Mungu amsaidie aone kashindye anavyoapishwa kua mbunge wa igunga!
Ubinadam kwanza.
Tafadhali kwa mwenye maendeleo ya hali ya Dr. Kafumu atupe. How's he doing now?
Get well soon wishes!
Hali yake inaendelea vizuri.Ameruhusiwa ametoka hospitali.
Sipendi mafisadi ndio maana Siwezi kumuombea apone haraka wala simuombei kifo... Namuachia mola ndio aamueJe huu ndio mtizamo wa kutakiana maisha mema katika ajali kwa chama cha CDM?
Kama ndivyo, msimamo hu unatofauti gani na waliomuua Mwangosi?
CDM=CCM
Haya ndio mawazo ya wana CDM tukisema ni watu wanaopenda vurugu na vifo tunaonekana tunaleta propagandaAcha wafe wote na Nchemba
Kafa Mwangosi yeye nani bana! kufa kafumu (Blood sucker)
Kafa Mwangosi yeye nani bana! kufa kafumu (Blood sucker)
Ajali hiyo ilitokea jana ambapo gari ilipoteza uelekeo kutokana na hitilafu ya barabara na hivyo kuvutwa, kugonga gema na kupinduka mara moja na gari kukaa matairi juu.