Wewe ni punguani kwa ku overestimate nguvu ya Dr Slaa, kumbuka kuwa a candle always burns brightest before it goes off, na yeye anatumia mgongo wa chadema na Lowassa kung'ara. Ila Dr Slaa Hana nguvu ya kushawishi WANAMABADILIKO kubadili msimamo,naongea kama mwanamabadiliko, cha zaidi huyu Mzee kajishusha na nawapongeza chadema kwa kuweka kando machizi kama yeye
Sawasawaa