Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

great leader of the time with vision and independent mind,just like Nyerere Nkrumah Mandela etc,maccm hawatakubali propaganda lazima zishike kasi,wao wakienda wanaishia kupiga picha na wacheza filamu wa hollywood au 50 cent
 
Makubwa hayo, (sitaki msaada, nataka msaada!) babu kachanganyikiwa huyo.

cc Dr.W.Slaa


Changu faiza, ebu linganisha hiyo speech ya Slaa na ile ya dokta zaifu jakaya from m.s0ga ya mwisho wa mwezi. Utata mtupu!

Btw mimi ni mpenzi wa hii kitu 0713. Waweza kunisaidia nikajinafasi kwa sikukuu ya iddi inayokuja wiki ijayo?
 
Hivi hotuba za Mwigulu alipokuwa marekani zinapatikana wapi?
 
Huu ni mfano wa mawazo ambayo nchi za kiafrika tunatakiwa kuwa nayo...JK Katugeuza nchi ya Beggars
 
Ukitaja neno dr slaa wakina msalani, ifeero, sijui simiu yetu matumbo motoooo sijui kwa nini au wana mapepo wanahitaji kuombewa ?
 
Ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa CHADEMA haioni misaada kama kitu cha maana.Cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha Samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.Ni kujichanganya kwenda mbele!!

Disco limeingia mmasai
 
Changu faiza, ebu linganisha hiyo speech ya Slaa na ile ya dokta zaifu jakaya from m.s0ga ya mwisho wa mwezi. Utata mtupu!

Btw mimi ni mpenzi wa hii kitu 0713. Waweza kunisaidia nikajinafasi kwa sikukuu ya iddi inayokuja wiki ijayo?

Ndugu punguza kidogo makali ya maneno huo aliotoa ndio muono wake na huwezi badilisha nyoka kuwa samaki tuvumiliane tu hawa wasiopenda ukweli ipo siku watanyanyuka na kukiri kwa vinywa vyao na asilimia kubwa ya watanzania wengi tulio nao ni wanafiki na ni aheri kuishi na mchawi kuliko kuishi na mnafki ni mtu mbaya sana.
 
Wanajamvi;

Kama utani vile lakini ndio kweli.Ile speech aliyoitoa Dr Slaa sasa imeonekana kukubalika katika baadhi ya nchi za kiafrika.Kuanzia na jirani zetu wakenya ambao wao sasa wameanza kuijadili hotuba hiyo kwenye mitandao yao ya kijamii.

Angalia link hapo chini;

Siasa 254: Speech by the Leader of Opposition in Tanzania to the Students of the University of Samford-USA.

It was really a Stunning Speech.

God bless you Dr Slaa...May you long live for us to see the better Tanzania.Together we Can.

UTAFITI HURU UNAONYESHA KWAMBA DR SLAA NDIYE mtu MAARUFU ZAIDI KWENYE UKANDA WA MAZIWA MAKUU .
 
Mhhhh hotuba nzuri....Slaa hapo umenena.......

"We are currently having inequitable trade, where far eastern countries are exporting their poor populations to compete for jobs with our citizens. They are even exporting to us their prisoners to work on our roads yet millions of our young men have no jobs. This is not possible in any civilize society, unfortunately, because our rulers have signed contacts shrouded in secrecy whose contents are only known to them"
 
mtoa uzi huu nakuomba uibebe hiyo hotuba ilivyo uiweke hapa vizuri watu wajionee. Nimeprint kabisa nataka niwabandikie wafanyakazi wenzangu iwakombe kifikira. Tafadhali iweke wazi hapa is the best thing umetuletea ever. Dr. Slaa ni mwanasiasa wa ujasiriamali, anayefaa kwa dunia ya sasa.
 
Wanajamvi;

Kama utani vile lakini ndio kweli.Ile speech aliyoitoa Dr Slaa sasa imeonekana kukubalika katika baadhi ya nchi za kiafrika.Kuanzia na jirani zetu wakenya ambao wao sasa wameanza kuijadili hotuba hiyo kwenye mitandao yao ya kijamii.

Angalia link hapo chini;

Siasa 254: Speech by the Leader of Opposition in Tanzania to the Students of the University of Samford-USA.

It was really a Stunning Speech.

God bless you Dr Slaa...May you long live for us to see the better Tanzania.Together we Can.

- Speech zake zimeshindwa Chalinze, Kalenga, Kata kati ya 27 kaishia kupata 3 sasa leo unasema speech zake zimekubalika wapi huko ambako hakuna wapiga kura wa bongo? Sasa itasaidia nini speech zake kukubalika nje ya nchi badala ya Chalinze alikopigwa kama mbwa mwizi!!

Le Mutuz System
 
Bakari Mchira, Saxion University, Deventer the Netherlands.
This is kind of leader we need in African, the leader with entrepreneurship mindset, may I call him political entrepreneur aka politician with entrepreneurship mindset. Great! Dr.Slaa. Long live, ameen
 
- Speech zake zimeshindwa Chalinze, Kalenga, Kata kati ya 27 kaishia kupata 3 sasa leo unasema speech zake zimekubalika wapi huko ambako hakuna wapiga kura wa bongo? Sasa itasaidia nini speech zake kukubalika nje ya nchi badala ya Chalinze alikopigwa kama mbwa mwizi!!

Le Mutuz System

ndio hasara ya kula vya wizi na kuvimbiwa
 
- Speech zake zimeshindwa Chalinze, Kalenga, Kata kati ya 27 kaishia kupata 3 sasa leo unasema speech zake zimekubalika wapi huko ambako hakuna wapiga kura wa bongo? Sasa itasaidia nini speech zake kukubalika nje ya nchi badala ya Chalinze alikopigwa kama mbwa mwizi!!

Le Mutuz System

Off topic mzee
 
Wakenya kweli wajadili mambo ya TZ? Toka lini manake hata JF inakipande cha Kenya. Punguzeni kujisifia ujinga kwanza twende sawa hata kenya wapuuzi wapo! Ingekuwa the Citizen TV sawa lakini katika blog za wamatumbi ndio mpaka mumtolee matusi presidaa wenu kwa hotuba ya kuongea na wanafunzi wa Samford je ingekuwa Harvad au Boston University, ebu jiangalieni na acheni ubwege .

Wanajamvi;

Kama utani vile lakini ndio kweli.Ile speech aliyoitoa Dr Slaa sasa imeonekana kukubalika katika baadhi ya nchi za kiafrika.Kuanzia na jirani zetu wakenya ambao wao sasa wameanza kuijadili hotuba hiyo kwenye mitandao yao ya kijamii.

Angalia link hapo chini;

Siasa 254: Speech by the Leader of Opposition in Tanzania to the Students of the University of Samford-USA.

It was really a Stunning Speech.

God bless you Dr Slaa...May you long live for us to see the better Tanzania.Together we Can.
 
- Speech zake zimeshindwa Chalinze, Kalenga, Kata kati ya 27 kaishia kupata 3 sasa leo unasema speech zake zimekubalika wapi huko ambako hakuna wapiga kura wa bongo? Sasa itasaidia nini speech zake kukubalika nje ya nchi badala ya Chalinze alikopigwa kama mbwa mwizi!!

Le Mutuz System

Kama kuna kiazi tunakijua wewe ni kiazi kikuu. Soma speech jibu speech acha kuongea porojo ambazo hazipo hapa. Hili jukwaa siku hizi limevamiwa na waliolemewa na gunia la ulimbukeni
 
Back
Top Bottom