DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
Nadhani katika mambo ambayo CCM haitakaa kusahau na itaendelea kujuta mpaka siku kitakapokuwa chama cha upinzani ni pamoja na kuleta mizengwe pale karatu wakati wa kura za maoni kati ya Dr Slaa na aliyekuwa mbunge wa karatu enzi hizo aliyekuwa anaitwa Qoro kupitia CCM. kulikuwa na mizengwe ambayo ilimpelekea Dr. Slaa kuhamia CDM.
Ilikuaje, ni kilitokea, hebu tukumbushane hii historia nzuri kwa CDM na upinzani kwa ujumla, kama kuna mtu anaelewa vizuri nini kilitokea.
Ilikuaje, ni kilitokea, hebu tukumbushane hii historia nzuri kwa CDM na upinzani kwa ujumla, kama kuna mtu anaelewa vizuri nini kilitokea.