Huu ni ujinga tu mkuu maana kila mtu anaelewa kuwa Dr. Slaa mahisiano yake ni halali wala hamna cha mke wa mtu wala nini ni propaganda tu ambazo ni watu wachache wenye akili wanaweza kuzinunua.Tatizo ni watanzania kuwa na mawazo ya kiuzifu.tunahitaji rais si mme au mke wa mtu.tuambie kama ammzini mamako!
Hivi ni watu wangapi walioa na wakaachana na wake zao na wakaoa tena? Hivi mwanamke anaweza kulazimishwa kumwacha mme wake anayempenda akaenda kuishi na mwanaume mwingine? Ndoa ni hiari kama mke wako mnashindwa kuelewana anao uhuru wa kuondoka na kuingia kwenye mahusiano mengine na mtu mwingine ambaye pia yuko huru!
Sijawahi kuona hoja yenye kuhold water juu ya mahusiano ya Dr. Slaa ni propaganda ambazo zinawalenga wajinga wasiofatilia mambo.
Najua Dr.slaa wanalichukulia swala la propaganda hizi ni ujinga japo zinaweza kuwateka watu wachache wasioelewa hivyo ni muhimu wakati mwingine kuwaelimisha!