Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,187
- 42,011
Mwanamke asiyekua na mume anaolewa tu
Bavicha bwana ina maana mmesahau kinacho mfanya hadi saaa asifunge ndoa? Slaa ana case mahakamani mtafute umuulize.
Mwanamke asiyekua na mume anaolewa tu
dr tsaaa hafai kuwa kiongozi wa nchi yoyote ile hasa yenye utajiri kama hii, Mang'ola ni mfano halisi wa nchi hii, kwani ina utajiri mkubwa sana wa ukulima wavitunguu, na wakulima ni matajiri, huyu mbunge wa hapo yaani tsaa,
hajaweza kuwasaidia wakulima hao kitu chochote kwamiaka 15ya ubunge, alihitaji kuwahamisisha tu wachange na yeye awasaidie kuleta umeme, na barabara ya kupitisa mazao ,tumeona kwa macho juzi kwenye ziara ya rais jk karatu,pia tumeonyeshwa kibanda cha udongo cha kwake lo raisi ambae hata Hawezi kubadili maisha yake kuwa bora atamuongoza nani. wakazi pale wengi wana nyumba nzuri ila yeye. m/kiti wa kijiji amekiri utendaji mbovU wa tsaa, na kurudisha card yy na wafuasi wake, hii ni kuthibitisha jinsi gani walivyocHoshwa na ahadi za uongo,
DR,TSAA HAFAI KUONGOZA HATA FAMILIA YAKE IWEJE ATUONGOZE SISI WATZ
Kamwe Dr Slaa hatugusa ikulu.Wakuu,
Ni siku chache zimebaki watanzania tutakapopiga kura kuchagua viongozi wetu ( wawe watu au chama!)
Ni wazi, kwa sasa kila mtanzania mwenye haki ya kupiga kura atakuwa ameshasikiliza sera za vyama mbali mbali katika kampeni zinazoendelea kwa sasa.
Baada ya kusikiliza kampeni za vyama mbali mbali, binafsi nimeona kwamba Dr Slaa anafaa kuwa rais wa nchi yetu.
Pengine mkuu yeyote anaweza kuniuliza ni kwanini. Majibu yako mengi lakini hasa; Dr Slaa-
Kutokana na hayo, Dr WS anafaa kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 31 oktoba, 2010.
- Ni mjasiri anayetetea maslahi ya taifa (sote tumeshuhudia bungeni).
- Anatoa matumaini kwa watanzania walio wengi kupitia sera ya elimu bure.
- anaahidi vitu vinavyotekelezeka, mfano kupunguza kodi ya vifaa vya ujenzi.
- Tunamuamini tunamhitaji.
- Ongezea...!
Mungu ibariki Afrika! Mungu ibariki Tanzania!
nawasilisha!!!
kama wewe umeolewa, wengine tunaoa hatuolewi
Bavicha bwana ina maana mmesahau kinacho mfanya hadi saaa asifunge ndoa? Slaa ana case mahakamani mtafute umuulize.
Wewe ni kinyesi kibichi..
Dr Slaa alistaafishwa kanisani kwa manufaa ya kanisa.Kwa hiyo hafai kokote kama hata kanisa walishindwa na tabia za kikware za huyu babu
Sasa hivi babu kasingiziwa kichanga,atalelea sana watoto wa watu Michael Jackson wa siasa za Tanzania.
sasa mbona inaonekana una ashki za kike au wewe ni shoga? hebu jipambanue vizuri tukuelewe. kama unaona aibu kujieleza, hebu jipige picha makalioni utupie hapa tuone kama wewe ni shoga mzoefu au kama ndio unaanza.
I love my presdent dr.slaa
View attachment 230510
Mwalimu nyerere alisha wahi kusema ukimtizama usoni ujiridhishe kama kweli anafaa.
Nimemtizama Dr slaa katika picha hii aliyopiga na Mwigulu nimejiridhisha huyu ni kiongozi na anatufaa watanzania.
Uso wake unahamasa ya maendeleo
Uso wake unaweza kukalipia
Uso wake unaweza kuwajibisha mtu
Uso wake haupendi rushwa
Uso wake na moyo vinashabiana
Huyu ndio kiongozi,Unaweza kuona nindhamu aliyonayo mwigulu hapo kwenye picha.Hata kabla ya Dr kuingia ikulu,Huyu ni kiongozi tena chaguo la mungu.
Tukichezea shilingi chooni tena mwaka huu watanzania tutakuja kujuta kwa miongo kadhaa
Muda wa mabadiliko ndio huu kiongozi ndio huyu tufanye maamuzi sahihi.
Kingunge nikijana?
Hii imechuja kajipange upya Mingoi! Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyaona ndani ya ccm watayafafuta nje ya ccm (Mwalimu Nyerere)