Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

Wakenya kweli wajadili mambo ya TZ? Toka lini manake hata JF inakipande cha Kenya. Punguzeni kujisifia ujinga kwanza twende sawa hata kenya wapuuzi wapo! Ingekuwa the Citizen TV sawa lakini katika blog za wamatumbi ndio mpaka mumtolee matusi presidaa wenu kwa hotuba ya kuongea na wanafunzi wa Samford je ingekuwa Harvad au Boston University, ebu jiangalieni na acheni ubwege .

Jinga lingine hili hapa yaani umewekewa hadi link na speech inajadiliwa kwa ujumla wake wa kuwazodoa maraisi wa africa kwa kusema tatizo la africa na tz. Wewe kwa kuwa umelemewa na gunia la ulimbukeni unabishana na web kwamba hawawez jadili wakati unaona uzi ukijadiliwa na wakenya. Taifa linaugua ugojwa wa vijana malimbukeni ka wewe. Umeishia darasa la ngapi ndugu? maana tusikulaumu labda hujui kimombo
 
- Speech zake zimeshindwa Chalinze, Kalenga, Kata kati ya 27 kaishia kupata 3 sasa leo unasema speech zake zimekubalika wapi huko ambako hakuna wapiga kura wa bongo? Sasa itasaidia nini speech zake kukubalika nje ya nchi badala ya Chalinze alikopigwa kama mbwa mwizi!!

Le Mutuz System

Hii thread unajua ni ya mwaka gani?


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Jinga lingine hili hapa yaani umewekewa hadi link na speech inajadiliwa kwa ujumla wake wa kuwazodoa maraisi wa africa kwa kusema tatizo la africa na tz. Wewe kwa kuwa umelemewa na gunia la ulimbukeni unabishana na web kwamba hawawez jadili wakati unaona uzi ukijadiliwa na wakenya. Taifa linaugua ugojwa wa vijana malimbukeni ka wewe. Umeishia darasa la ngapi ndugu? maana tusikulaumu labda hujui kimombo

kuna umuhimu wa kuwasweka jela wazazi wanaoshindwa kupeleka watoto shule , sidhani kama huyo kijana uliyempa za uso kama hata anajua kusoma na kuandika !
 
great leader of the time with vision and independent mind,just like Nyerere Nkrumah Mandela etc,maccm hawatakubali propaganda lazima zishike kasi,wao wakienda wanaishia kupiga picha na wacheza filamu wa hollywood au 50 cent

Ha! Ha! Haaa!!!
 
- Speech zake zimeshindwa Chalinze, Kalenga, Kata kati ya 27 kaishia kupata 3 sasa leo unasema speech zake zimekubalika wapi huko ambako hakuna wapiga kura wa bongo? Sasa itasaidia nini speech zake kukubalika nje ya nchi badala ya Chalinze alikopigwa kama mbwa mwizi!!

Le Mutuz System

nasikitika sana kuchelewa kukudharau we jamaa aisee , unaongea kama uko ndani ya chungu hivi ! Tunazungumzia mambo ya kimataifa , unatuletea ujing ..a wa kalenga hapa !
 
Dr amesema tunataka kunufaika kwa Technical know how na ni priority No 1 ya Chadema.Sio utegemea kuletewa pesa wakati mmekalia utajiri...na amesema wazi hizo hela zao ni kodi zao...ziwanufaishe wao huko makwao ...sio sisi ambao tumekalia utajiri...amesema tunataka exchange ya technical know how ili tuweze ku zalisha kutokana na rasilimali zetu beyond life ya non renewable resources.

Mkuu Freeland, huchoki kupigia mbuzi gitaa?
 
Hotuba ni nzuri ila kujisifu imeingia kwenye media za Kenya huku media yenyewe ukiweka Kiblog ambacho hata mtoto wa form two anaweza akajifungia chumbani kwake na akakitengeneza ndani ya nusu saa hiii hatari sana halafu wachangiaji wenyewe hawazidi hata kumi!!
 
- Speech zake zimeshindwa Chalinze, Kalenga, Kata kati ya 27 kaishia kupata 3 sasa leo unasema speech zake zimekubalika wapi huko ambako hakuna wapiga kura wa bongo? Sasa itasaidia nini speech zake kukubalika nje ya nchi badala ya Chalinze alikopigwa kama mbwa mwizi!!

Le Mutuz System
Poor Pam kin,is that a litmus?buying poor voters do you think will work forever?you really working hard hawa jamaa wakupatie cheo!your strategies so cheap,TZ comes first and one day sun will rise!like it or not
 
- Speech zake zimeshindwa Chalinze, Kalenga, Kata kati ya 27 kaishia kupata 3 sasa leo unasema speech zake zimekubalika wapi huko ambako hakuna wapiga kura wa bongo? Sasa itasaidia nini speech zake kukubalika nje ya nchi badala ya Chalinze alikopigwa kama mbwa mwizi!!

Le Mutuz System
pole Sana William,TZ unajitahidi Sana lakini Kuna siku utaona aibu,ukweli utabaki kuwa ukweli na uongo utaaibika...
 
- Speech zake zimeshindwa Chalinze, Kalenga, Kata kati ya 27 kaishia kupata 3 sasa leo unasema speech zake zimekubalika wapi huko ambako hakuna wapiga kura wa bongo? Sasa itasaidia nini speech zake kukubalika nje ya nchi badala ya Chalinze alikopigwa kama mbwa mwizi!!

Le Mutuz System

huko chalinze na sijui wapi unaposema pamejaa mbuluraz wengi wanaohongwa wali na kusahau shida zao za miaka 5.Hotuba ya dr Slaa lazima ikubalike kwa wasomi na kwa wale wenye kujitambua. Abarikiwe sana dr Slaa kwa kazi ngumu aifanyayo ya kutoa elimu ya uraia
 
Poor Pam kin,is that a litmus?buying poor voters do you think will work forever?you really working hard hawa jamaa wakupatie cheo!your strategies so cheap,TZ comes first and one day sun will rise!like it or not

kama ana akili atakuwa amekuelewa!
 
Ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa CHADEMA haioni misaada kama kitu cha maana.Cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha Samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.Ni kujichanganya kwenda mbele!!

Unajichanganya wewe kwa kutotambua tofauti kati ya kupewa samaki na kufundishwa kuvua.
 
Yaani nyie si mefundishwa kutukana tu! soma tena nilichoandika ndio utaelewa Darasa hata ukisoma wewe inatosha sana kumbuka speech umeitoa wapi ndio muhimu zaidi yaani wewe mtu akiongea kwa wazungu roho yao inakuwa kwatu na hata kama speech ni nzuri kiasi gani kwanini mtukane watu wasiohusika. Kwani amuwezi sifia wateule wenu bila kutusi watu wengine?

Jinga lingine hili hapa yaani umewekewa hadi link na speech inajadiliwa kwa ujumla wake wa kuwazodoa maraisi wa africa kwa kusema tatizo la africa na tz. Wewe kwa kuwa umelemewa na gunia la ulimbukeni unabishana na web kwamba hawawez jadili wakati unaona uzi ukijadiliwa na wakenya. Taifa linaugua ugojwa wa vijana malimbukeni ka wewe. Umeishia darasa la ngapi ndugu? maana tusikulaumu labda hujui kimombo
 
Ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa CHADEMA haioni misaada kama kitu cha maana.Cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha Samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.Ni kujichanganya kwenda mbele!!
daah . elimu ngumu tz
 
Back
Top Bottom