Dr. Slaa Anafaa Kuwa Rais

dr tsaaa hafai kuwa kiongozi wa nchi yoyote ile hasa yenye utajiri kama hii, Mang'ola ni mfano halisi wa nchi hii, kwani ina utajiri mkubwa sana wa ukulima wavitunguu, na wakulima ni matajiri, huyu mbunge wa hapo yaani tsaa,
hajaweza kuwasaidia wakulima hao kitu chochote kwamiaka 15ya ubunge, alihitaji kuwahamisisha tu wachange na yeye awasaidie kuleta umeme, na barabara ya kupitisa mazao ,tumeona kwa macho juzi kwenye ziara ya rais jk karatu,pia tumeonyeshwa kibanda cha udongo cha kwake lo raisi ambae hata Hawezi kubadili maisha yake kuwa bora atamuongoza nani. wakazi pale wengi wana nyumba nzuri ila yeye. m/kiti wa kijiji amekiri utendaji mbovU wa tsaa, na kurudisha card yy na wafuasi wake, hii ni kuthibitisha jinsi gani walivyocHoshwa na ahadi za uongo,
DR,TSAA HAFAI KUONGOZA HATA FAMILIA YAKE IWEJE ATUONGOZE SISI WATZ


a twit at work!
 
Wakuu,
Ni siku chache zimebaki watanzania tutakapopiga kura kuchagua viongozi wetu ( wawe watu au chama!)
Ni wazi, kwa sasa kila mtanzania mwenye haki ya kupiga kura atakuwa ameshasikiliza sera za vyama mbali mbali katika kampeni zinazoendelea kwa sasa.
Baada ya kusikiliza kampeni za vyama mbali mbali, binafsi nimeona kwamba Dr Slaa anafaa kuwa rais wa nchi yetu.
Pengine mkuu yeyote anaweza kuniuliza ni kwanini. Majibu yako mengi lakini hasa; Dr Slaa-
  • Ni mjasiri anayetetea maslahi ya taifa (sote tumeshuhudia bungeni).
  • Anatoa matumaini kwa watanzania walio wengi kupitia sera ya elimu bure.
  • anaahidi vitu vinavyotekelezeka, mfano kupunguza kodi ya vifaa vya ujenzi.
  • Tunamuamini tunamhitaji.
  • Ongezea...!
Kutokana na hayo, Dr WS anafaa kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 31 oktoba, 2010.


Mungu ibariki Afrika! Mungu ibariki Tanzania!


nawasilisha!!!
Kamwe Dr Slaa hatugusa ikulu.
 
kama wewe umeolewa, wengine tunaoa hatuolewi

sasa mbona inaonekana una ashki za kike au wewe ni shoga? hebu jipambanue vizuri tukuelewe. kama unaona aibu kujieleza, hebu jipige picha makalioni utupie hapa tuone kama wewe ni shoga mzoefu au kama ndio unaanza.
 
Bavicha bwana ina maana mmesahau kinacho mfanya hadi saaa asifunge ndoa? Slaa ana case mahakamani mtafute umuulize.

Kesi mlipeleka nyie mkiogopa kipigo cha Dr slaa ili kuwaondoa wananchi kwenye kampeni wajikite kwenye huo uhuni. Ccm jipangeni upya mbinu zenu zote Dr slaa anazo.
 
Dr Slaa alistaafishwa kanisani kwa manufaa ya kanisa.Kwa hiyo hafai kokote kama hata kanisa walishindwa na tabia za kikware za huyu babu

kwa hiyo unamuonea wivu josephine? ulitaka ukabanduliwe wewe? umedoda wewe nungaembe!
 
sasa mbona inaonekana una ashki za kike au wewe ni shoga? hebu jipambanue vizuri tukuelewe. kama unaona aibu kujieleza, hebu jipige picha makalioni utupie hapa tuone kama wewe ni shoga mzoefu au kama ndio unaanza.

tabia uliyo nayo usiwasimulie wenzio upunguani unaofanyaga
 
Atawaongoza wambulu wenzie kwa Tanzania Zitto ndio anafaa kuwa rais ila chadema mnamuwekea kauzibe tu!!!RIP Chadema mwaka huu:rip:
 
View attachment 230510
Mwalimu nyerere alisha wahi kusema ukimtizama usoni ujiridhishe kama kweli anafaa.
Nimemtizama Dr slaa katika picha hii aliyopiga na Mwigulu nimejiridhisha huyu ni kiongozi na anatufaa watanzania.
Uso wake unahamasa ya maendeleo
Uso wake unaweza kukalipia
Uso wake unaweza kuwajibisha mtu
Uso wake haupendi rushwa
Uso wake na moyo vinashabiana
Huyu ndio kiongozi,Unaweza kuona nindhamu aliyonayo mwigulu hapo kwenye picha.Hata kabla ya Dr kuingia ikulu,Huyu ni kiongozi tena chaguo la mungu.
Tukichezea shilingi chooni tena mwaka huu watanzania tutakuja kujuta kwa miongo kadhaa
Muda wa mabadiliko ndio huu kiongozi ndio huyu tufanye maamuzi sahihi.

Huu upuuzi wa kusema chaguo la mungu tuachane nao mwaka huu wewe kama mtu unampenda sema unampenda sio kumsingizia mungu mtu mwenyewe anaonekana mjanja mjanja wa mjini tu
 
No one like Dr Slaa!

Wezi wa Mali za umma pekee ndio wanaomuogopa Dr Slaa!
 
Hii imechuja kajipange upya Mingoi! Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyaona ndani ya ccm watayafafuta nje ya ccm (Mwalimu Nyerere)

Watanzania walikuwa wanaishi kwa kueshimiana kabla Slaa ajaiba mke,yeye kama kioo cha jamii kwa wengi walivyotegemea amegeuka kuwa mfano mbaya.
 
Back
Top Bottom