the hero man
Member
- Oct 1, 2013
- 65
- 10
IGNORE
IGNORE IGNORE IGNORE IGNORE....The best thing for
u......
Hata ukimutwanga kwa mchi kinuni upumbavu wake hauwezi kumutoka
labda adhabu kama ya isabela kwenye movie ya sarafina
IGNORE
IGNORE IGNORE IGNORE IGNORE....The best thing for
u......
Ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa CHADEMA haioni misaada kama kitu cha maana.Cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha Samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.Ni kujichanganya kwenda mbele!!
Kudharauliwa ni subjective na kwa maana hii sikuelewi unajenga hoja kwa dokezo lipi linalobeba uzito unaokufanya uone ni jambo la ajabu sana.Tanzania ilipofia kuwa na raisi ambaye anadharauliwa na maraisi wa nchi jirani tena wengine ni wavuta bangi basi hiyo ni ishara ya wazi kuwa JK anaidhalilisha Ikulu ya Magogoni.
Mungu azidi kumjalia afya njema Dkt Slaa ili hatimaye watanzania wote wapate kunufaika na utumishi wake. Watanzania 2015 lazima kieleweke, hakuna kurudia makosa!
ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa chadema haioni misaada kama kitu cha maana.cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.ni kujichanganya kwenda mbele!!
Mkuu usi-judge kwa kusoma comment za watu isome speech mwenyewe, mfano mgeni akisoma post za Simiyu Yetu atafikiri watanzania wote tuna akili za aina hiyo.Ni Mtazamo wangu tu wadau, nimefungua post hii kwa muwashawasha mkubwa lkn at the end nakutana na hiki1 comment:
Just a single comment only pamoja na uzuri wa hotuba ya muheshimiwa! nadhani mtoa mada next time tafakari juu ya kichwa cha habari ili kiendane na contents zilizomo ndani.
MAINAOctober 10, 2013 at 3:09 AM
Tanzanians have a long way to go.....The have at first eradicate the slow culture especially in everything they do...But Still the corruption challenges Tanzania faces is not different as compared to many African countries including Kenya.Reply
Umeanza kwa mbwembwe sana nanukuu ''Kama utani vile lakini ndio kweli.Ile speech aliyoitoa Dr Slaa sasa imeonekana kukubalika katika baadhi ya nchi za kiafrika.Kuanzia na jirani zetu wakenya ambao wao sasa wameanza kuijadili hotuba hiyo kwenye mitandao yao ya kijamii." huo wingi nilitegemea ungekuwepo kwenye comments. Anyway nimalizie Hotuba ilikuwa nzuri sana"
Posted by Daniel Ominde at 2:39 AM mpaka sasa ni 3:19 PM, zaidi ya masaa 12 yamepita, ka comment kamoja tu. Nendeni mkajaze comments ionekane inajadiliwa kwa sana.
Hizo media "ZA" Kenya ziko wapi? si mngesema imebandikwa kwenye ka blog ka moja na ina comment moja tu mpaka sasa!
Hivi huwa mnaona sifa kujidanganya hata nafsi zenu?
Mimi soni ajabu yoyote kwa hotuba ya Dr. Slaa kutua kwenye mitandao ya Wakenya. Lakini nalaumu upendeleo wa wazi unaoonyeshwa na Mods humu. Mbona inasemekana hotuba ya "Mzee wa Mipasho" a.k.a Isha Mashauzi ilitua kwenye mitandao ya Waganga wa kienyeji wa Bwagamoyo, lakini hamkuiripoti humu! Je kule kwani haikuwa hadhi yake ile hotuba kutua? Si kila hotuba inatua kwenye sehemu yenye hadhi yake lakini?
Kudharauliwa ni subjective na kwa maana hii sikuelewi unajenga hoja kwa dokezo lipi linalobeba uzito unaokufanya uone ni jambo la ajabu sana.
Mbona hata Marais wa nchi 'zilizoendelea' wanadharaulika ndani ya nchi zao achilia mbali nje ya nchi. Kitu gani kinakufanya uone kama kudharaulika ni jambo la ajabu sana.
Wengine walishawahi mpaka kupondewa viatu kwenye press conference.
By the way. Rais Kikwete haruhusiwi kikatiba kugombea tena, vile vile CHADEMA haijampitisha Dr. Slaa kuwa mgombea Urais, lakini kikubwa zaidi, mpaka sasa hatufahamu tutakuwa na mfumo gani wa serikaii tutakapoingia kwenye chaguzi kitaifa, otherwise unatupa ujumbe kuwa CHADEMA siyo chama cha demokrasia kama jina lake lisemavyo.
Hapa Ghana, nilimwonesha mmoja tu mwanzoni, mfanyakazi mwenzangu, baada ya kama dakika 10, wafanyakazi karibu wote 33, kila mmoja alikuwa na kopi ya hotuba hiyo, na kila mmoja akiomba digital copy ili aweze kuwatumia wenzake, na wengine wamesema wanawatumia viongozi wao wa serikali na wabunge. Kila mmoja ameifurahia, na kusema ndivyo viongozi wa Afrika wanavyotakiwa kufikiri na kutenda. Hotuba hiyo imekuwa ni gumzo.
Kuna yale maneno ya kwenye Biblia, 'Nabii hasifiki nyumbani', nimeamini. Wakati Watanzania walio wengi wameichukulia ni hotuba ya kawaida na baadhi kuibeza, wenzetu nchi nyingine wameipa uzito unaostahili. Ghana ipo juu sana kiuchumi na kidemokrasia ukilinganisha na Tanzania lakini kila aliyeisoma hotuba hiyo amestajabia uzito wa maneno yaliyopo ndani yake, na wengi wanasema kuwa huo ndiyo ulitakiwa kuwa msimamo na mwongozo wa utawala wa Africa.
Sasa huko ndio kujadiliwa na media "ZA" Kenya? mnanchekesha!
tunahitaji kupata hotuba zinazoishi kama hizi..sio za kila mwezi zinazokwenda na matukio. Mara nimembiwa, nimeambiwa, nimeambiwa, nk.
Ukisoma kwa miwani ya magamba huwezi kuelewa...
We need investors that will bring ..... a set of skills and creativity to turn our hardwood into high quality,
We need your partnership in fostering individual innovation within our people.
We need your technological know how.
We don't need your tax money; neither do we need your mosquito net donations, we need your skills.
We don't need shoe boxes, we need to know how to make our own shoes.
Dr Slaa mungu akubariki sana, akupe maisha marefu yenye afya njema ili uje ulikomboe taifa letu tajiri linalotafunwa na kirusi cha kichina kwenye kila nyanja, huku vijiji wachina wanadiriki ku compete na wanakijiji kumiliki maeneo potential, nchi yetu tanzania inakua kama nchi ya familia ya kikwete, najaribu kujiuliza viongozi wa ccm hawaoni huu upuuzi unafanywa na rais kikwete? hawana hata uwezo wa kumkaripia??? mungu ailaani ccm na kiama chenu ni mwaka 2015
Mimi soni ajabu yoyote kwa hotuba ya Dr. Slaa kutua kwenye mitandao ya Wakenya. Lakini nalaumu upendeleo wa wazi unaoonyeshwa na Mods humu. Mbona inasemekana hotuba ya "Mzee wa Mipasho" a.k.a Isha Mashauzi ilitua kwenye mitandao ya Waganga wa kienyeji wa Bwagamoyo, lakini hamkuiripoti humu! Je kule kwani haikuwa hadhi yake ile hotuba kutua? Si kila hotuba inatua kwenye sehemu yenye hadhi yake lakini?