Dr. Slaa aongea na wanafunzi katika Kongamano la wanavyuo

Dr. Slaa aongea na wanafunzi katika Kongamano la wanavyuo

Dr.Slaa slaa ndo anaongea...anasema CHADEMA tumefikia 99.999% katika kutoa elimu ya uraia..
 
Umeanzisha uzi tunataka kujua nini mgeni rasmi anaongelea sio unachoona wewe ndio cha kutueleza mara nyingi wana habari wa JF wanafinya ukweli lakini ahsante kwa kutujuza
 
"Yanayotokea Lindi na Mtwara ni matokeo ya wananchi kujua haki zao....tulikotoka ukitaka kuöngea lazima uangalie pembeni na nyuma kwanza"...Dr.Slaa
 
"Nawapongeza sana wananchi wa Mtwara kwa kutambua haki zao....Duniani kote nchi zimeendelea kwa sababu ya kutumia rasliamali zao vizuri... Miaka nane tu Kagame amebadilisha sura ya Rwanda, hacheki cheki"Dr.Slaa
 
Umeanzisha uzi tunataka kujua nini mgeni rasmi anaongelea sio unachoona wewe ndio cha kutueleza mara nyingi wana habari wa JF wanafinya ukweli lakini ahsante kwa kutujuza
kwani mleta uzi kasema tumjuze? au hujasoma thread yake?
 
"Polisi wanaua lakini bado wanalindwa na mfumo....tumeingia mambo haya kwenye vyombo vya kimataifa ikiwemo tume ya haki za binadamu"Dr.Slaa
 
kwani mleta uzi kasema tumjuze? au hujasoma thread yake?
Hapana sio maana yangu nilikuwa namwomba aendelee kutiririka sio anaanzisha thread halafu anaishia au anatuambia kitu kidogo lakini sasa anatiririka
 
Habar comrades!
Rais Dr.W.Slaa amesema kuwa vijana wasipoteze muda wao kubishana na watu kwenye mitandao wanaomwita yeye babu kwani amesema anafurahi kuitwa babu kuliko Dr.Slaa kwani neno babu kwa tafsiri za kiafrika ni busara, hekima.

Ameyasema hayo kwenye kongamano la CHASO dar.
 
Babu amekubali safi sana.Mjukuu wake anaendeleaje?.Au amekwisha mbwaga chini kama kawaida yake
 
NYINYI-M presha inipanda presha inashuka maana ukiwaita ccm na sisi tumo.
 
Habar comrades!
Rais Dr.W.Slaa amesema kuwa vijana wasipoteze muda wao kubishana na watu kwenye mitandao wanaomwita yeye babu kwani amesema anafurahi kuitwa babu kuliko Dr.Slaa kwani neno babu kwa tafsiri za kiafrika ni busara, hekima.

Ameyasema hayo kwenye kongamano la CHASO dar.

Mkuu Shardcole Dr Slaa mwiba sana hahahahaa, eti analipenda hilo jina la babu..utashangaa CCM wanabadilisha hawatamwita tena babu..sababu nia yao sio kumwita jina analolipenda utashangaa wanamwita kijana,lakini Dr atasema analipenda pia sbab kijana inamaanisha nguvu, wataachana nalo watamwita mtoto, Dr atalifurahia pia sababu mtoto ina maanisha malaika.. Jaman uyu Dk mbona anainyanyasa ccm hivi,?..sidhani kama kuna propaganda itakayokuja mshusha chini DR sababu ya kadi mbili siisikii tena, nawasifu chadema kwa kumlipa dkt mshahara mkubwa, na chadema walivyo wajanja wamemkopesha na hela mil 140 ali kumfungia kabisa chadema asiondoke,wapo watu wanaodhani chadema ni wajinga lakini kile chama kina watu wenye akili nyingi sana... Viva Dr wa ukweli ambae ccm umeishinda serikali na bado utaisumbua sana
 
Last edited by a moderator:
nawashauri chadema kama mnampenda babu mwambieni apumzike ameshajichokea

Kwa sasa tunazihitaji busara zake kuliko wakati wowote ule.. Tunashukuru mungu wewe sio mke wake ungetutibulia wewe hasidi.
 
Back
Top Bottom