Wayne
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 659
- 204
Aiseeee baba yangu hayo ni majaribu tu hata Yesu alijaribiwa cha msingi Dr Slaa songa mbele tu sisi tupo nyuma yako
Mkulu
Hapana...tupo bega kwa bega
Aiseeee baba yangu hayo ni majaribu tu hata Yesu alijaribiwa cha msingi Dr Slaa songa mbele tu sisi tupo nyuma yako
Swali la kizushi: Hivi Slaa alikuwa na mama Junior au peke yake?
Tukiweka siasa pembeni; mteja siku zote hafukuzwi; anatafutiwa alternative hata kama ni kosa la mteja, unless kama ameiba.Kuna jambo watu hawalisemi.
Kuna sababu tena ya msingi sana.
uamuzi wa kumfukuza ulikuwa sahihi.
Hayakuhusu. Nyie mmefanya hila zenu, subirini umma uwahukumu kwa maovu
It's unbelievable kwamba mambo yote muhimu yanasimama kwasababu tu ya ubabe/ushindani wa kisiasa. Sijui priorities zetu watanzania zikoje. Aah! inachosha.Kama inafikia hatua ya kuzimiana umeme, thats too much!
Huyo hotel meneja angeonekana wa maana kama angepandisha bei ya chumba ili apate Presidential price. Ndio maana bongo ni vigumu sana kutofautisha meneja wa hotel, mhudumu wa hotel, mhudumu wa bar na meneja wa bar; wote akili zao sawa tu.
Mimi nashangaa kama huyu Slaa sio tishio kwao kwanini wanaangaika naye hivyo? Wamwache tu aongee kwenye hiyo mikutano wananchi wataamua wenyewe. Hizi dalili sio nzuri kwakweli kwa CCM in a long run; it is just a short pleasure.
Huyo meneja anapaswa kushikwa jina na sura yake...baada ya ukombozi 2015 atashughulikiwa kulinga na matendo yake.
Nafikiri ni wakati sahihi sana kufikiria swala la camping facilities na generator kwenye mikutano kama hii.
Tatizo kama kuna kitu chochote unakitegemea kutoka kwenye current system kufanikisha kazi ya kisiasa, watakitumia kama strategy ya kukukomoa.
Mara nyingi tunashuhudia mikutano ya cdm inaporushwa live kwenye tv, umeme unakatwa etc,
Camping vogn ambayo inaungwa kwenye gari kwa nyuma ni bei rahisi sana na inakuwa na facilities zote za nyumba. Its just an advice maana as we approach 2015 there will be alot of gorrilla tactics
Huyo meneja anapaswa kushikwa jina na sura yake...baada ya ukombozi 2015 atashughulikiwa kulinga na matendo yake.