Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

Tafadhali tuwekee hapa, pendekezo husika la Bunge tulidadavuekabla ya kujiaminisha.
 
Ukawa wakiongozwa na Mbowe wamehongwa na Serikali ndio maana wamekubali kufanya maridhiano ya KIJUHA.
 
Muhongo alikua na dharau sana kwa Watanzania eti tunaweza kui invest kwenye juice na siku kamzalilisha ole sendeka ndo alinibore sasa akafundishe arudi kwenye miamba na akome
 

Nchi itatikisika na binge pia
 
Last edited by a moderator:
Sasa hapa tulianzishe la bilioni za kwenye gesti, hamna kupumzika hapa ni mchaka mchaka mpaka mnyooke.
 
Wakuu

Kama mnaikumbuka vita ya maneno kati ya wadau wawili hao Leo katika kikao cha Bunge mmoja anaonekana mshindi dhidi ya mwingine!

Mengi anaendeleza record ya mnyukano na mawaziri akiwepo Masilingi enzi zile!

Tufuatilie kwa karibu kupitia media za IPP kitajulikana kama kuna mgongo wa wanasiasa hasa kutumika na Mengi kumbwaga Professor!

Nawasilisha.
 
kuna mtu aliwahi kusema kupambana na mengi ni sawa na kupambana na mafuriko...
 
Reactions: DSN
Kuna mmoja alifukuzwa mwaka juzi ubunge na mwaka jana alitangazwa kua Tajiri anaeongoza tanzania. Sasa usishangae kwa Mhongo kuingia kwenye 10 bora Tanzania maana kufukuzwa kwake hakuna madhara Yoyote atakayoyapata zaidi ya kukosa tu vikao vya baraza la mawazi!
Vijisenti alifukuzwa lkn hadi leo anao ushawishi hadi tunaona anaendelea kujipatia vijicent kutoka kwenye mashirika ya umma. Pia alishikilia nafasi muhimu kwenye Bunge la katiba MWENYEKITI WA UANDISI!
Kufukuzwa watafukuzwa lkn wataendelea kula raha kufuatia ushawishi hela nyingi walizonazo ....
 
Mengi alishamdondosha Masilingi,akaja Masha na sasa ni Prof ambae ni muongo kuliko ma prof wote Tanzania,Prof Muhongo!!tatizo wanasiasa ni njaa na tamaha while Mengi ni mtu alie well off na mzalendo
 
wanasema muhongo ni dalali mkuu. hahahah!! mengi kama kawaida yake, nguvu ya media ni hatari.
 
Mengi alishamdondosha Masilingi,akaja Masha na sasa ni Prof ambae ni muongo kuliko ma prof wote Tanzania,Prof Muhongo!!tatizo wanasiasa ni njaa na tamaha while Mengi ni mtu alie well off na mzalendo


Sina uhakika na uzalendo maana wengi anawaliza wako wapi akina Maulid Kitenge

Only use media for sympathetic public attention!
 
Mpambano mzuri yaelekea Mengi atashinda,lakini ushindi wa mengi unapewa nguvu na Nimrod Mkono na Lowasa ambao Ni wezi wakubwa,ambao wanaufanya ushindi wa swaiba wao uwe na doa...
 
Hivi ni nani alisema akifukuzwa nchi itatikisika kweli?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…