ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
vp hakuna magari ya mabomu ya machozi?
mwanza hayo mambo tushayasahau kitambo
vp hakuna magari ya mabomu ya machozi?
bora umemwita mungu mkuu maana hukawii kusikia kitu cha ncha kali kimeruka toka kusikojulikana!! Uongo mwingine bwana!! Hivi kova yupo au yu safarini?
sasa hapa tujadili nini?
hebu wahoji hao wananchi kwanini walimzomea pinda?halafu leo wanamkimbilia dakta slaa
sasa hapa tujadili nini?
mkuu huyu muuza sura kovu yupo jana haujamuona kwenye kuapisha wale maamirijeshi nilimuona kavuta mdomo utafikiri andazi lenye amira lidomo hilo nilicheka mpaka basi nikawa nakumbuka ile filamu yake feki y ulimboka
Duh si juzi tu apa PM alizomewa jamani.
Jinsi DR anavyopendwa
sasa hapa tujadili nini?
Katika jambo lisilotarajiwa na wengi, Dr Slaa amepita katikati ya maduka hapa jijijini Mwanza huku akiamsha taharuki kwa mamia ya watu wakitaka kumwona. Dr Slaa akiwa ameambatana na mbunge wa Nyamagana mh Wenje alipata wakati mgumu baada ya kila mtu kutaka kumsalimia. Nimeshuhudia magari yakipiga honi na abiria walikuwa wanashuka kwenye daladala wakikimbilia eneo aliopo. Kesho kuna uchaguzi wa meya wa jiji la Mwanza, yawezekana ujio wa Dr ni mahususi kwa shughuli hiyo.
Kafunga barabara gani Mwanza?
kusema kweli hiki chama hakiwezi shika dola kila kukicha mgogoro