Dr slaa apata pigo Iramba - mkutano wadoda!

Status
Not open for further replies.
Mods piga ban waongo wote wa Lumumba

uzi huu umenifanya nimdharau sana Hamidu , hapana nimekosea , uzi huu umenifanya niidharau sana id ya HAMMY - D ( maana inasemekana inatumiwa na kijiji )
 
Babu kishajichokea ila hana jinsi maana akikubwa na ule ugonjwa wa money crisis lazima Josephine atamkimbia.Ngoja atafute rizki kwanza.

Josephine is TOO expensive to maintain na hilo ndilo linalomchanganya Babu...
 
uzi huu umenifanya nimdharau sana Hamidu , hapana nimekosea , uzi huu umenifanya niidharau sana id ya HAMMY - D ( maana inasemekana inatumiwa na kijiji )
Dawa ya hawa LB7 (lumumba buku7) ni kuwapotezea mkuu...
 
kweli kamanda ben saanane we ni jeshi la mtu mmoja naona timu nzima ya vijana wa lumumba umeisambaratisha hoiiii!!!. Chadema kuna majembe sio mchezo,,,. Long live

umeoona enh mshikaji kawafinya kinoma yaani chaliiii
 

Mkuu acha unafiki

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...oni-kumsikiliza-dkt-slaa-polisi-watumika.html
 
CHADEMA itakufa na kuondoka CCM mtetezi wa watanzania itabaki kuwepo milele!
 

uko fresh kweli ? Namaanisha kwamba unaandika ukiwa njwiii au la ?
 
Josephine is TOO expensive to maintain na hilo ndilo linalomchanganya Babu...
Hilo ndilo linalomsumbua babu kwa sasa!
Maana mikorogo anayoitumia Josephine ili azidi kuonekana binti wakati alisoma darasa moja na marehemu bi Kidude ni ghali sana.
 
Last edited by a moderator:
Uko field?My foot!

Subiri picha! Muongo mkubwa wewe.Kumbuka unaheshimika sana katika jamii!

Ben, unajishushia heshima. Huyo mbabaishaji anaheshimika sana katika jamii ipi? Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa na stupid obsession kama aliyonayo huyo mhuni.

JF inapoteza hadhi yake kwa kuendekeza malumbano na wapuuzi kama hawa. Wahenga walisema ukibishana na mlevi itaiwia vigumu jamii kutofautisha nani mlevi nani mzima. Hawa ni wa kupuuzwa.
 
 

Anzisha forum yako yenye hadhi, halafu ndio ujifunze kufunga watu midomo.
 
hilo ndilo linalomsumbua babu kwa sasa!
Maana mikorogo anayoitumia josephine ili azidi kuonekana binti wakati alisoma darasa moja na marehemu bi kidude ni ghali sana.

mnataka kuhamisha mada kama mna tatizo la kutikisika ubongo vile poleni sana
 
Last edited by a moderator:
Duh kweli HAMY-D umeshatolewa posa na CCM sasa unatumikia nd...a yako
 
Kijana unahatari kubwa, yaani na wewe unatamani kumwaga damu za watu wasio na hatia kama anavyofanya Mwigulu! kwanini usife tu maana huna faida yoyote katika jamii ya wastaarabu!
 
 
LB7 (lumumba buku 7)...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…