Wacha mkwara kawatishie vijana wapaleeeeeee makao makuu kinondoni sio hapa JF.Hahahhhahahhahhahhaha,
Sijawahi kuhudhuria mkutano wa BAVICHA.
Unauliza kuhusu kupigika kwa Ben Saanane?Eti kwamba alikua hajui atakula nini?Tafuta backgroubd yangu,tafuta kuhusu upambanaji wa Ben Saanane mzee!Usijaribu kurudia tena.
Na connect dots mkutano wa iramba dr slaa kudoda na muanzisha uzi huko Iramba. Now thanks God kwa thread hii Monique sha kumjua Harmy-D ni nani hasa!?
na ukishajitambua acha kuchumia tumbo
WanaJF!
Katika hali iliyokuwa ikitazamiwa kutokea kwenye mkutano wa CHADEMA hapa Iramba, sasa yametimia kwani mkutano umeanza takribani saa 1 lililo pita (majira ya saa 8 mchana) na matangazo ya kuhamasisha yamekuwa yakisikika kote hapa Iramba, ila mwitikio wa wananchi kwenye mkutano huo ni mdogo na hali hiyo imemfanya Dr Slaa kuduwaa na kubaki kukuna kichwa tu.
Jambo ambalo limemponza Dr Slaa na kumuingiza kwenye aibu hiyo, ni kufuatia kudanganywa na wapambe wake kuwa yeye ana
Unaandika na kujijibu bila kujua kwamba hujabadili ID.Unatia Aibu.Ndiyo maana ninasema niliwafundisha mimi jinsi ya kutumia mitandao.Leo mtakoma.!! Ulichofanya hapo juu ni aibu.Umejisahau kama mtu ambae ni ignorance kabisa katika matumizi ya mitandao.Tulieni,leo ni lazima mchanganyikiwe!
Wacha mkwara kawatishie vijana wapaleeeeeee makao makuu kinondoni sio hapa JF.
na ukishajitambua acha kuchumia tumbo
Chadema inabidi wajipange upya kuwafahamisha watanzania wanasimamia wapi. Dr Slaa, watanzania wengi wameishamchoka hana jipya kila siku anakosoa serikali tu lakini hawafahamishi watanzania kipi atawafanyia.
Mbona hujadili mada unajadili ID za watu au ndio unawafundisha mods kazi "shame on you"
Uongo kwangu mwiko. Dr jana alikuwa anaongea kiukali na hasira kama anawaonya watoto wake kiasi cha wahudhuriaji wengi kumchukia na kuzomea saa nyingine. Dr si kitu tena, sijui atarudije kwenye ulingo wa kisiasa! Amejitangaza kupitia the list of shame aliopewa na wahaini ndani ya serikali atleast watanzania wakamuona mpiganaji ila ufisadi wake ndani ya chama, chuki yake, uroho wa madaraka na kuhamasisha uvunjifu wa amani watanzania wamemdharau sana.
we kila mchana, usiku unaota dr slaa na chadema!
Halafu role modal wako mwigulu, pole sana!
Watanzania kazi tunayo
WanaJF!
Katika hali iliyokuwa ikitazamiwa kutokea kwenye mkutano wa CHADEMA hapa Iramba, sasa yametimia kwani mkutano umeanza takribani saa 1 lililo pita (majira ya saa 8 mchana) na matangazo ya kuhamasisha yamekuwa yakisikika kote hapa Iramba, ila mwitikio wa wananchi kwenye mkutano huo ni mdogo na hali hiyo imemfanya Dr Slaa kuduwaa na kubaki kukuna kichwa tu.
Jambo ambalo limemponza Dr Slaa na kumuingiza kwenye aibu hiyo, ni kufuatia kudanganywa na wapambe wake kuwa yeye ana kubalika Iramba na wananchi wanamtambua kama rais wao, badala yake Dr Slaa ameonekana kama kituko mbele ya wananchi ingawa alikuja na mbwembwe nyingi hapa kijijini.
Dr Slaa, CCM YATUTOSHA!
hahahahaaa kwani wewe ben ndio bwana wakooo