wepson
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 831
- 217
Inadaiwa virusi vilitengenezwa kwa nia ya kuwamaliza watu weusi duniani (Mkakati wa Marekani 1962 hadi 1978)
- Taasisi yake kati ya 2007-2011 ilipokea zaidi ya Bilioni 70 ili kutengeneza kinga na tiba ya ugonjwa huu ambapo inadaiwa kuna dalili za kupata suluhu.
Kuna hii makala nimeletewa. Sijui kama ilishawahi kuwepo hapa. Ni ndefu kidogo (video) ila kweli inaleta kizunguzungu ukiisikia. Sijui ma Drs mnasemaje juu ya hili swala.
Kumbe Tanzania ndiyo center ya AIDS Africa? Lohhh, nilikuwa sijui. Jitahidini hata msio Madokta msikilize kwani wamelielezea vizuri sana. Ila ukweli hata mie sijui. Na kama ni kweli basi hii ni Weapon of Mass Destruction kubwa kuliko hata Fussion bomb la Mrusi.Kwa anayejua kiundani juu ya hili pia Aongezee Video source
- Taasisi yake kati ya 2007-2011 ilipokea zaidi ya Bilioni 70 ili kutengeneza kinga na tiba ya ugonjwa huu ambapo inadaiwa kuna dalili za kupata suluhu.
Kuna hii makala nimeletewa. Sijui kama ilishawahi kuwepo hapa. Ni ndefu kidogo (video) ila kweli inaleta kizunguzungu ukiisikia. Sijui ma Drs mnasemaje juu ya hili swala.
Kumbe Tanzania ndiyo center ya AIDS Africa? Lohhh, nilikuwa sijui. Jitahidini hata msio Madokta msikilize kwani wamelielezea vizuri sana. Ila ukweli hata mie sijui. Na kama ni kweli basi hii ni Weapon of Mass Destruction kubwa kuliko hata Fussion bomb la Mrusi.Kwa anayejua kiundani juu ya hili pia Aongezee Video source