawa sifuri, hizi ndio zile speech za kwenye tungo za prof J, za kuleta mabomba ya mazima, ukijaribu kuangalia asilimia kubwa ya wafuasi wa chadema ni wale watu wenye hulka ya kukaa na kuota siku nzima lakini kwenye utendaji ni sifuri, yeah amesema , amesema....kila mtu anasema...huyu mtu wenu angetushawishi na wengine kama angekua amefanya jambo la ajabu sana katika jimbo lake tofauti n amajimbo mengine, wenye akili zao hupima watu kutokana na historia za maendeleo walizofanya, lakini kwa huyu mtu, hakuna anachofanya zaidi ya kusema NITA..
Si mchaga! Mchaga angesema "hasina" na si azina.Kweli we mchaga hata Kiswahili hujuwi ndugu yangu!!! Full Kichaga ati inapafwa????? Ati azina???? Hali hii Kiswahili Je Kiingereza? Full vumbi
Ujui kingereza vizuri, s.t.u.p.d. kajifunze.
Hiki nini?
![]()
Soma hapa kuhusu Malaria:
Sasa ngoja nikufahamishe wazungu walivyo na khiyana, baada ya kutangazwa hayo tu na Tanzania na wao sasa wamerukia:
Malaria vaccine: Hopes rise for 2015 target after successful trials | Society | The Guardian
Dawa ni hiyo hiyo, lakini hatajwi mtaalaam wa Kitanzania hapo wala haitajwi Tanzania ndio iliyokuwa kinara wa utafiti huo.
Upo hapo ulipo? Na hiyo technology kuna kila sababu kuwa wataiiba ile tuendelee kuwa tegemezi.
Halafu leo huyu babu anakwenda kuwaambia oooh tupeni "skills" oooh tupeni "technology", Mawee!
Hivi huwa anafikiri kweli huyu babu?
We mama usitake kupotosha watu.... nachukia when the "weak" is blinded eti sisi ni vinara wa ----- kwa sababu mmezoezwa hivo na kwa kuwa ni wavivu wa kusoma na kutaka kujua mambo mengi tunajikuta tunaamini hata kama ni uongo...mfano wewe hapo umeongopa..... nakufahamisha rasmi kuwa The RTS,S malaria vaccine candidate was created in 1987 by scientists working at GlaxoSmithKline Biologicals Laboratories (GSK) zilizopo Rixensart,Belgium.
Test ya kwanza ya chanjo hii kwa binadam ilifanywa USA in 1992 na baadaye Africa in 1998 tena huko Gambia, kwa TZ na Kenya tests zilifanyika mwaka 2008....
Tanzania haina tofauti na nchi zingine za Africa kama Gabon, Mozambique, Ghana, Kenya, Malawi, na Burkina Faso ambazo zinashirikiana na GSK Bio na MVI katika kuandaa chanjo hii….kwa TZ hao Ifakara Health Institute, NIMR n.k ni washirika au collaborators tu kama ilivo Albert Schweitzer Hospital- Lambaréné, Gabon, Kenya Medical Research Institute (KEMRI), na nyingine nyingi….TZ si kinara kwa namna yoyote ni mshirika kama walivo washirika wengine nlowataja, so sijui unalenga kusema nini hapo .
Argument yako ni weak na wrong as well…sitaki kukuita mwongo,mnafiki mza….nk huo ndo uelewa wako wa sasa nina imani na wewe unaweza badilika na kuyaelewa mengine mengi tu kama ukipenda….
Kuhusu skills----huwezi ukawa serious kusema mbele za watu ati skills "wataiba" are u ok?
Mwl….u are not serious!
Hotuba ya kumwabia mtu sitaki fedh yako ya kodi nataka uwezo "skills" zako?
Hivi hiyo ni akili kweli? huyo mtu akikupa wewe skills zake atalipa hiyo kodi yake? atakuuzia nini wewe ili alipe kodi? na wewe una mali ghafi yeye ana skills. Hapo sasa!
Igawaje si mpenzi wa mambo ya siasa, ila kwa uchambuzi wa chini kabisa, uwekezaji, technolojia na biashara iliyo sawa ya kimataifa ndio itakayotutoa hapa (Rejea pia Kitabu cha Nambisa Moyo, "Ni jinsi gani Misaada ya aina ya kupewa samaki inavyodidimiza Afrika"). Huyu ni mchumi na alichokisema Slaa ni hoja ya msingi katika kufikia maendeleo ya kweli!! Japan na Korea kwa mfano zimeendelea si kwa kutembeza bakuli bali ni kuwa na sera mathubuti za kuvutia uwekezaji na kutumia uwekezaji huo kwa kitu kinaitwa win-win investments and trade. Mwanzoni kabisa ilikuwa si rahisi kwa investor wa nje kufungua kiwanda Korea bila ya kuwa na investor/shareholder wa ndani. Hapo ndipo unajenga kitu kinaitwa 'sustainable development". Hali hii imekuwa hivyo pia India na China!! Ili kutoka hapa tulipo ni lazima kufikiria nje ya box. Huwezi jenga uchumi imara wakati hata basic consumables kama viatu bado unategemea kutoka nje kwa asilimia 100. Huwezi pia kuwa na wananchi wenye afya bora kwa kutegemea ufadhili wa neti -- hii si sustainable!! Dawa ni kuua mbu!! Kuna vitu vingine ni lazima kufanya maamuzi magumu ili kutoka hapa tulipo na si kulinda maslahi binafsi.
Igawaje si mpenzi wa mambo ya siasa, ila kwa uchambuzi wa chini kabisa, uwekezaji, technolojia na biashara iliyo sawa ya kimataifa ndio itakayotutoa hapa (Rejea pia Kitabu cha Nambisa Moyo, "Ni jinsi gani Misaada ya aina ya kupewa samaki inavyodidimiza Afrika"). Huyu ni mchumi na alichokisema Slaa ni hoja ya msingi katika kufikia maendeleo ya kweli!! Japan na Korea kwa mfano zimeendelea si kwa kutembeza bakuli bali ni kuwa na sera mathubuti za kuvutia uwekezaji na kutumia uwekezaji huo kwa kitu kinaitwa win-win investments and trade. Mwanzoni kabisa ilikuwa si rahisi kwa investor wa nje kufungua kiwanda Korea bila ya kuwa na investor/shareholder wa ndani. Hapo ndipo unajenga kitu kinaitwa 'sustainable development". Hali hii imekuwa hivyo pia India na China!! Ili kutoka hapa tulipo ni lazima kufikiria nje ya box. Huwezi jenga uchumi imara wakati hata basic consumables kama viatu bado unategemea kutoka nje kwa asilimia 100. Huwezi pia kuwa na wananchi wenye afya bora kwa kutegemea ufadhili wa neti -- hii si sustainable!! Dawa ni kuua mbu!! Kuna vitu vingine ni lazima kufanya maamuzi magumu ili kutoka hapa tulipo na si kulinda maslahi binafsi.
uvundo mwingine huu hapa ila haunuki jamba tena mkuu!Namchukia babu kwa tabia yake ya uzinzi uliowazi na kupora mke wa mtu kwa kutumia wadhifa na fedha zake. Yule jamaa analalamika sana.
Pia amesaliti kanisa la bwana na kukimbilia zinaa
Nakubaliana kwenye win-win situation sikubaliani na "nipe technology yako". Hakupi ng'oo.
Kama umesoma jinsi technolojia inavyohama kutoka kwa wavumbuzi (first movers kwenda kwa late movers) utaelewa. Leo hii kuna viwanda vingi vinatumia technolojia isiyo yao kwenye nchi mbalimbali na kwa kufuata taratibu za patent rights na procurement systems za serikali, nchi mbali mbali zinafaidika. Kitu kikubwa ni kuwa na "human resources inayoweza kujifunza kutumia technolojia hiyo na kuwa na "government procurement system" inayojali maslahi ya taifa kwanza. Hivi ndivyo China inavyonufaika na Afrika kusini wako kwenye njia hiyo hiyo (Reject SA Industrial Action Plan na utekelezaji wake). Tukikaa tu kusubiri, hatutatoka hapa tulipo. Huwezi kumpa Mchina mradi wa barabara halafu 100% ya supplies za materials za kujengea anatengeneza yeye wakati kuna wazalendo wanaoweza kuzalisha materials hizo hizo na fedha zikiwa ni za serikali. Kumbuka technology inafuta faida na ili ufaidike nayo ni lazima ujenge mazingira ya kunufaika. This is what Chinese, India and S. Africans are doing now. Rejea transformation ya Benz production India hadi kuwa na TATA.
Nani alikwambia anakaa kusubiri? wamesema kuhusu vyandarua tukawaonesha picha za kiwanda.
Kitu kimoja uelewe unaweza kuwekewe kiwanda cha viatu, kwani hatuna? lakini uwe tegemezi la vipuli vya hicho kiwanda. Bila kuwashirikisha wao, sahau.
Hiyo mifano unayotoa ya South Afrika na Korea na China kote huko wana viwanda "under license", ni win win situation, huwezi leo kwenda kuwaambia sina haja ya fedha yenu ya kodi nataka mnipe technology yenu, watakuona punguani tu, na hapo ndipo watakapokuumiza zaidi.
Kumbuka Nyerere alifanya nini? aliweka viwanda, alitaifisha viwanda, mashamba (yaliokuwa yana export kuliko nchi yoyote katika Africa), akatangaza sasa tunajitegemea, viko wapi? yako wapi? kiko wapi?
Kumbuka kisa cha juzi tu cha Gadhafi? yuko wapi? kiko wapi? na kilichomponza ni kitu kidogo tu, kusema kuwa sasa hatumii tena US$ kwa kuuza mafuta yake. Hao jamaa washasema "you're either with us or you are against us". Na hiyo si US pekee ni yeyote yule mwenye technology, atakufundisha kuendesha gari, ku repair gari, kui assemble, lakini hakufundishi namna ya chuma cha kuunda engine wala gear box kinachanganywa vipi, hakuoneshi hata ulie. Hiyo ndio technology. Hata patient yake hakupi.
Leo unasikia chocolate ya uswisi ndio inasifika duniani kwa uzuri na ubora na ughali wakati hawalimi cocoa, kulikoni? ni technology waliyonayo ya kuisindika hiyo cocoa na kuifanya mpaka iwe chocolate, hizo ndio skills, na hawakupi hata ulie machozi. Lakini unataka waje wafunguwe kiwanda haoa na kiwe chini yao, hapo hakuna matata, ni win win situation, uwaambie nipeni technology na skills zenu nikafunguwe kiwanda cha chocolate kama zenu wakupe? wao wakale wapi? sana sana wanakupa kanya boya tu, hapo ndio wamekuona mjinga huyu tumtoe njiani.
Nchi yoyote yenye technology wanalinda technology zao kwa hali na mali, ndizo zinazowapa nguvu kiuchumi.
Leo uende tu ukawaambie "nipeni" wakupe? mawee!
Win win situation nakubaliana nayo, lakini hizo za Slaa. Mawee!
Nani alikwambia anakaa kusubiri? wamesema kuhusu vyandarua tukawaonesha picha za kiwanda.
Kitu kimoja uelewe unaweza kuwekewe kiwanda cha viatu, kwani hatuna? lakini uwe tegemezi la vipuli vya hicho kiwanda. Bila kuwashirikisha wao, sahau.
Hiyo mifano unayotoa ya South Afrika na Korea na China kote huko wana viwanda "under license", ni win win situation, huwezi leo kwenda kuwaambia sina haja ya fedha yenu ya kodi nataka mnipe technology yenu, watakuona punguani tu, na hapo ndipo watakapokuumiza zaidi.
Kumbuka Nyerere alifanya nini? aliweka viwanda, alitaifisha viwanda, mashamba (yaliokuwa yana export kuliko nchi yoyote katika Africa), akatangaza sasa tunajitegemea, viko wapi? yako wapi? kiko wapi?
Kumbuka kisa cha juzi tu cha Gadhafi? yuko wapi? kiko wapi? na kilichomponza ni kitu kidogo tu, kusema kuwa sasa hatumii tena US$ kwa kuuza mafuta yake. Hao jamaa washasema "you're either with us or you are against us". Na hiyo si US pekee ni yeyote yule mwenye technology, atakufundisha kuendesha gari, ku repair gari, kui assemble, lakini hakufundishi namna ya chuma cha kuunda engine wala gear box kinachanganywa vipi, hakuoneshi hata ulie. Hiyo ndio technology. Hata patient yake hakupi.
Leo unasikia chocolate ya uswisi ndio inasifika duniani kwa uzuri na ubora na ughali wakati hawalimi cocoa, kulikoni? ni technology waliyonayo ya kuisindika hiyo cocoa na kuifanya mpaka iwe chocolate, hizo ndio skills, na hawakupi hata ulie machozi. Lakini unataka waje wafunguwe kiwanda haoa na kiwe chini yao, hapo hakuna matata, ni win win situation, uwaambie nipeni technology na skills zenu nikafunguwe kiwanda cha chocolate kama zenu wakupe? wao wakale wapi? sana sana wanakupa kanya boya tu, hapo ndio wamekuona mjinga huyu tumtoe njiani.
Nchi yoyote yenye technology wanalinda technology zao kwa hali na mali, ndizo zinazowapa nguvu kiuchumi.
Leo uende tu ukawaambie "nipeni" wakupe? mawee!
Win win situation nakubaliana nayo, lakini hizo za Slaa. Mawee!