mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,222
hapo safi sio kila siku dr dr dr BABU nafikiri ni muafaka but mbona wafuasi wake hamlipendi???????Yea. si ndio jina linalozungumziwa hapa au?
hapo safi sio kila siku dr dr dr BABU nafikiri ni muafaka but mbona wafuasi wake hamlipendi???????Yea. si ndio jina linalozungumziwa hapa au?
Hivi Chaema mlikosa ukumbi mpaka mkafanyie mkutano wenu hapo Msimbazi.
Hivi Chaema mlikosa ukumbi mpaka mkafanyie mkutano wenu hapo Msimbazi.
Kamanda Bananga yupo jukwaani amesema atarudi ccm siku chadema watakapo achamisingi ya kuwatetea wanyonge na siku ambayo Riziwani Atajiunga CDM.
kwako ndo hakina maana kwangi kina maana
Hapo kwenye red ni nini hicho?
Wewe na wakristo hadi utakufa,kisa msimbazi centre ni kumbi ya wakristo basi,vitu vingine avina hata point unavyoviongea,chuki dhidi ya wakristo itakutafuna wewe mwenyewe,ukilala,ukiwa lumumba,ukiwa chooni,ukiwa barabarani wewe unawaza wakristo tu,hakuna kitu kingine unachowaza,pole sana.