Dr. Slaa aongea na wanafunzi katika Kongamano la wanavyuo

Dr. Slaa aongea na wanafunzi katika Kongamano la wanavyuo

kwel m2 kusoma hujui hata kuona picha? yaani m2 kama kadirik kumuasi mungu ake itakuwaje kwa binadam mwenzake! alafu kaasi familia! dah mie sidanganyiki ngoo
 
Mkuu Shardcole Dr Slaa mwiba sana hahahahaa, eti analipenda hilo jina la babu..utashangaa CCM wanabadilisha hawatamwita tena babu..sababu nia yao sio kumwita jina analolipenda utashangaa wanamwita kijana,lakini Dr atasema analipenda pia sbab kijana inamaanisha nguvu, wataachana nalo watamwita mtoto, Dr atalifurahia pia sababu mtoto ina maanisha malaika.. Jaman uyu Dk mbona anainyanyasa ccm hivi,?..sidhani kama kuna propaganda itakayokuja mshusha chini DR sababu ya kadi mbili siisikii tena, nawasifu chadema kwa kumlipa dkt mshahara mkubwa, na chadema walivyo wajanja wamemkopesha na hela mil 140 ali kumfungia kabisa chadema asiondoke,wapo watu wanaodhani chadema ni wajinga lakini kile chama kina watu wenye akili nyingi sana... Viva Dr wa ukweli ambae ccm umeishinda serikali na bado utaisumbua sana

sixgates nimeyapenda sana maelezo yako.
 
Last edited by a moderator:
Babu kalikubali vipi tukitohoa tukamwita Kibabu atalikubali pia??
 
Back
Top Bottom