Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

Ametoa hotuba kali ya kuponda nchi kutegemea misaada na akasema katika hotuba kuwa CHADEMA haioni misaada kama kitu cha maana.Cha ajabu kamalizia hotuba yake kwa kukiomba chuo cha Samford kitoe msada wa kuelimisha watanzania.Ni kujichanganya kwenda mbele!!

Makubwa hayo, (sitaki msaada, nataka msaada!) babu kachanganyikiwa huyo.

cc Dr.W.Slaa
 
Last edited by a moderator:
Sasa huko ndio kujadiliwa na media "ZA" Kenya? mnanchekesha!
FaizaFoxy, Nadhani wewe hata huelewi alichokiongelea Daktari....Kwa hiyo the BEST THING KWA MTU KAMA WEWE NI :violin::violin: IGNORE :frusty:
 
Last edited by a moderator:
Tunahitaji kupata hotuba zinazoishi kama hizi..sio za kila mwezi zinazokwenda na matukio. Mara nimembiwa, nimeambiwa, nimeambiwa, nk.

ha ha ha ahhhaaaa!

Mwenyekiti Kikwete anachoambiwa ndio hicho hicho...mnataka afanyeje sasa?

kha!
 
Dr amesema tunataka kunufaika kwa Technical know how na ni priority No 1 ya Chadema.Sio utegemea kuletewa pesa wakati mmekalia utajiri...na amesema wazi hizo hela zao ni kodi zao...ziwanufaishe wao huko makwao ...sio sisi ambao tumekalia utajiri...amesema tunataka exchange ya technical know how ili tuweze ku zalisha kutokana na rasilimali zetu beyond life ya non renewable resources.
Kila mtu anaweza kusema, lakini kutenda ikawa sifuri, hizi ndio zile speech za kwenye tungo za prof J, za kuleta mabomba ya mazima, ukijaribu kuangalia asilimia kubwa ya wafuasi wa chadema ni wale watu wenye hulka ya kukaa na kuota siku nzima lakini kwenye utendaji ni sifuri, yeah amesema , amesema....kila mtu anasema...huyu mtu wenu angetushawishi na wengine kama angekua amefanya jambo la ajabu sana katika jimbo lake tofauti n amajimbo mengine, wenye akili zao hupima watu kutokana na historia za maendeleo walizofanya, lakini kwa huyu mtu, hakuna anachofanya zaidi ya kusema NITA..
 
Posted by
Daniel Ominde
at 2:39 AM mpaka sasa ni 3:19 PM ka comment kamoja tu.
Nendeni mkajaze comments ionekane inajadiliwa kwa sana.

Hizo media "ZA" Kenya ziko wapi? si mngesema imebandikwa kwenye ka blog
ka moja na ina comment moja tu mpaka sasa!

Hivi huwa mnaona sifa kujidanganya hata nafsi zenu?

Soma content ikuondolee magamba kwenye ubongo wako
acha kujadili kitu ambacho hakina umuhimu mkubwa
cha muhimu hapa ni content ya speech
we magamba
 
Hapa Ghana, nilimwonesha mmoja tu mwanzoni, mfanyakazi mwenzangu, baada ya kama dakika 10, wafanyakazi karibu wote 33, kila mmoja alikuwa na kopi ya hotuba hiyo, na kila mmoja akiomba digital copy ili aweze kuwatumia wenzake, na wengine wamesema wanawatumia viongozi wao wa serikali na wabunge. Kila mmoja ameifurahia, na kusema ndivyo viongozi wa Afrika wanavyotakiwa kufikiri na kutenda. Hotuba hiyo imekuwa ni gumzo.

Kuna yale maneno ya kwenye Biblia, 'Nabii hasifiki nyumbani', nimeamini. Wakati Watanzania walio wengi wameichukulia ni hotuba ya kawaida na baadhi kuibeza, wenzetu nchi nyingine wameipa uzito unaostahili. Ghana ipo juu sana kiuchumi na kidemokrasia ukilinganisha na Tanzania lakini kila aliyeisoma hotuba hiyo amestajabia uzito wa maneno yaliyopo ndani yake, na wengi wanasema kuwa huo ndiyo ulitakiwa kuwa msimamo na mwongozo wa utawala wa Africa.

Hao watakuwa hawajui Kiingereza, Slaa katika hotuba anasema hataki misaada halafu hotuba hiyo hiyo anawaomba waje kusaidia. Si hatari hiyo?
 
Posted by Daniel Ominde at 2:39 AM mpaka sasa ni 3:19 PM, zaidi ya masaa 12 yamepita, ka comment kamoja tu. Nendeni mkajaze comments ionekane inajadiliwa kwa sana.

Hizo media "ZA" Kenya ziko wapi? si mngesema imebandikwa kwenye ka blog ka moja na ina comment moja tu mpaka sasa!

Hivi huwa mnaona sifa kujidanganya hata nafsi zenu?

IGNORE IGNORE IGNORE IGNORE IGNORE....The best thing for u......
 
Wanajamvi;

Kama utani vile lakini ndio kweli.Ile speech aliyoitoa Dr Slaa sasa imeonekana kukubalika katika baadhi ya nchi za kiafrika.Kuanzia na jirani zetu wakenya ambao wao sasa wameanza kuijadili hotuba hiyo kwenye mitandao yao ya kijamii.

Angalia link hapo chini;

Siasa 254: Speech by the Leader of Opposition in Tanzania to the Students of the University of Samford-USA.

It was really a Stunning Speech.

God bless you Dr Slaa...May you long live for us to see the better Tanzania.Together we Can.

Niseme nini kwako Dr. Slaa...Wewe ndo kimbilio la Watanzania..
 
Mimi soni ajabu yoyote kwa hotuba ya Dr. Slaa kutua kwenye mitandao ya Wakenya. Lakini nalaumu upendeleo wa wazi unaoonyeshwa na Mods humu. Mbona inasemekana hotuba ya "Mzee wa Mipasho" a.k.a Isha Mashauzi ilitua kwenye mitandao ya Waganga wa kienyeji wa Bwagamoyo, lakini hamkuiripoti humu! Je kule kwani haikuwa hadhi yake ile hotuba kutua? Si kila hotuba inatua kwenye sehemu yenye hadhi yake lakini?

Nimekupata, nimekuelewa...Kwi kwi kwii...
 
Hapa Ghana, nilimwonesha mmoja tu mwanzoni, mfanyakazi mwenzangu, baada ya kama dakika 10, wafanyakazi karibu wote 33, kila mmoja alikuwa na kopi ya hotuba hiyo, na kila mmoja akiomba digital copy ili aweze kuwatumia wenzake, na wengine wamesema wanawatumia viongozi wao wa serikali na wabunge. Kila mmoja ameifurahia, na kusema ndivyo viongozi wa Afrika wanavyotakiwa kufikiri na kutenda. Hotuba hiyo imekuwa ni gumzo.

Kuna yale maneno ya kwenye Biblia, 'Nabii hasifiki nyumbani', nimeamini. Wakati Watanzania walio wengi wameichukulia ni hotuba ya kawaida na baadhi kuibeza, wenzetu nchi nyingine wameipa uzito unaostahili. Ghana ipo juu sana kiuchumi na kidemokrasia ukilinganisha na Tanzania lakini kila aliyeisoma hotuba hiyo amestajabia uzito wa maneno yaliyopo ndani yake, na wengi wanasema kuwa huo ndiyo ulitakiwa kuwa msimamo na mwongozo wa utawala wa Africa.

Mkuu usiwashangae vijana wa lumumba buku saba fc kwakuwa kuibeza Chadema au kubeza chochote kinachofanywa na Dkt. Slaa ndiyo masharti ya ajira yao hapo mtaa wa lumumba!

Tatizo jingine la hawa buku saba fc ni kutokufahamu lugha ya malkia kwahiyo hawaelewi kilichosemwa na DKt. Slaa, kwakuwa wengi elimu yao ni ndogo sana na uelewa wao pia ni mdogo sana.
 
Kila mtu anaweza kusema, lakini kutenda ikawa sifuri, hizi ndio zile speech za kwenye tungo za prof J, za kuleta mabomba ya mazima, ukijaribu kuangalia asilimia kubwa ya wafuasi wa chadema ni wale watu wenye hulka ya kukaa na kuota siku nzima lakini kwenye utendaji ni sifuri, yeah amesema , amesema....kila mtu anasema...huyu mtu wenu angetushawishi na wengine kama angekua amefanya jambo la ajabu sana katika jimbo lake tofauti n amajimbo mengine, wenye akili zao hupima watu kutokana na historia za maendeleo walizofanya, lakini kwa huyu mtu, hakuna anachofanya zaidi ya kusema NITA..

Mkuu katika suala la utendaji umeongea point....Serikali ni ya kwenu...mnakusanya kodi..mmeishia kuzitafuna na kujitajirisha na kujishibisha matumbo yenu...mmeshindwa ku improve hali ya maisha ya watanzania...Tena Dr Kawasaidia kuwaambia mna very excellent paper work lakini utendaji sufuri....At this time tunahitaji Mtu kama Dr Slaa atuongoze taifa letu...Kwa miaka 15 ya Ubunge Dr Slaa ameifanya karatu kuwa Halmashauri ya kuigwa.....kwa miaka aliyokuwa bungeni he was the best MP.....Kwa miaka ya ukatibu mkuu wa CHADEMA amewezesha chadema kukua kwa kasi ya ajabu....Tunahitaji nini zaidi kuelewa Dr anaweza...We need Dr Slaa.TOGETHER WE CAN
 
Nimeipenda singo mpya ya aliyotoa dhaifu,sababu napenda sana taraabu,video lini? Dr Slaa,tunakupenda,tunakuhitaji na tunamwomba Mungu akupe afya na akulinde,wote tuseme amen
 
Tunahitaji kupata hotuba zinazoishi kama hizi..sio za kila mwezi zinazokwenda na matukio. Mara nimembiwa, nimeambiwa, nimeambiwa, nk.

hahaaaa NIMEAMBIWA ....mara Rwanda sijui nimeomba msamaha kwa Kagame yaishe mara oooh Tundu Lissu sijui nini ..JK wewe ni rais lakini mambo yako ni kama katibu tarafa
 
Nimeipenda singo mpya ya aliyotoa dhaifu,sababu napenda sana taraabu,video lini? Dr Slaa,tunakupenda,tunakuhitaji na tunamwomba Mungu akupe afya na akulinde,wote tuseme amen

Amen...Dr Slaa anastahili sala zetu watanzania...Is the best man to have as a country leader...Kutuvusha kutoka kwenye dimbwi hili tulipo....Watanzania let us Join hands...TOGETHER WE CAN
 
Mungu hatendi miujiza kwenye mambo yanayoweza kutatuliwa na sisi wenyewe..2015 tuiondoe madarakani CCM ..na Mungu atatuongoza..
 
Well said. Kuna watu ambao hata uelewa wao ni wa kuhojiwa. Nadhani wanataka Dr. Slaa ajenge barabara, hospitali, n.k. ndiyo waseme ana uwezo wa kufanya kitu. Makusanyo ya hela zetu zote tunawapa lakini wanatumia kwa vitu vya kiji.nga na wizi. Kama wanataka waone Dr Slaa ana uwezo wa kusimamia kiasi gani waruhusu kodi zetu wanazochukua zikusanywe na CHADEMA, angalao PAYEE pekee yake, waone zitafanya nini. Namna nyingine ni wehu kutegemea Dr. Slaa atekeleze miradi ya maendeleo wakati makusanyo ya kodi yanaenda serikali ya CCM. Poor arguments!

Mkuu katika suala la utendaji umeongea point....Serikali ni ya kwenu...mnakusanya kodi..mmeishia kuzitafuna na kujitajirisha na kujishibisha matumbo yenu...mmeshindwa ku improve hali ya maisha ya watanzania...Tena Dr Kawasaidia kuwaambia mna very excellent paper work lakini utendaji sufuri....At this time tunahitaji Mtu kama Dr Slaa atuongoze taifa letu...Kwa miaka 15 ya Ubunge Dr Slaa ameifanya karatu kuwa Halmashauri ya kuigwa.....kwa miaka aliyokuwa bungeni he was the best MP.....Kwa miaka ya ukatibu mkuu wa CHADEMA amewezesha chadema kukua kwa kasi ya ajabu....Tunahitaji nini zaidi kuelewa Dr anaweza...We need Dr Slaa.TOGETHER WE CAN
 
Back
Top Bottom