ugolo wa bibi
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 1,305
- 302
Magamba wameishiwa!!hata ndani ya gari atalala tu!!!!
msitufanye wajinga kiasi hiki! hivi tanesco hawajui kama kuna ma generator sikuhizi hadi wajisumbue kukata umeme ..?
:wacko:
acheni raia wasikilize wapime na waamue wenyewe, hii mambo ya kuwa treat kama watoto wa chekechekea inaleta picha mbaya kwa chama chetu ambacho kimsingi ndicho chenye sera nzuri kuliko za cdm.
Duh, that's too bad for the hotel manager! Atakuwa mnazi wa CCM.
Dah mamajack umenifanya siku yangu iwe ya furaha na mafanikio sana,pamoja kamanda!!!!hata chini ya mnazi atalala,lakini ukombozi ni lazima!
long live my president dr slaa!
Huyo Manager wa Hotel kitendo alichofanya ni cha kijinga sana na mimi naamini hicho chumba Dr. Slaa alikuwa amelipia.
Ninamkubali sana huyu mzee maana anaenda kulala kwenye guest ya bei rahisi kuliko JK analala Hoteli mpaka ya dola 1500 per night.
Hayakuhusu. Nyie mmefanya hila zenu, subirini umma uwahukumu kwa maovuMapenzi mabaya hivi Wilaya ya Kilosa unategemea utapata hotel gani ya bei kubwa...wakienda Arusha analala hotel gani? TUNTEMEKE tusaidie bei ya hotel Arusha anayolala Dr Slaa.
Kifo chenu kimekaribia,2015 siyo mbali na kaburi lenu lipo tayari mabwepandeSAFI timua hao wachafuzi wa mazingira