Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

Wanajamvi;

Kama utani vile lakini ndio kweli.Ile speech aliyoitoa Dr Slaa sasa imeonekana kukubalika katika baadhi ya nchi za kiafrika.Kuanzia na jirani zetu wakenya ambao wao sasa wameanza kuijadili hotuba hiyo kwenye mitandao yao ya kijamii.

Angalia link hapo chini;

Siasa 254: Speech by the Leader of Opposition in Tanzania to the Students of the University of Samford-USA.

It was really a Stunning Speech.

God bless you Dr Slaa...May you long live for us to see the better Tanzania.Together we Can.

Ngoja nimtumie hii speech Balozi wa china ili achukue wafungwa wake warudi kwao haraka.........c nunui furniture za mchina tena....congrats Dr Slaa tupo pamoja.....
 
Mkuu usiwashangae vijana wa lumumba buku saba fc kwakuwa kuibeza Chadema au kubeza chochote kinachofanywa na Dkt. Slaa ndiyo masharti ya ajira yao hapo mtaa wa lumumba!

Tatizo jingine la hawa buku saba fc ni kutokufahamu lugha ya malkia kwahiyo hawaelewi kilichosemwa na DKt. Slaa, kwakuwa wengi elimu yao ni ndogo sana na uelewa wao pia ni mdogo sana.

the lookers badala ya viewers by ndungai na we are very glady to receive you badala ya welcome you by bi kidude hicho ndo kiingereza cha magamba
 
Ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa CHADEMA haioni misaada kama kitu cha maana.Cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha Samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.Ni kujichanganya kwenda mbele!!
Unafahamu maana ya "living off of handouts"?,halafu unalinganisha na "know how"?

Dr Slaa anataka tujifunze namna ya kuvua samaki na si kuomba samaki.Hiyo ndo maana ya msaada wa know how to,potential tunayo,ama umeisoma hotuba kwa makengeza?

Mambo ya misaada ya wataalam na walimu si sawa na handouts.Obama mweneyewe alipokuja bongo aliweka wazi,anafahamu pia kuwa tuna uwezo wa kuwa na ushirikiano wenye win win outcomes.
 
Aisee tuache kushabikia bendera. Nimeikubali hiyo hotuba maana imebeba uhalisia wa nchi yetu kwa sasa.ahsante sana Mzee Wang Dr. W. Slaa
 
Ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa CHADEMA haioni misaada kama kitu cha maana.Cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha Samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.Ni kujichanganya kwenda mbele!!

Unajua misaada ambayo Dr Slaa kaikataa?
 
Wanajamvi;

Kama utani vile lakini ndio kweli.Ile speech aliyoitoa Dr Slaa sasa imeonekana kukubalika katika baadhi ya nchi za kiafrika.Kuanzia na jirani zetu wakenya ambao wao sasa wameanza kuijadili hotuba hiyo kwenye mitandao yao ya kijamii.

Angalia link hapo chini;

Siasa 254: Speech by the Leader of Opposition in Tanzania to the Students of the University of Samford-USA.

It was really a Stunning Speech.

God bless you Dr Slaa...May you long live for us to see the better Tanzania.Together we Can.

cc to Ritz Taswira Malaria Sugu
 
Last edited by a moderator:
Hivi hiyo speech inatofauti gani na ule wimbo wa Mrisho Mpoto wa mjomba? Mzee itakuwa amedesa tu!
 
Kama Nyerere! Big up Dr. W.Slaa


This is the right Guy anaeweza kutuvusha kutoka tulipo sasa...He is visionary...He knows what Tanzania Needs...Atarudisha heshima ya Tanzania Kimataifa...Atarudisha Uzalendo kwa watanzania...Watanzania wataanza kujisikia proud kuwa watanzania.....watanzania wataweza sasa kufanya kazi kwa kujituma zaidi...Atarudisha Ethics(Maadili katika uongozi wa Umma) .Zaidi tunamwamini katika uwezo wa kusimamia mambo...We trust u Dr Slaa.....Our Next President...TOGETHER WE CAN
 
Hivi hiyo speech inatofauti gani na ule wimbo wa Mrisho Mpoto wa mjomba? Mzee itakuwa amedesa tu!

Kama haujaona tofauti yake basi wewe ni kipofu wa Ubongo...hauhitaji kusaidiwa kwa chochote zaidi ya kuwa IGNORED
 
yes DR TZ IS A CRADLE OF HUMANKIND I SALUTE YOU FOR YOUR PATRIOTIC.
 
Ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa CHADEMA haioni misaada kama kitu cha maana.Cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha Samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.Ni kujichanganya kwenda mbele!!
Nyie ndio wafua vyupi wa magamba!!tofautisha kuomba misaada ya kuelimisha taifa na misaada ya kondomu,******* wewe!!
 
Wanajamvi;

Kama utani vile lakini ndio kweli.Ile speech aliyoitoa Dr Slaa sasa imeonekana kukubalika katika baadhi ya nchi za kiafrika.Kuanzia na jirani zetu wakenya ambao wao sasa wameanza kuijadili hotuba hiyo kwenye mitandao yao ya kijamii.

Angalia link hapo chini;

Siasa 254: Speech by the Leader of Opposition in Tanzania to the Students of the University of Samford-USA.

It was really a Stunning Speech.

God bless you Dr Slaa...May you long live for us to see the better Tanzania.Together we Can.

Kutembeza bakuli ndio mpango mzima
 
Ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa CHADEMA haioni misaada kama kitu cha maana.Cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha Samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.Ni kujichanganya kwenda mbele!!
Soma vizuri. Suala la kuomba utaalamu kalisemea vizuri sana kuwa hicho ndicho tunachohitaji kwa vile hatuna sio kufunga safari kwenda kuomba net za mbu wakati pamba tunayo. Kwa nini tusiombe utaalamu ili kesho tutengeneze wenyewe?
 
Ukisoma kwa miwani ya magamba huwezi kuelewa...

Hebu vaa miwani huru uone ni vitu gani anavyotaka na asivyotaka kutoka kwao...

We need investors that will bring ..... a set of skills and creativity to turn our hardwood into high quality,
We need your partnership in fostering individual innovation within our people.
We need your technological know how.

We don’t need your tax money; neither do we need your mosquito net donations, we need your skills.
We don’t need shoe boxes, we need to know how to make our own shoes.
Hivi wewe, watu wakupe technology yao bure bure wao wamelaa usingizi? au wewe ndio uko kwenye ndoto za alinacha? Wa Invest kwenye ma shule ma vyuo miaka nenda miaka rudi halafu uwaambie mie nataka hiyo mnipe, wakupe tu?

Mnashangaza kweli kweli si mchezo, hivi inawaingia akilini haswa?

Kweli wajinga ndio waliwao.
 
Kwenye blog moja ya Kenya na comment ni moja tu, mnh mnh, siyo kwenye media ZA Kenya, huo ni uongo tu.

Wacha kuweweseka, hiyo blog ni media au siyo media huko Kenya?

Hivi comments nyingi za thread za ushuzi wa magamba hapa ndio unaona ni tija? Kinachomata ni viewers.
 
Back
Top Bottom