Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
\Habari za uhakika na zimethibitishwa na Mwigulu Nchemba mbele ya mkutano wa hadhara Nkinga leo jioni.Kuwa Dr Dalaly Kafumu amepata ajali mbaya maeneo ya kijiji cha Mwisi,amelazwa hapa Nkinga hospital ameumia kichwani.Nchemba amehusisha ajali hiyo na imani za kishirikina kuwa ni uchawi wa Cdm uliosababisha ajali hiyo.
Pole Kfumu
I think CCM sasa inabidi wamdhibiti Nchemba, he is too acidic to his own party, yeye kama kiongozi, hatakiwi kabisa kusema maneno kama imani za kishirikina, its either ni mchawi au anaabudu uchawi... vipi ndugu zetu wote wanaoteketea kila siku kwa ajali za barabarani, nao tuwasingizie uchawi
tukimtukana tunapewa ban ila jamaa ni kero kama sio a$$h01e