IMBOMBONGAFU
Senior Member
- Jun 7, 2009
- 147
- 3
Hizo ni symptoms za loser.Kwani mlipokuwa mnaingia kwenye uchaguzi mlikuwa na imani gani na nec?Kama wewe umeshindwa ni kuachana na siasa...wache wnanchi waendelee na kazi zingine ...umeshindwa umeshindwa basi....