Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
sasa hapa tujadili nini?
siyo kila kitu cha kujadili kuna mengine ni taarifa...
sasa hapa tujadili nini?
Ninaamini mzee huyu kupitia hekima aliyonayo atafaulu kuwashuha vijana na muhemko wa kisiasa walio nao. I trust you DR!!!
Mwanza mna haki zote za kufunga barabara kwani Dr Slaa ndiye Rais wetu.
Asanteee mkuu
raisi wa kikundi gani?
Kama huna cha kujadili si upotezee thread, sio lazima uchangie kila mada.:rockon:sasa hapa tujadili nini?
barabara ya rami.
Daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,hiki kiswahili taabu kwelikweli!!!,Hivi ni Rami au Lami Mkuu????
Kafunga barabara gani Mwanza?
sie tumewazoea vijana wa Slaa humu JF, ni wataalamu wa kukuza mamboHizi heading zingine bhana...me npo Mza hakuna barabara iliyofungwa hapa by that time...anyway karibu Dr...
Kwani umeambiwa na mods kila kitu ni cha kujadili humu mkuu. Hiyo ni taarifa tu. Si unaona wengine wanavyoshukuru kwa taarifa?
hekima ya kuiba mke wa mtu. Hekima ya kulazimisha wananchi kukesha uwanjani,. Hekima ya kufanya maandamano yaliyopingwa na mamlaka halali.
and iam the next one aliyestahili kuwa raisi amewasili mkoani mwanza viva willbrord.Hujaona cha kujadili mkuu?? Ngoja wenye cha kujadili waje thread itajaa kama kifusi. Kwa sada hivi wako hawa tu kwa dakika hizi chache thread imetua hapa. There are currently 15 users browsing this thread. (9 members and 6 guests).