Pamoja na hayo, lakini huwezi kuwalinganisha Prof. Lipumba na Dr. Slaa
Iwe ki uzalendo au kielimu. Lipumba na PhD ya uchumi, anauzika mahali popote Duniani. Slaa ana PhD ya theology ( ya dini ya kikatoliki ) ni ngumu kupata kazi kama sio kwenye taasisi za dini hiyo na alishawaliza. Watapiga memo kila aendako ilimfaa siasa ya bongo tu nayo naona kama imemponyoka