Acha wafe wote na Nchemba
Acha wafe wote na Nchemba
haa haa haaa
Udini na ukabila vimeshindikana .... sasa wamehamia kwa sangoma
Nahisi hii ajali ni feki iliyo pangwa na mwigulu ili kutafuta umaruufu na kuwachafua wapinzani wake
Huyu jamaa Mwigulu Mchemba ni wa aina gani huyu mtu lile domo lake kubwa linaropoka tu kila leo,huyu jamaa ni mshirikina sana na hawa ndio wanaouwa vikongwe kule kwao huyu t..i...g....o kwao si ndo Singitaa atakuwa na laana ya kuua vikongwe so ile damu ndio inamtafuta na bado we shall see
habari za uhakika na zimethibitishwa na mwigulu nchemba mbele ya mkutano wa hadhara nkinga leo jioni.
Kuwa dr dalaly kafumu amepata ajali mbaya maeneo ya kijiji cha mwisi, amelazwa hapa nkinga hospital ameumia kichwani.
Nchemba amehusisha ajali hiyo na imani za kishirikina kuwa ni uchawi wa cdm uliosababisha ajali hiyo.
-------
kutoka kwa kigwangalla:
Dr. Dalaly kafumu amepata ajali ya kupinduka na gari akielekea kwenye kijiji kimoja kilichopo kata ya mwisi ambako alikuwa anaelekea kushiriki mazishi ya mama mmoja maarufu. Ajali hiyo ilitokea jana ambapo gari ilipoteza uelekeo kutokana na hitilafu ya barabara na hivyo kuvutwa, kugonga gema na kupinduka mara moja na gari kukaa matairi juu.
Gari iko nyang'anyang'a huwezi amini kama kuna mtu ametoka salama, lakini tunavyoongea hapa dr. Kafumu na kijana wake ambaye alikuwa akiendesha walitoka salama. Dk. Alibanwa na airbags na walilazimika ili kumtoa kuvunja mavyuma kwa shooka na kumkuta amezimia na alizinduka baada ya muda kidogo, pia alikuwa na bruises zilizokuwa zinavuja damu sana kichwani na alilazwa hospitali ya nkinga na asbh hii atapewa ruhusa arudi nyumbani.
Amekuwa jimboni humo toka jumatatu akifanya ziara ya kukamilisha miradi ya maendeleo aliyoianzisha, pia kuwaondoa mashaka wananchi kuwa hatowatelekeza kwa kuwa ametolewa ubunge, na kwamba bado yuko nao pamoja tu.
wewe ndiye unatakiwa utulie wakati unaposoma hii thread. Kama hujui si vibaya kuuliza.
Kuna kasegment ka habari itv kanaitwa habari za saa......
Hapo kwenye bold ni kweli mkuu au unanogesha story tu ili ipate wachangiaji wengi?