Dr Slaa atikisa Iramba Magharibi- Singida

Status
Not open for further replies.
wewew unatuletea mambo gani wewe zito hafukuziki chadema.

Mkuu kwa mazingira tuliyonayo sasa, Ninaweza kuunga mkono kauli yako hii kuwa Zitto hafukuziki CDM si kwa sababu eti yeye ni mkubwa zaid ya chama, ila ni kwa sababu inavyoonekana analindwa na baadhi ya wakuu chamani kwa maslahi binafsi, lakin Mungu ni mwaminifu ipo siku tutajua yote.
 
timueni kwanza zitto ndio tuje tuelewane vizuri maana wanachama mnatuchanganya hatujui tushike lipi na tuache lipi, wanachama wengi tumeshaanza kukata tamaa kabisa sababu kunaonekana hakuna haki kabisa, masaliwa walitumuliwa faster tena kwa ushahidi hasa wa jf lakin zitto tuhuma kibao lakin bado mnachamchekea tu.

Inaumiza sana sio siri.
kajinyonge
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Molemo naona mmeamua kutikisa: Juzi kati Dr. Slaa Katoka huko Kigoma nasikia hakutikisa, juzi Zitto naye kaenda Katikisa vilivyo. Ni mwendo wa kutikisa, huyu akitoka kutikisa huyu anaenda kutikisa zaidi! Mwisho mfanye tathimini kuona nani katikisa zaidi.

Naomba uniulizie kwa kamanda Tundu Lissu; vipi amemalizana na wale madiwani waliokuwa wakimshutumu kutaka kugawa pesa za mfuko wa maendeleo kama pesa zake binafsi?


Vipi jomba, ulishamalizana na ule uongo wako uliouleta kwenye thread yako hapa JF...???

Ngoja nikukumbushe kidogo..??

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...hadi-kazi-mjane-wa-mwangosi-alia-na-slaa.html
 
Hiki ndio pekee ulichoweza kuandika!? bila shaka hukuamua kuwasiliana na ubongo wako.

Mohamedi Mtoi waambie viongozi kuwa wanakiuwa chama kwa kuwa na ugonjwa kuogopa kutoa maamuzi, Hatuoni umaana wa hizo ziara huku ndani kukiwa kunafukuta moto.
Wanchama wapo njia panda lakin viongozi wameweka pamba masikioni, Tofauti iko wapi ya CDM na CCM?
 
Last edited by a moderator:
SLAA kapima upepo Kigoma mambo ni utata mtupu. Sasa arejeshe majibu kwa Chadema chumbani mwisho waamue ima zito abakie au la.
 
Kwa msio na ufahamu, Christina Mugwai ni Dada wa Mh. Tundu Lissu.
Christina Mugwai ni Mbunge wa Viti Maalum Chadema.

Kwani kuwa dada yake lissu kuna tatizo? tunataka viongozi waliojitambua,na ni changamoto kwa kina mama/dada kujitokeza katika siasa za mageuzi na hivyo kuleta mabadiliko chanya katika taifa letu.umefika wakati sasa wanawake wajitokeze kwa wingi katika siasa za nchi yetu badala ya kulalamika huku wakionekana waoga na watu wanaotumika tu kwa maslahi ya watawala.VIVA CDM
 
safi sana - kazi a iendelee, safi sana.

mkuu Shardcole na wanachadema wote nadhani ni busara tuwapatie nafasi na muda wa kutosha viongozi wetu ktk kufabya maamuzi sahihi kwenye hii issue ya zitto.

Tunapenda wafuate taratibu zote zilizowekwa kulingana na katiba lakini pia watende haki sawia. Kubwa kulicho yote ni umakini ktk utekelezaji wa maazimio na mipango ukizingatia kwamba adui anaweza akapenyeza kirusi chake kupitia nafasi hii.

Wapinzani wetu wanahaha kutafuta nafasi ya kuiumiza chama kwa hiyo wako tayari kutafuta upenyo wowote including hili la zitto. Mimi nadhani tuiamini sekretariat pamoja na kamati kuu, waendelee na kazi yao na wazidishe umakini zaidi
 
Last edited by a moderator:
Kwa msio na ufahamu, Christina Mugwai ni Dada wa Mh. Tundu Lissu.
Christina Mugwai ni Mbunge wa Viti Maalum Chadema.

Kwa wasio fahamu Mbunge Anna Abdallah ni Mke wa Mzee Msekwa

Wasio fahamu Mtoto wa Makamu wa Rais pia ni Mbunge

Wasio fahamu mke wa Madabida aitwae Zarina nae ni Mbunge

Wasio fahamu mtoto wa Sokoine nae ni Mbunge

Wasio fahamu mke wa Samwel Sitta nae ni Mbunge!!

"Kikongwe Neema Mosses alilazimishwa kufanya mapenzi na WAKWE zake kisha kuingizwa chupa sehemu za siri"-Ripoti ya Kamati ya Lembeli
 
safi sana - kazi a iendelee, safi sana.

mkuu Shardcole na wanachadema wote nadhani ni busara tuwapatie nafasi na muda wa kutosha viongozi wetu ktk kufabya maamuzi sahihi kwenye hii issue ya zitto.

Tunapenda wafuate taratibu zote zilizowekwa kulingana na katiba lakini pia watende haki sawia. Kubwa kulicho yote ni umakini ktk utekelezaji wa maazimio na mipango ukizingatia kwamba adui anaweza akapenyeza kirusi chake kupitia nafasi hii.

Wapinzani wetu wanahaha kutafuta nafasi ya kuiumiza chama kwa hiyo wako tayari kutafuta upenyo wowote including hili la zitto. Mimi nadhani tuiamini sekretariat pamoja na kamati kuu, waendelee na kazi yao na wazidishe umakini zaidi

Mkuu hakuna subira wala busara zinazohitajika ktk hili swala zaidi ya kumtimua mlengwa ambaye kaanza kuvimba kichwa.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom