victorserv
Senior Member
- Oct 4, 2013
- 195
- 56
Hahahaha jamaa hataki utani kabisa
Tatizo Hizo Vxr 8 wakishapanda wanadharau walowakuta mjini,muraaa huyu kaja juzi tu hapa udsm anajifanya anajua jiji,Mengi akamwambia..endeleaaaaaaa!
Sasa atarudi kufug kuku wa mayai kwao KİTUNDA
sijaelewa lengo la uzi huu.
Hakuna game Mengi amepata kupoteza Vs kiongozi wa serikali.
- masilingi
- malima
- masha
- polisi
- now muhongo
kaka unaongea kitu tofauti na ninachoongea, wizi wa PESA ZA UMMA NI KWELI UMEFANYIKA KWENYE ACCOUNT ya ESCROW, hoja yangu ni hii, Muhongo kausikaje na wizi wa hizo fedha, kulikuwa na umuhimu wa kuwa na jina lake kwenye hiyo report?
Report inasema Muhongo ni DALALI, fine, katika udalali wake kapata nini? Au ulikuwa ni udalali wa Sadaka tu?
Manji je
that's it! lakini kufanya udalali kwenye rasilimali za nchi ni jambo jema?
Kahusika kwa zababu yeye ndio mkuu wa nishati! hivi jaman muwe makini bas na hii inshu khaa! au mmetumwa?
Wote madalali tofaut ni kwamba Mengi ni dalali wa kujitegemea bwana Muhongo dalali wa Serikali.Tumesikia mara kwa mara waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo akimlaumu IPP Chairman, Dr. Reginald Mengi kuwa anang'ang'ania vitalu vya gesi na mafuta kumilikishwa kwa wazawa kwa kuwa ni dalali. Leo katika report ya PAC bungeni, Prof. Sospeter Muhongo ametajwa kama dalali kwa kuwa ndiye yeye aliyewakutanisha Harbinder Sigh Seth na James Rugemalira katika dili ya Tanesco. Dr. Mengi atasema nini kuhusu yaliyotokea?
Pamoja na mengine Mengi ni mnafiki namba 1 hapa Tanzania. Na hata kama Muhongo akijiuzulu ila aliweza kuweka wazi swala la Mengi kutaka kuwa dadali wa vitalu vya Gesi.........sijawai na sitokaa kumwamini Mengi hata kidogo. Ni very opportunistic, mlalamishi as if Tanzania yote yuko yeye peke yake, kila kitu anataka apewe kisa tu ana ela basi apewe priority hata bila kuangalia uhalisia, sheria, utaratibu nk. Ni mchochezi na sijui kwa nini serikali inamchekea chekea, Rais Mkapa alimdhibiti sawasawa, ila kwa hawa wagombea ambayo washajitokeza kwa 2015 karibu wote ni wakali which means Mengi asijejaribu kuleta mchezo wake tena ifikapo 2015.Tumesikia mara kwa mara waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo akimlaumu IPP Chairman, Dr. Reginald Mengi kuwa anang'ang'ania vitalu vya gesi na mafuta kumilikishwa kwa wazawa kwa kuwa ni dalali. Leo katika report ya PAC bungeni, Prof. Sospeter Muhongo ametajwa kama dalali kwa kuwa ndiye yeye aliyewakutanisha Harbinder Sigh Seth na James Rugemalira katika dili ya Tanesco. Dr. Mengi atasema nini kuhusu yaliyotokea?
Umenena vyema sana MkuuWote madalali tofaut ni kwamba Mengi ni dalali wa kujitegemea bwana Muhongo dalali wa Serikali.