FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,800
Ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa CHADEMA haioni misaada kama kitu cha maana.Cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha Samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.Ni kujichanganya kwenda mbele!!
Makubwa hayo, (sitaki msaada, nataka msaada!) babu kachanganyikiwa huyo.
cc Dr.W.Slaa
Last edited by a moderator: