Dr. Ngoma ni mkurugenzi wa hospitali pekee nchini inayoshuhulikia tiba ya maradhi mbalilmbali ya cancer[ saratani] wakati huo huo anaendesha hospitali yake binafsi pia inayoshuhulikia pia tiba ya saratani iliyopo Mwenge ; Je wanajanvi hamuoni kuwa hapa pana conflict of interest? Je dawa zinazotakiwa ziwatibu wagonjwa Ocean Road haziwezi kuishia Mwenge? Mama Blandina Nyoni hana budi kulifanyia kazi swala hili!!