Mwenye kiarusi jee?
tatizo umri umemtupa mkono
Dr Slaa ndo raisi wetu mtarajiwa.
Hana dhambi usimlinganishe na aliegeuza madhabau kuwa sehemu ya kugegeda amri 6
tatizo umri umemtupa mkono
Katika ndoa ipi ya UKAWA?
Kingunge nikijana?
Mungu yupi anaewalelea wazinzi?
kama wewe umeolewa, wengine tunaoa hatuolewi
Wakuu,
Ni siku chache zimebaki watanzania tutakapopiga kura kuchagua viongozi wetu ( wawe watu au chama!)
Ni wazi, kwa sasa kila mtanzania mwenye haki ya kupiga kura atakuwa ameshasikiliza sera za vyama mbali mbali katika kampeni zinazoendelea kwa sasa.
Baada ya kusikiliza kampeni za vyama mbali mbali, binafsi nimeona kwamba Dr Slaa anafaa kuwa rais wa nchi yetu.
Pengine mkuu yeyote anaweza kuniuliza ni kwanini. Majibu yako mengi lakini hasa; Dr Slaa-
Kutokana na hayo, Dr WS anafaa kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 31 oktoba, 2010.
- Ni mjasiri anayetetea maslahi ya taifa (sote tumeshuhudia bungeni).
- Anatoa matumaini kwa watanzania walio wengi kupitia sera ya elimu bure.
- anaahidi vitu vinavyotekelezeka, mfano kupunguza kodi ya vifaa vya ujenzi.
- Tunamuamini tunamhitaji.
- Ongezea...!
Mungu ibariki Afrika! Mungu ibariki Tanzania!
nawasilisha!!!
Mzinzi ni baba yako aliekuzaa nje ya ndoa..
tatizo umri umemtupa mkono
Sasa hivi babu kasingiziwa kichanga,atalelea sana watoto wa watu Michael Jackson wa siasa za Tanzania.
Hana dhambi usimlinganishe na aliegeuza madhabau kuwa sehemu ya kugegeda amri 6
Umri si kigezo umri wake unatosha sana tena watu kama Dr slaa kwa umri wao ni dawa ya nchi hii. Dr slaa ni mti wa dawa uliokomaa kushimbwa dawa na kutibu magonjwa sugu. Karibu Dr slaa kipenzi cha watanzania.
Laana imekuzunguka na mwaka huu lazima utage....
kuwa na umri mkubwa sio hekima ona jinsi mugabe pamoja na kuwa na umri mkbwa alivyoiharibu zimbabwe