Dr Slaa atikisa Iramba Magharibi- Singida

Dr Slaa atikisa Iramba Magharibi- Singida

Status
Not open for further replies.
Mkuu,
Leo wamechelewa kuleta timu ya mpira kutoka Dar? Au ccm wameshagundua ya kuwa haiwasaidii kitu baada ya watu kuchoshwa na usanii? CHADEMA mwendo mdundo...
 
Timueni kwanza Zitto ndio tuje tuelewane vizuri maana wanachama mnatuchanganya hatujui tushike lipi na tuache lipi, Wanachama wengi tumeshaanza kukata tamaa kabisa sababu kunaonekana hakuna haki kabisa, Masaliwa walitumuliwa faster tena kwa ushahidi hasa wa JF lakin Zitto tuhuma kibao lakin bado mnachamchekea tu.t

Tulia kijana hiki si chama cha wakurupukaji kama unavyodhani, acha wanaocheza ngoma ya Zitto waendelee kudundika. CDM ni chama cha cha mikakati na kujisimamia siyo ccm ambao hawawezi kumfokea mwizi wa chumvi.
 
Mohamedi Mtoi waambie viongozi kuwa wanakiuwa chama kwa kuwa na ugonjwa kuogopa kutoa maamuzi, Hatuoni umaana wa hizo ziara huku ndani kukiwa kunafukuta moto.
Wanchama wapo njia panda lakin viongozi wameweka pamba masikioni, Tofauti iko wapi ya CDM na CCM?

CCM ni mafisadi na CDM ni walala hoi.
 
Last edited by a moderator:
Kamati kuu CDM mfukuzeni huyu MM haraka jamani! Mbona anaachiwa akiendelea kukiua chama hivi!
 
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CDM. Peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeples
 
Hongera Chadema na picha muweke Makene Molemo

Picha zimekuwa adimu sana....y?pia kufanya hadhara kwenye jimbo tofauti na lako ni sahihi....lissu amehutubu kote isipokuwa Iramba magharibi...na ameomba radhi
 
Last edited by a moderator:
DR SLAA NDIYO MTU MAARUFU ZAIDI TANZANIA kwa hivi sasa , POPOTE ATAKAPOTUA NI LAZIMA KISHINDO KITOKEE .
 
Tunaimani kubwa na chadema peke yake ndo chama kinacho wapenda watanzania japo kuwa wengi hawajarifahamu Hilo safi sana Kamanda pambana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom