Dr Slaa atikisa Iramba Magharibi- Singida

Dr Slaa atikisa Iramba Magharibi- Singida

Status
Not open for further replies.
Mwigulu anahangaika na kubambikia watu kesi wakati wana ukombozi wanakomboa jimbo lake
 
Yaani Kurugenzi ya Habari mnashindwa kuleta picha, mbona awali haikuwa hivi mletapo taarifa za mikutano ya hadhara, eti Molemo imekuwaji?
 
Last edited by a moderator:
Mbona Ziara za Dr Slaa hatupati picha kama za mh. Zitto,zaidi maneno tu Slaa atikisa huku mara kule why?
 
Kwa msio na ufahamu, Christina Mugwai ni Dada wa Mh. Tundu Lissu.
Christina Mugwai ni Mbunge wa Viti Maalum Chadema.

NA MSIOJUA NAPE NI MTOTO WA MOSES NNAUYE,MTOTOWA NYERERE NIMBUNGE,MTOTO WA KAWAWA NI MBUNGE,MTOTO WA MAKAMBA NI WAZIRI,MTOTO WA MWINYI NI WAZIRI,MKE WA KIKWETENA MWANAE NI WAJUMBE WA NEC CCM,HATUJAGUSA AKINA KARUME ZANZIBAR na uchafu wa namna hiyo ni mwingi nchi nzima,CHUNGUZA WAKUU WA WILAYA NA MIKOA.usirushe mawe wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo.
 
Kwa msio na ufahamu, Christina Mugwai ni Dada wa Mh. Tundu Lissu.
Christina Mugwai ni Mbunge wa Viti Maalum Chadema.

samwel sitta vs magreth sitta
aisha kigoda vs abdallah kigoda
vitta kawawa vs dada yake
 
Kwa msio na ufahamu, Christina Mugwai ni Dada wa Mh. Tundu Lissu.
Christina Mugwai ni Mbunge wa Viti Maalum Chadema.

Kwa hiyo wanapeana ubunge kiundugu siyo! Ina maana huko Singida Chadema wapo ukoo wa Tundu Lissu tu waliosoma??? Chadema genge la koo za watu
 
endelea Dr wa ukweli, nenda, picha sio mushimu sana, muhimu ni ujumbe wa ukombozi, nenda Dr.....
 
Mpaka Uzi unafungwa hakuna picha? Kweli mbio za sakafuni au mmeshindwa kuedit kama za kigoma na Kahama?
 
Weka picha tukuelewe, unampeleka kipofu movie atakuelewa? Ataona unamsanifu, tuwekeeni picha kama naibu katibu mkuu wenu mstaafu alivyoweka.
 
Kwa msio na ufahamu, Christina Mugwai ni Dada wa Mh. Tundu Lissu.
Christina Mugwai ni Mbunge wa Viti Maalum Chadema.

Kwa hiyo?
Mbona Julius Nyeere, joseph Nyerere ma Joseph Butiku ni ndugu? Alokuwa katibu mkuu wa CCM Rashid Kawawa na Alokuwa M/Kiti wa UWT Sophia Kawawa walikuwa mtu na mkewe. Sasa hivi Samweli Sitta na Magreth Sita ni mtu na mkewe! Vita Kawawa na ... Kawawa ni mtu na dadake?

Sasa unganisha doti zako utuambie ulitaka kumaanisha nini?
 
Hata angekuwa shangazi yake shida iko wapi? mbona ndani ya ccm JK ni chairman,mke wake ni Mnec,na Riz1 mnec na bado kuna watoto wa vigogo wamejaa uvccm-hakuna wakuwakosoa wala kuwasema.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom