Dr. Slaa amfunika Lowassa kwenye media

Dr. Slaa amfunika Lowassa kwenye media

Wewe ni punguani kwa ku overestimate nguvu ya Dr Slaa, kumbuka kuwa a candle always burns brightest before it goes off, na yeye anatumia mgongo wa chadema na Lowassa kung'ara. Ila Dr Slaa Hana nguvu ya kushawishi WANAMABADILIKO kubadili msimamo,naongea kama mwanamabadiliko, cha zaidi huyu Mzee kajishusha na nawapongeza chadema kwa kuweka kando machizi kama yeye

Sawasawaa
 
kwakuwa umefail kumjibu nakusaidia....

pombe yupo bar na ndio mwisho waki bar. ikulu inawenyewe, last time mmetuletea mpangaji anaecheka wakati wananchi wanaumia


Mada yangu haijahusu wagombea Urais. Nimewaima yule aliyetakiww kuwa Mgombea Urais na huyu aliyenunua ugombea Urais
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Sasa ni dhahiri kwamba Dr Slaa amemfunika kabisa Lowasa kwenye media. Ukiangalia hata hapa JF utaona kuwa mada nyingi zinazoanzishwa ni zile zinazomhusu Dr Slaa. Pia mada zinazomhusu Slaa zinakuwa na wachangiaji wengi kuliko zile za Lowasa. Hii ni dhahiri kwamba umaarufu wa Dr Slaa ambaye alikuwa mhimili muhimu ndani ya CHADEMA na UKAWA unazidi ule wa Lowasa ambao unazidi kuporomoka kila kukicha.

Watu wa media wamekata tamaa kwa vile fedha walizokuwa wanapewa ili wamwandike vizuri Lowasa zinazidi kupungua kila siku. Vijana wake mitandaoni nao hali ni mbaya sana.

Hakika CHADEMA wanajuuutaaaaa kuchukua fisadi Lowasa. Dr Slaa hakukosea aliposema kuwa walichofanya CHADEMA ni kama kupakua kinyesi kwenye choo na kuweka chumbani kwako. Sasa CHADEMA hapakaliki. Wamekuwa kama wajenzi wa mnara wa Babeli. Kila mtu anasema lake. Wamefikia hatua ya kumlaghai Rose Kamili ili amseme vibaya mzazi mwenzake lakini haijasaidia kitu zaidi ya yule mama kujidhalilisha tu na kudharauliwa na wanawake wenzake.

Dr Slaa unatisha. Mapambano dhidi ya fisadi Lowasa yanaendelea na sisi humu tunazidi kupigilia misumari ya moto. Mpaka Oktoba 25 watakuwa wamechakazwa vibaya na wamekuwa ndembendembe

ActKwNBQAkTqAAAAAElFTkSuQmCC
 
tumesha amua mabadiliko.....mwendo ndo ule ule......lowasaaaaaaa.....mabadilikooooo........mabadilikooooooo........lowasaaaaaaaa

umeamua pekeyako sisi wote tunaendelea na magufuli wetu.......
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Sasa ni dhahiri kwamba Dr Slaa amemfunika kabisa Lowasa kwenye media. Ukiangalia hata hapa JF utaona kuwa mada nyingi zinazoanzishwa ni zile zinazomhusu Dr Slaa. Pia mada zinazomhusu Slaa zinakuwa na wachangiaji wengi kuliko zile za Lowasa. Hii ni dhahiri kwamba umaarufu wa Dr Slaa ambaye alikuwa mhimili muhimu ndani ya CHADEMA na UKAWA unazidi ule wa Lowasa ambao unazidi kuporomoka kila kukicha.
Na ww BILA SHAKA NI TIMU MA LOCK MM SIJAONA CHA MAAANA AMBACHO MR PhD KAKIONGEA PALE

Watu wa media wamekata tamaa kwa vile fedha walizokuwa wanapewa ili wamwandike vizuri Lowasa zinazidi kupungua kila siku. Vijana wake mitandaoni nao hali ni mbaya sana.

Hakika CHADEMA wanajuuutaaaaa kuchukua fisadi Lowasa. Dr Slaa hakukosea aliposema kuwa walichofanya CHADEMA ni kama kupakua kinyesi kwenye choo na kuweka chumbani kwako. Sasa CHADEMA hapakaliki. Wamekuwa kama wajenzi wa mnara wa Babeli. Kila mtu anasema lake. Wamefikia hatua ya kumlaghai Rose Kamili ili amseme vibaya mzazi mwenzake lakini haijasaidia kitu zaidi ya yule mama kujidhalilisha tu na kudharauliwa na wanawake wenzake.

Dr Slaa unatisha. Mapambano dhidi ya fisadi Lowasa yanaendelea na sisi humu tunazidi kupigilia misumari ya moto. Mpaka Oktoba 25 watakuwa wamechakazwa vibaya na wamekuwa



ndembendembe





bila SHAKA NA WW NI TIMU MA LOCKY Kwa sababu mm BINAFSI SIJAONA CHA ajabu AMBACHO JAMAA kaongea kwa watanzania . SIJAWAHI ONA MCHUNGAJI Anamkimbia KONDOO
ILA MTU UKIFUNGA NADHIRI ZA DAIMA KAMA Mr PALE HALAFU UKAASI BASI SHETANI NA MAPEPO WATAKUJA KWA KWAKO MARA DUFUU
TUKITAZAMA MAISHA YA MHESHIMIWA NI VEMA HATA AKATATUA YA FAMILIA YAKE NDIO AJE YA MASLAHI YA WATANZANIA UKISHINDWA KUWEKA SAWA MAMBO NDANI YA FAMILIA YAKO SIJUI KAMA YA TANZANIA UTAWEZA
KATUMIA DAK 100 kwenye MEADIA LISU KAMJIBU KWA DAK 2 bbc .Mzee kaingia pabaya Kama KILA matapishi BASI mzee kala
KAMA MTU MNYOOFU UNAHONGWA MIL500 hutoi TAARIFA TAKUKURU LAZIMA NA WW NI MLA RUSHWA
KAMA PIA UNAWEZA KUKUBALI KUTUMIKA KISA HUJAPATA NAFASI BASI HUNAMSIMAMO NDIO MAANA HATA MAMBO YA NYUMBANI. WATU WA KAWAIDA WANAYAJUA
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Sasa ni dhahiri kwamba Dr Slaa amemfunika kabisa Lowasa kwenye media. Ukiangalia hata hapa JF utaona kuwa mada nyingi zinazoanzishwa ni zile zinazomhusu Dr Slaa. Pia mada zinazomhusu Slaa zinakuwa na wachangiaji wengi kuliko zile za Lowasa. Hii ni dhahiri kwamba umaarufu wa Dr Slaa ambaye alikuwa mhimili muhimu ndani ya CHADEMA na UKAWA unazidi ule wa Lowasa ambao unazidi kuporomoka kila kukicha.

Watu wa media wamekata tamaa kwa vile fedha walizokuwa wanapewa ili wamwandike vizuri Lowasa zinazidi kupungua kila siku. Vijana wake mitandaoni nao hali ni mbaya sana.

Hakika CHADEMA wanajuuutaaaaa kuchukua fisadi Lowasa. Dr Slaa hakukosea aliposema kuwa walichofanya CHADEMA ni kama kupakua kinyesi kwenye choo na kuweka chumbani kwako. Sasa CHADEMA hapakaliki. Wamekuwa kama wajenzi wa mnara wa Babeli. Kila mtu anasema lake. Wamefikia hatua ya kumlaghai Rose Kamili ili amseme vibaya mzazi mwenzake lakini haijasaidia kitu zaidi ya yule mama kujidhalilisha tu na kudharauliwa na wanawake wenzake.

Dr Slaa unatisha. Mapambano dhidi ya fisadi Lowasa yanaendelea na sisi humu tunazidi kupigilia misumari ya moto. Mpaka Oktoba 25 watakuwa wamechakazwa vibaya na wamekuwa ndembendembe

Kwa lipi?kwa utumbo?
 
UKAWA ndiyo mmechnganyikiwa. Fisadi lowasa aliambiwa arudishe hela za marafiki zake sasa akishindwa tena lazima mfe naye kwa presha. Na ninyi ni wapumbavu na malofa yaani hamjui apson na marando wameusuka huu mpango kuharibu nguvu ya upinzani mnadhani mtashinda? Wewe subiri viongozi wenu by october watapingana na kurushiana ngumi au kupigana wao kwa wao. Si unakumbuka ilivyosambaratika nncr? Labda kama ulikuwa mtoto. Kama una akili huwezi kushabikia kinachoendelea chadema hata kidogo.

Cdm ndio kila kitu kwa watanzania,ukawa ni tumaini la watanzania
 
[h=1]Kwanini Hayati Baba wa Taifa alitumia kura yake ya veto kumkataa Lowasa?[/h]By Yericko Nyerere

“Kwanini Hayati Baba wa Taifa alitumia kura yake ya veto kumkataa Lowasa kwa sababu iliyoitwa na inayoaminika mpaka sasa kuwa “Lowassa ni MWIZI anautajiri mkubwa usio na ufafanuzi alioupata kwa mda mfupi tu akiwa mkurugenzi wa AICC?”
Ikumbukwe nikuwa hoja hiyo ya Mwalimu Nyerere ilikuja baada ya Lowassa na wapambe wake kukodi ndege binafsi kutoka Arusha kwenda Dodoma kuhudhuria vikao vya uteuzi wa urais mwaka 1995, kitendo hiki kilimfedhehesha sana Mwalimu na wazalendo wengine na hata kufikia kuliondoa jina la fisadi huyu nguli wa Tanzania,
Je leo utajiri wa Lowassa umekuwa halali?
Mamlaka ya mapato Tanzania inaweza kututhibitishia uhalali wa kodi alipayo mtu huyu?
Tangu afukuzwe uwaziri mkuu mwaka 2007 taarifa za kuaminika kutoka vyanzo muhimu nikuwa Lowasa alitenga 12bilioni kwaajili ya kujitakasa, ambapo mpaka leo hii ameshatumia 8bilioni, je pesa hii ameipata wapi? Imelipiwa kodi kiasi gani? Atairudishaje akiwa rais?
Ili kuhuisha mjadala huu hebu niwaeleze jambo mhimu dhidi ya mtu huyu aitwae Edward Ngoyai Lowasa,
Labda niwaelekeze watafiti watafute faili la EL la enzi za TANU pale Lumumba. Mzee Paul Sozigwa suala hili analifahamu fika.
Ndiyo, Mwl. Nyerere alichukizwa na tabia ya Lowasa ya kujitajirisha kwa kuiba mali ya umma. Lowasa, licha ya tuhuma za wizi enzi akiwa AICC, kujimilikiaha majumba ya Masajili wa Majumba wakati akiwa waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo Mijini, Mwl. Nyerere alikuwa akifahamu wizi wa Lowasa tangu enzi za TANU. Kati ya mwaka 1974 na 1977 Lowasa aliiba pesa za TANU alizopewa kusamia ujenzi wa ofisi ya TANU Arusha. Badala ya kujenga ofisi ya TANU Lowasa alinunua kiwanja na kujenga nyumba yake binafsi. Jambo hilo lilipogundulika mwaka 1982, lilimkasirisha sana Mwl hivyo kuamuru afukuzwe kwenye chama. Ni marehemu Edward Moringe Sokoine ndiye alimwombea msamaha kwa Mwl. Nyerere abadilishiwe adhabu. Edward Lowasa alipewa adhabu mbadala; kuhudhuria kazini Ofisi Ndogo ya Chama Mtaa wa Lumumba kila siku bila kukosa, kuwa kazini masaa 8 bila kutoka lakini bila kupangiwa kazi yoyote hadi Chama kingeona ametubu na hatimaye apangiwe kazi nuingine. Lowasa alitumikia adhabu yake hadi Sokoine alipofariki.
Hiyo ndio sababu kuu ya Mwl. Nyerere kumkatalia Lowasa kugombea urais.
Kikwete, Mkuchika, Twaa Khalifan, Kinana, Bagenda na Msekwa wanajua ukweli wotekuhusiana na jambo hili. Ila maadamu kwa sasa hakuna tena maadili ya uongozi wa kisiasa nchini Tanzania, Lowasa anaweza kuachiwa awatawale wezi, wala rushwa na mediocre wa nchi hii.
 
UKAWA ndiyo mmechnganyikiwa. Fisadi lowasa aliambiwa arudishe hela za marafiki zake sasa akishindwa tena lazima mfe naye kwa presha. Na ninyi ni wapumbavu na malofa yaani hamjui apson na marando wameusuka huu mpango kuharibu nguvu ya upinzani mnadhani mtashinda? Wewe subiri viongozi wenu by october watapingana na kurushiana ngumi au kupigana wao kwa wao. Si unakumbuka ilivyosambaratika nncr? Labda kama ulikuwa mtoto. Kama una akili huwezi kushabikia kinachoendelea chadema hata kidogo.

Mmechanganyikiwa nyinyi nyinyiem
 
Nyie watu wa Ukawa narudia kusema, hamjielewi, Dr kamaliza saa4 kuhojiwa ni vp magazeti yangeandika na kuhariri habari alafu itoke leo.Zitatoka kesho.

Wewe ndiyo hujielewi kabisa nyinyiem
 
Kaka achana na Dr Slaa kwa sasa unapaswa ulinganishe Lowassa na Magufuli. Huyo Slaa wenu tuachieni siye wananchi tunajua nini cha kufanya, ashapuuuziwa kitambo sana ndo maana unaona magazeti yote leo kimyaaa. Hakuna anayejali, mtamtumia kwa muda tuu na mtamtema vilevile.
Lizaboni

Huyo lizabon hana jipya zaidi ya kuendelea kujikomba kwa wakubwa ingawa nao wameanza kumpiga kibuti maana hata wao hawajui hatma yao baada ya kugundua kuwa lowasa ndiye rais wa tanzania ajaye
 
Last edited by a moderator:
Nape Alisema Panya Hawez Gombea Ptia Chama Cha Malaika Ccm
 
Back
Top Bottom