"DR" Shayo the plagiarist

"DR" Shayo the plagiarist

Kuna mtu ana waasa warudi Tanzania kwa kuwa hawaitendei haki nchi yao kubaki huko kutokana na michango yao..duh!

Nadhani ndio matatizo ya kupewa free pass na vilaza kwa Misupu na kwingineko..ukishazoea free pass basi tena..huyu Shayo watu walisham-scrutinize sana siku za awali kuhusu qualifications zake na anavojinasibu kwene mambo taaluma, the last thing u would have expected from the guy ni kuchukua article ya watu na kuihamisha neno kwa neno na kujifanya ni ya kwake! ama kwa hakika sikio la kufa halisikii dawa.
 
262uvyt.jpg
 
Nadhani ndio matatizo ya kupewa free pass na vilaza kwa Misupu na kwingineko..
Na hilo ndio tatizo. Unajua Muhidin Michuzi mwenyewe masikini si msomi sana, aliibukia kwenye upiga picha Daily News siku moja akanunua camera yake akaingia mtaani. Hajawahi kuandika paper, hawezi ku spell plagiarism, kwa hiyo akiambiwa brother Michuzi kwenye blog yako watu wana post plagiarized material he goes "haaanh??" Haelewi.

Shayo ni faker mmoja, alilazimisha vyeti kwenye degree mill moja UK. JF anajulikana siku nyingi na hathubutu kutia mguu hapa hata siku moja. Anawaonea kina Muhidin Michuzi na entertainment blog lake.
 
John Galt... Natamani sana nikupe thanks zaidi ya kumi kwa kukamata mwizi kama huyu.... Wizi wa aina hii ni kosa la jinai hasa kwa nchi zilizoendelea "Materials that is used under copyright and is plagialized by individual can be considered a copyright act violation, which may results into legal action. In USA fine for acts of plagialism categorized as misdemeanors and range from $500.00 to $50,000.00. A jail sentence may also accompany the fine, the crime may be considered a felony, which can bring bigger fines and jail sentences" :source: www.ehow.com : Huyu ni mwizi na hana tofauti na wale wanaovunja na kuiba au kutumia hata bunduki, au kunakili video au miziki ya vijana wa kibongo na kuuza.... Shame on you Shayoo
 
Yes, wasomi wetu wengi wana desa, lakini hii imezidi!!! shame on you! Onyesha reference basi we unayejiita dr?.
 
Na hilo ndio tatizo. Unajua Muhidin Michuzi mwenyewe masikini si msomi sana, aliibukia kwenye upiga picha Daily News siku moja akanunua camera yake akaingia mtaani. Hajawahi kuandika paper, hawezi ku spell plagiarism, kwa hiyo akiambiwa brother Michuzi kwenye blog yako watu wana post plagiarized material he goes "haaanh??" Haelewi.

Shayo ni faker mmoja, alilazimisha vyeti kwenye degree mill moja UK. JF anajulikana siku nyingi na hathubutu kutia mguu hapa hata siku moja. Anawaonea kina Muhidin Michuzi na entertainment blog lake.

Kaka, this guy is not only a faker..nadhani iq yake pia inalingalingana na ya kuku..watu walishamjadili sana huko nyuma kuhusu konakona zake kwene academix, halafu recently ana-pull huu upupu.its amazing!.its obvious huyu bwana hana hata punje ya commonsense.
 
shayo.jpg


yani ukiangalia hii picha inasema vitu vingi sana.
-huyu jamaa hayuko "organized" KABISA
-hicho chumba kinaonekana ni "stoo" na sio sehemu ya kusomea
-meza ya kusomea ina simu na imejaa vitabu, huwezi tena kuitumia kusomea tena
-kwa ukubwa wa hiko kitabu huwezi soma kwenye mazingira hayo, utaumiza mgongo na shingo.
-kwa distance ya camera, sidhani kama hicho chumba ni kikubwa vya kutosha kua na meza nyengine ya kusomea
 
DU! unbeliavable!! Kihiyo mwingine wa 2011-LI kanjanja.
 
Huyo munayemuita Dr Shayo ni wa taaluma gani na huko aliko anafanya nini?

Tangu lini mwenye uhalali wa kuitwa Dr akaji-glorify kiasi hicho? Vitabu rundo!! Hiyo ni ishara ya uzembe na watu wa aina hii huwa hawawezi kuelimika maana wanataka kila wakati waonekane walisha fuzu.

Nauliza tena ni gwiji wa nini?
 
262uvyt.jpg


Jamani nitarudi baadae maana siwezi kutia uso wangu kwa hili naona aibuuuu!!!
 
kunawakati huyu phd holder feki si yuko nikol ambao naona kama kuna soo na fedha za watu huko, hatari mbona kama deci II vile
 
Ni kweli kabisa Mkuu.

Ukichunguza PICHA utagundua mambo mengi sana sana.

Kwanza inaonyesha wazi kabisa kuwa hiyo picha, aliandaa Mavitabu na kuyaweka mezani ili apige picha.

Pili kama ni meza yake kweli ya ofisini/nyumbani, utagundua kuwa kuna SIMU mezani ni vitabu vimejaa hadi sehemu ya kuwekea kitabu mezani ili usome au kuweka karatasi na kitabu ili uandike kitu kwa kweli hamna. Pamejaa tele.

Tatu, mtu gani unasoma ukiwa umeshika kitabu kama uko kwenye kochi?

Kwa umri wake na elimu yake, kitendo cha kupiga picha za namna hiyo ili kuwafanya watu wakuone wewe MSOMI, kinatia aibu sana na kinaonyesha jamaa kaanza mchezo wake wa kudanganya miaka mingi.

Ndiyo maana anaikimbia JF kama ukoma maana huku kuna akina Kiranga, Bluray, Fundimchundo, Nyani Ngabu na wengine wakali wengi sana ambao watamfichua mapema tu.

Walimtoa BARU Mheshimiwa wa Singida, Moh Dewji na hakuja tena na vi-artical vyake.

Wakaifumua na habari ya Daraja la Kigamboni kuwa limeshajengwa na kampuni ya Egypt na ilibidi Wa-Egypt waombe msahama.....

Hivyo, msilaani sana Watanzania, hata wao Wa-Egypt walishatuchakachua, tetetete....... 🙂

HUYU LAZIMA ATAKUWA CCM. Ndiyo maana yuko kwa Michuzi tu.
shayo.jpg


yani siamini hata kama hivyo vitabu hapo amesoma , au hata kama anajua jina lakitabu anachokisoma, inanifanya niamini hiyo picha amepiga ili aaminike zaidi kwamba ni intellectual wa naman fulani....
 
phd hizo mbona ziko nyingi tu tena za waheshimiwa
 
Dr. kilaza hawezi changia huku ambako watu hufikiri nyuma ya kinachosomwa ndo maana anakimbilia kwenye blog za mapicha na mitaarifa ya serikali, sherehe na mambo mengine ya kienyeji akidhani ma-great thinker huwa hawpiti huko kurefresh.Dr 'PHD' MY FOOT!:lol:
 
Hii yote inatokana na kutafuta umaarufu wa haraka haraka bila kuumiza kichwa! Hapo kama anafundisha wanafunzi akimkuta anachungulia kwa mwenzake anamshikia bango wakati hata yeye anaibia kwenye article mbali mbali za watu, duh!
 
Back
Top Bottom