Dr. Slaa Anafaa Kuwa Rais

Dr. Slaa Anafaa Kuwa Rais

Wakuu,
Ni siku chache zimebaki watanzania tutakapopiga kura kuchagua viongozi wetu ( wawe watu au chama!)
Ni wazi, kwa sasa kila mtanzania mwenye haki ya kupiga kura atakuwa ameshasikiliza sera za vyama mbali mbali katika kampeni zinazoendelea kwa sasa.
Baada ya kusikiliza kampeni za vyama mbali mbali, binafsi nimeona kwamba Dr Slaa anafaa kuwa rais wa nchi yetu.
Pengine mkuu yeyote anaweza kuniuliza ni kwanini. Majibu yako mengi lakini hasa; Dr Slaa-
  • Ni mjasiri anayetetea maslahi ya taifa (sote tumeshuhudia bungeni).
  • Anatoa matumaini kwa watanzania walio wengi kupitia sera ya elimu bure.
  • anaahidi vitu vinavyotekelezeka, mfano kupunguza kodi ya vifaa vya ujenzi.
  • Tunamuamini tunamhitaji.
  • Ongezea...!
Kutokana na hayo, Dr WS anafaa kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 31 oktoba, 2010.


Mungu ibariki Afrika! Mungu ibariki Tanzania!


nawasilisha!!!

Huyu dr wa ukweli ndio kipenzi cha watanzania
 
Njaa ya watanzania Ndiyo inayompa kiburi Lowasa. mwizi ni mwizi tu hata kama akiungama kwa papa. mtajuta watanzania. Najua Dr Slaa akishaingia ikulu cha kwanza anawafunga wezi wote wakiwemo waliotoa m 10 za mboga

Lakini si unaijua adhabu ya mtu alieiba mke wa mtu?
 
Back
Top Bottom